Dini zote uzijuazo kama taasisi zenye kusajiliwa sirikalini hazikuanzishwa na Mungu.Mimi na wewe sote na wengi sote sio wakamalifu hakuna wakumshutymu mwenzio wala kusema hutu yupo hivi .!
Narudia dini zote zimeoinga ushirikina ila ni watu wa pande zote wanafanya mambo ya ushirikina.
Ili uingie Mbinguni lazima uwe MTAKATIFU.Mimi na wewe sote na wengi sote sio wakamalifu hakuna wakumshutymu mwenzio wala kusema hutu yupo hivi .!
Narudia dini zote zimeoinga ushirikina ila ni watu wa pande zote wanafanya mambo ya ushirikina.
Yeap tunafuata kitabu katika maisha yetu kwa vile sheria zote zipo na jinsi ya kuishi yaani mfumo mzima wa maisha.Dini zote uzijuazo kama taasisi zenye kusajiliwa sirikalini hazikuanzishwa na Mungu.
Mbinguni hakuna dini yoyote. Ukimpenda Jirani au ukimsaidia maskini, ukiacha matendo maovu ndo dini hiyo.
Ukifuata dini zitakupeleka kuzimu.
Itafute Imani juu ya Mungu.
Hahaaaaa!!!!
Mmmm! Mimi Naona hilo ni pepo la uduwanzi. Mtu anasoma hadi amefuzu halafu hajishughulishi kutafuta fursa bali anaketi hapo hapo eti anasubiri aajiriwe.
Noma na Nusu, duuuh unakopa unahonga unakunywa biaHakuna Cha pepo Wala nini watu kila kitu kinasababu zake wewe unakopa unaenda kuhonga na kunywa bia uje usingizie mapepo GADEM
Hey! Nani tena?Apumzike Kwa Amani
Kama mwanzo wa mwaka huu nilikuwa na relationship kwa kweli Mwaka unaniendea vby sana hata sijui nijisafishaje.Unachepuka na demu kumbe alikotoka kuna mapepo kama yote.. Anakugaiya tu mbegu
Ni njaa hizo za mchungaji kama na wewe una mapepo basi bado sana kuelimika, wewe ulishawahi ona prof. Unashikwa na mapepo ya Mwamposa?. Au niambie nchi gani ya ulaya/America ukasikia kuna mchungaji anatoa mapepo, Ujinga mtupu.Hama unapinga hakuna shetani,mapepo,majini basi wewe ni mchawi.
Unawadanganya watu humu wapuuze Imani katika Mungu Ili uwamalizie.
Jibu: Hapana, ila tumeacha kufikiri kwa kutumia fikra tunduizi na tunatumia fikra mfu. Kwa kifupi tunatumia majibu rahisi kwenye maswali magumu.[emoji1545][emoji1548][emoji817][emoji818]Pepo la Umaskini
Pepo la mikosi
Pepo la kukosa ndoa
Pepo la kuzalia nyumbani
Pepo la ugumba
Pepo migogoro na mafarakano
Pepo la wizi, utapeli na udanganyifu
Pepo la madeni na mikopo isiyolipika nknk
Hivyo vitu hapo juu karibu vyote vinaanza katika ngazi za familia,koo,taifa na bara. Mimi nimejaribu kufikiri kama ifuatavyo hasa ngazi ya bara moja na bara lingine:
a) Umasikini: Afrika inaongoza kwa umasikini mkubwa.
b)Migogoro na mifarakano: Afrika inaongoza.
c)Mikopo na madeni: Afrika inaongoza.
d)Wizi,utapeli,udanganyifu (ufisadi): Afrika tumo
e)Mikosi mbalimbali :Afrika tumo
Swali :Tumelaaniwa??????
Jibu: Hapana, ila tumeacha kufikiri kwa kutumia fikra tunduizi na tunatumia fikra mfu. Kwa kifupi tunatumia majibu rahisi kwenye maswali magumu.
Mfano mzuri ni hapo juu, ukitumia fikra tunduizi kujibu maswali ya hapo juu utagundua kuwa yote ambayo umeyataja yana sababu na chanzo chake na vilevile yana majibu na suluhisho yake.
Bara la ulaya baada ya kupitia katika zama za giza hatimaye walipata mwamko(Renaissance) kwani waliamua kuacha watu wa dini, waganga na washirikina wawaamulie na kuwatatulia matatizo yao.
Badala yake waliamua kutafuta kiini cha tatizo husika na majibu yake kwa kina kupitia fikra tunduizi. Mara baada ya huu mwamko, kilichotokea ni historia mpaka leo!!!!!!!!!!!!
Renaissance | Definition, Meaning, History, Artists, Art, & ...
Encyclopedia Britannica
https://www.britannica.com › ... › Philosophical Issues
28 Mar 2023 — Renaissance, (French: “Rebirth”) period in European civilization immediately following the Middle Ages and conventionally held to have been ...
Nb 1: Tuache kujibu majibu rahisi kwenye maswali magumu:
Mfano 1: Kwanini wewe ni masikini????
Jibu : Umelaaniwa. Kuna laana ya umasikini kwenye ukoo wenu.
Mfano 2: Kwa nini wewe hujaolewa???
Jibu : Umelaaniwa. Kuna laana ya ndoa kwenye ukoo wenu au familia yenu.
Nb 2: Kila tatizo lina chanzo chake na suluhisho lake.
Nb 3: Kufikiri kwa kutumia fikra tunduizi ni njia sahihi ya kukabiliana na matatizo mbalimbali.
Nb 4: Kazi kuu ya kichwa ni kufikri licha ya kuwa na kazi nyingine ya kubebea masikio!!!!!!!!!!
Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ulitolewa Ushauri hapo juu(uzi huu-huu)kwamba chumvi ya mawe ndo suluhisho (mwisho wa hadithi).Kama mwanzo wa mwaka huu nilikuwa na relationship kwa kweli Mwaka unaniendea vby sana hata sijui nijisafishaje.
Ninamjua niliyetoka nae, na kwa kweli sijui ndio yeye mwenye nuksi hii.
<Pesa imenikimbia,
<maelewano na marfiki zangu sio mazur.
<Kazin nilishishwa cheo.
<Naonakabisa haiba imedorora.
<Hata wanaume hawaniangalii.
Mshana nakutafta pm yako umefunga[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwa siku hizi hili ni gumu sana, maana unakutana binti/kijana chuoni, mnadetiiii weeee mnaachana, unachukua mwingine, naye hivyo hivyo, na ukumbuke hayo mapepo hayasubiri ndoa, mkishatiana tu yameingia!Kuna vetting huwa inafanyika kwa mtu anayetaka au anayeteuliwa kwenye nafasi nyeti serikalini.
Kuna baadhi ya familia ukitaka kuingia lazima ufanyiwe vetting ya kutosha, usipokidhi vigezo huingii kwenye hiyo familia ama kwa kuoa au kuolewa....
Na wakuu wa koo/familia wako makini na hilo lengo ni kutopoteza mali na kuingiza mipenyo itayowatafuna kama magonjwa nyemelezi, umaskini, laana, ukichaa/kurukwa na akili, ulevi n.k.
Mzee ruksa alisema hiyo sukari imekaa pabaya.. Kuna wakati hapo zamani hili pepo lilinikamata sawasawa.. Halafu na nguvu unapewa . yani kutwa mara 2 au 3 sio ishu... Threesomes ndio usiseme.. Naiheshimu chumvi sana iliniokoa na mengi.[emoji23]Mshana umeandika yote,kuna watu wametoa michango mizuri. ILA BILA UNAFIKI kwenye huo mtego wa ngono, walio fanikiwa kuushinda hawavuki 5%.
Nongea hivi nishawashuhudia watu ambao nilikuwa nawaheshimu sana hasa kwenye maswala ya kiroho, wakiwa na ni mafundi kwenye ngono.Mzee ruksa alisema hiyo sukari imekaa pabaya.. Kuna wakati hapo zamani hili pepo lilinikamata sawasawa.. Halafu na nguvu unapewa . yani kutwa mara 2 au 3 sio ishu... Threesomes ndio usiseme.. Naiheshimu chumvi sana iliniokoa na mengi.[emoji23]