Hiki ndicho walichokuwa wanakifanya mababu zetu zamani.. Unaweza kukataliwa ndoa kwasababu ya background ya familia
Pamoja na hiyo hao mababu zetu walizaa vilema, albino, wakawa maskini, wakawa wajinga mpaka wakauza nchi kwa wakoloni kwa vipande vya nguo.
Maisha yapo katika nyanja zote. Hakuna maisha plain yasiyo na mitikisiko. Huwezi kimbia changamoto za mseto wa maisha ya dunia.
Faida na Hasara maishani ziko upande mmoja na vyote huja pamoja sema kinachozidi kingine nguvu kwa wakati huo ndicho kinachoonekana na kuhesabiwa kuwa kipo.(kila penye faida pana hasara na penye hasra pana faida)
Maisha hayana kanuni ya pamoja ili wote tufanikiwe kwa kanuni moja na wakati mmoja.
Pamoja na mapambano ya juhudi,
1.Wengine unatakiwa uibe,unyanganye,uuwe ili ufanikiwe
2. Wengine utapeli na kudhulumu
4. Wengine ufanye ibada sana nuumba za ibada
Na kila kitu huja kwa majira na nyakati zake( huzuni/furaha, hasara/faida, kufanikiwa/kushndwa, utajiri/umaskin.)