Kuna picha zinasikitisha sana Palestina, mnaoshabikia HAMAS kuanzisha hizi choko sijui mkoje

Kuna picha zinasikitisha sana Palestina, mnaoshabikia HAMAS kuanzisha hizi choko sijui mkoje

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.

Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.

Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.

Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.

Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.

gaza-strip-1200.jpg
 
Brother, wanayopitia sasa sio mageni kwao wamekuwa hivyo for the last 50years.

Hivyo walivyopata nafasi ya kufanya walichofanya wameona kama ni heri kwao ingawa kwa kweli hali ni mbaya.

Watoto wao wameuwawa kila siku kwa zaidi ya miaka 50

Vijana wameteseka na kina mama wametengwa na familia zao kila siku kwa miaka 50.
 
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.

Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.

Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.

Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.

Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.

gaza-strip-1200.jpg
Siyo kwamba wanapigana na dini zingine tu, ila bado wanaongoza kupigana wenyewe kwa wenyewe. Angalia huko Somalia, Sudan, Yemen, Libya, , Misri, Afghanistan na kwingineko ni waislam tupu ila wanatwangana vibaya. Hawa wavaa kobazi hawa....
 
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.

Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.

Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.

Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.

Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.

gaza-strip-1200.jpg
UISLAM=UGAIDI
popote palipo na uislam lazima kuwe na vurugu.
 
Brother, wanayopitia sasa sio mageni kwao wamekuwa hivyo for the last 50years.

Hivyo walivyopata nafasi ya kufanya walichofanya wameona kama ni heri kwao ingawa kwa kweli hali ni mbaya.

Watoto wao wameuwawa kila siku kwa zaidi ya miaka 50

Vijana wameteseka na kina mama wametengwa na familia zao kila siku kwa miaka 50.

Kwa mapigo yanayoendelea sasa hivi ni kama wanarudishwa nyuma miaka 50, kila kitu kinasambaratishwa, bomu linashusha ghorofa lote unaliona.
 
Brother, wanayopitia sasa sio mageni kwao wamekuwa hivyo for the last 50years.

Hivyo walivyopata nafasi ya kufanya walichofanya wameona kama ni heri kwao ingawa kwa kweli hali ni mbaya.

Watoto wao wameuwawa kila siku kwa zaidi ya miaka 50

Vijana wameteseka na kina mama wametengwa na familia zao kila siku kwa miaka 50.
Hivi binaamu huwa anazoea kadhia hasa vifo?Haipo hiyo!
 
Brother, wanayopitia sasa sio mageni kwao wamekuwa hivyo for the last 50years.

Hivyo walivyopata nafasi ya kufanya walichofanya wameona kama ni heri kwao ingawa kwa kweli hali ni mbaya.

Watoto wao wameuwawa kila siku kwa zaidi ya miaka 50

Vijana wameteseka na kina mama wametengwa na familia zao kila siku kwa miaka 50.
Wanayoyapitia sasa ni zaidi hata ukikusanya miaka yote pamoja
 
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.

Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.

Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.

Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.

Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.

gaza-strip-1200.jpg
1697121734025.png
 
Tanzania kuna Uislam je vurugu zi wapi mkuu?

Hao ni ile tu hawafuati maagizo ya uislamu, ila ingekua balaa

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Kwa mapigo yanayoendelea sasa hivi ni kama wanarudishwa nyuma miaka 50, kila kitu kinasambaratishwa, bomu linashusha ghorofa lote unaliona.
Ni kweli wanayopitia ni makubwa na si ajabu walijua ndicho kitafuata.

Kama uliwahi kuangalia movie za apartheid Africa kusini, walipigwa waliuwawa na waliandamana na walijua kinachofuata ila hawakukoma na mwisho walishinda.

Hii ndio hali ya watu hao
 
Brother, wanayopitia sasa sio mageni kwao wamekuwa hivyo for the last 50years.

Hivyo walivyopata nafasi ya kufanya walichofanya wameona kama ni heri kwao ingawa kwa kweli hali ni mbaya.

Watoto wao wameuwawa kila siku kwa zaidi ya miaka 50

Vijana wameteseka na kina mama wametengwa na familia zao kila siku kwa miaka 50.
Haijalishi Hamas kujifungia wanakula kuku na mvinyo Halafu watoto na akina mama wanateseka na kuvuliwa km kuku wa kideri.

Hamas hawakujua haya? Jibu walijua lkn wao Wana shida gani.
 
Tanzania kuna Uislam je vurugu zi wapi mkuu?
Hamjapata nafasi tu.

Ila umesahau yamwembe chai. Labda ilikua kinda huwezi kujua.

Uislam popote Ni dini ya vurugu na kujiona Ni binadamu bora kuliko wengine.

Ni kweli ukiangalia kinachoendelea kinasikitisha mno, inatosha! Lkn yote haya Ni hesabu za kijinga za Hamas.
 
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia inakosa ladha.

Hivi kiukweli mnajitapa kufaidi nini baada ya kile HAMAS walifanya, maana haya majibu ya Israel yamesababisha maafa na majanga mengi sana, watu wamerudishwa nyuma hadi zero.

Inauma kishenzi, licha ya kwamba mimi ni pro-Israel lakini kila nikiona haya mapicha nasikitika sana, mnashindwa vipi kuishi na binadamu wenzenu kwa amani kama kweli hiyo dini inafundisha amani.

Dini yenyewe fulu vurugu, ina maugomvi na dini zote, mara mpigane na Wahindi, Wabutha, Wakristo hata hawa Wayahudi, kote kote dini moja tu, vurugu zenu mpaka hata huku Afrika kwa tuliojichokea kimaisha bado mnatulipua.

Nenda kule Congo, maskini wakulima wanachinjwa na kundi la AFP kisa dini.

gaza-strip-1200.jpg
Mbona huilaani Israel kwa kupiga majengo na kuharibu makazi ya watu, lakini ikija upande wa Urusi unalaani kwelikweli. Be objective Omera
 
Mbona huilaani Israel kwa kupiga majengo na kuharibu makazi ya watu, lakini ikija upande wa Urusi unalaani kwelikweli. Be objective Omera

Niko very objective, Israel walikua wanaishi kwa amani, watu wanakula na kunywa na kupeleka watoto shule na kumwagilia mimea maji na kucheka cheka yaani maisha ya kawaida, ghafla kwa mihemko ya dini HAMAS wakatuma rockets 4,000 kwa siku moja.
Sielewi mlitegemea Israel waimbe taarab wasifanye chochote....

Kwa Urusi, watu wa Ukraine waliishi kwa amani, watu wanakula na kunywa na kupeleka watoto shule na kumwagilia mimea maji na kucheka cheka yaani maisha ya kawaida, ghafla Urusi kwa mihemko ya Putin, ikaanza kushambulia kwa kila aina ya silaha, ila Ukraine wakajikakamua na kugeuza kibao.....

Issue mbili hizo zinahitaji ilmu ya dunia kuzielewa, sio ile ya madrassa.
 
Back
Top Bottom