aisee Ukibeba nuksi; kujitoa hapo ni shughuli pevu.Aisee tena afadhali ulivagae gono kuliko ubebe nuksi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee Ukibeba nuksi; kujitoa hapo ni shughuli pevu.Aisee tena afadhali ulivagae gono kuliko ubebe nuksi
Niliwahi kudate na mpenzi kiti cha jiniHii ni siri kubwa sana mkuu.
Au chuma uleteaisee Ukibeba nuksi; kujitoa hapo ni shughuli pevu.
Duh! wanasemaga "Ukimwona nyani kazeeka ujue kakwepa mishale mingi"Niliwahi kudate na mpenzi kiti cha jini
Simulizi ya Mpenzi Kiti cha Jini: Royal Bar Mwananyamala
Mavi ya kale hayanuki. Hii ni simulizi nyingine ya kweli way back 2007 Mwananyamala.. Bado nilikuwa single hivyo naomba nisipigwe mawe na wale wanaharakati wa baki na mmoja Wanaopafahamu Royal bar usiku wanajua pana nini.. Kwa wale wasiojua palikuwa ni kiwanja kizuri kwa mawindo ya take away...www.jamiiforums.com
Simulizi ya Mpenzi Kiti cha Jini: Royal Bar Mwananyamala
Ukitoka au Kuzaliwa ktk familia ambayo tangu Babu wa mababu Hadi wazazi na kaka na dada zako kiukoo hayupo aliyevuka darasa la nne, utaipata vp hiyo unayoita Elimu?Hapo hakuna cha nini wala nini ni elimu tu ndio hakuna, kama kuna elimu ya kutosha hayo yotee aliyosema jamaa hayawezi kup ata nafasi
🤣🤣🤣Kuna familia unakuta wote Yanga kila siku kufugwa na huzuni tu.
Kwa maombi na sala kiwepo kuikataa kwa dhati hali hiyo unaweza kuivunjilia mbali hiyo laana a.k.a. Pepo la ujinga.Ukitoka au Kuzaliwa ktk familia ambayo tangu Babu wa mababu Hadi wazazi na kaka na dada zako kiukoo hayupo aliyevuka darasa la nne, utaipata vp hiyo unayoita Elimu?
Unaelezea nin shuhuda za uongo hapa unafikria nan anakuelewa na hizo porojo za kutunga😂😂😂.Huwezi kunielewesha bila kujua au kuthibitisha UKWELI au uongo ktk nilichoandika.
Mfano, footballer anawezaje kumuelewesha fundi ujenzi jinsi ya kujenga magorofa?
Ndio. Zipo chache lakini bado nazo zinawindwa au kufuatiliwa.Je! Kunafamilia iliyo salama?
Tayari mkuu kaangalie PM yakoNimeshaku PM lakini
Kwani unalitoaje hilo nuksi?aisee Ukibeba nuksi; kujitoa hapo ni shughuli pevu.
Haya mapepo yanayopatikana kwenye ngono yanapatikana africa tuu? Mbona states watu wanapoga porno lakini sijasikia haya mambo ya kubadilishana mapepo kupitia ngono. Ebu tupeni elimuKufanya ngono hovyo hovyo wengi wanadhani hatari ni kwenye ukimwi tu. Kuna magonjwa zaidi ya ukimwi na pia mikosi kama ulivyosema. BTW pepo la ngono kama alilonalo mzabzab halimo kwenye list.
Hata yale ni mapepo pia.Haya mapepo yanayopatikana kwenye ngono yanapatikana africa tuu? Mbona states watu wanapoga porno lakini sijasikia haya mambo ya kubadilishana mapepo kupitia ngono. Ebu tupeni elimu
Basi mie naomba nipate yale mapepo maana wenzetu wanakuwa mabilionea kupitia hayo mapepo na utamu wanapataHata yale ni mapepo pia.
Mkuu na haya magonjwa ni mapepo ?Mimi magonjwa kama kisukari ,hiv,ulevi umalaya,pressure cancer,hayo trendi yake ni kubwa mno,kama ndugu yako mmja kapata jiandae
kibinadamu hatutumi neno kufa,pia ni ngumu kutokua na ndugu wala wazazi nafikiripengine hakuwa na ukaribu nao.Haisadifu chochote bali ndio kisababishi cha hii post, amekufa lakini hana ndugu wala wazazi, na ameacha watoto wawili lakini hajasema chochote kuhusu baba yao/zao
Unachoonyeshwa ni kile kinachokuhusu tuu..na mafanikio basi.. Mengine yote negative kamwe huwezi kuyaonaHaya mapepo yanayopatikana kwenye ngono yanapatikana africa tuu? Mbona states watu wanapoga porno lakini sijasikia haya mambo ya kubadilishana mapepo kupitia ngono. Ebu tupeni elimu
Negative gani bwana wewe ebu sema tuyajueUnachoonyeshwa ni kile kinachokuhusu tuu..na mafanikio basi.. Mengine yote negative kamwe huwezi kuyaona