Kuna picha zinasikitisha sana Palestina, mnaoshabikia HAMAS kuanzisha hizi choko sijui mkoje

Kuna picha zinasikitisha sana Palestina, mnaoshabikia HAMAS kuanzisha hizi choko sijui mkoje

Ndio nasema hao hao waIsrael wamemfungulia mashtaka ya ufisadi na rushwa. Sasa unavyomquote hapo it's as if ni mzalendo au yuko serious kuhusu amani wakati ni obvious ni jizi na wamesema wayahudi wenyewe sio mimi.
Kwani amehukumiwa na mahakama tayari?
Tuhuma ni tuhuma tu, siyo uhalisia.
 
Hahahhaha unishushe as if Internet points matter!! Yaani fake ID ishushwe hadhi? Kwa akili hizi ndio maana Ruto anawaburuza.

Ndio nmekuambia hata Bible mara kibao tu Mungu aliamuru wayahudi wachinje wafilisti tena mpaka watoto na wanawake!! Na walikua wakichinja hawaachi kitu.

Unaposema kuhusu waarabu kuvamia Afrika mbona hushangai wakoloni wa kizungu mfano leopold aliua waafrika zaidi ya million 10 in fact alipunguza population ya Congo zaidi ya 50% na alikua na baraka zote za kanisa.

Kama issue ni ukoloni both waarabu na wazungu walifanya yale yale tu.

Yeah nakushusha maana kwamba sihangaiki kujenga hoja kukujibu maana nimekuona wa hovyo.

Hutakuta Wakristo wanachinja watu jinsi mnafanya, nyie mnakuta watu kwenye mabasi na kuhoji dini zao na kuwaua kama hawamuabudu muarabu.
 
Una mindset mbovu sana so all this time unadhani mimi ni Muislam? Kwamba kila anayepinga uonevu lazima aongozwe na mahaba ya kidini?

I'm a Christian 100% but I'm not brainwashed kama nyie washirika wa pastor Ng'ang'a!!

Babu Owino mbona ni mkristo ila katoa maoni objective kabisa

Sio mindset, mnafahamika mlivyo tena wewe umekubuhu, mna uzombi wa kijinga sana ugomvi na kila dini

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)


Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Umesahau ya Kibiti na Mkuranga?
Popote penye kobazi huwa kinachafuka muda wowote.
Mkumbushe na kule Geita kisa kuchinja mifugo, vurugu zilitokea mpaka kuuana.
Yaani mfano nimepata mgeni, mgeni ni wangu,mbuzi nimenunua kwa pesa yangu, halafu wakati wa kumchinja nimtafute mvaa kobasi anichinjie,
Hivi wavaa vipedo mpo serious kweli?
 
Brother, wanayopitia sasa sio mageni kwao wamekuwa hivyo for the last 50years.

Hivyo walivyopata nafasi ya kufanya walichofanya wameona kama ni heri kwao ingawa kwa kweli hali ni mbaya.

Watoto wao wameuwawa kila siku kwa zaidi ya miaka 50

Vijana wameteseka na kina mama wametengwa na familia zao kila siku kwa miaka 50.
Lkn Brother hiyo miaka 50 unayosema wengi wao hawakuwepo kipindi hicho, pia shida haizoelwki Ndugu yangu
 
Tanzania kuna Uislam je vurugu zi wapi mkuu?
Nenda Mkuranga,Kibiti,Mtwara au kwa kuwa huoni Millard Ayo akipost?
huko kote(ukanda wa pwani) wananzisha harakati ya kujitangazia dola yao ya kiislam.Samia tulimwambia hawa unawatoa jela watasumbua amani na utulivu akawa kibri,kaweka dini mbele kuliko maslahi ya nchi.
 
Back
Top Bottom