antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kwani amehukumiwa na mahakama tayari?Ndio nasema hao hao waIsrael wamemfungulia mashtaka ya ufisadi na rushwa. Sasa unavyomquote hapo it's as if ni mzalendo au yuko serious kuhusu amani wakati ni obvious ni jizi na wamesema wayahudi wenyewe sio mimi.
Hahahhaha unishushe as if Internet points matter!! Yaani fake ID ishushwe hadhi? Kwa akili hizi ndio maana Ruto anawaburuza.
Ndio nmekuambia hata Bible mara kibao tu Mungu aliamuru wayahudi wachinje wafilisti tena mpaka watoto na wanawake!! Na walikua wakichinja hawaachi kitu.
Unaposema kuhusu waarabu kuvamia Afrika mbona hushangai wakoloni wa kizungu mfano leopold aliua waafrika zaidi ya million 10 in fact alipunguza population ya Congo zaidi ya 50% na alikua na baraka zote za kanisa.
Kama issue ni ukoloni both waarabu na wazungu walifanya yale yale tu.
Una mindset mbovu sana so all this time unadhani mimi ni Muislam? Kwamba kila anayepinga uonevu lazima aongozwe na mahaba ya kidini?
I'm a Christian 100% but I'm not brainwashed kama nyie washirika wa pastor Ng'ang'a!!
Babu Owino mbona ni mkristo ila katoa maoni objective kabisa
Mkumbushe na kule Geita kisa kuchinja mifugo, vurugu zilitokea mpaka kuuana.Umesahau ya Kibiti na Mkuranga?
Popote penye kobazi huwa kinachafuka muda wowote.
Lkn Brother hiyo miaka 50 unayosema wengi wao hawakuwepo kipindi hicho, pia shida haizoelwki Ndugu yanguBrother, wanayopitia sasa sio mageni kwao wamekuwa hivyo for the last 50years.
Hivyo walivyopata nafasi ya kufanya walichofanya wameona kama ni heri kwao ingawa kwa kweli hali ni mbaya.
Watoto wao wameuwawa kila siku kwa zaidi ya miaka 50
Vijana wameteseka na kina mama wametengwa na familia zao kila siku kwa miaka 50.
Hapana ushahidi upo issue ni hukumu itakua aina gani kma kifungo au faini but wizi kafanya iko evidentKwani amehukumiwa na mahakama tayari?
Tuhuma ni tuhuma tu, siyo uhalisia.
Wapi huko mkuu?Hutakuta Wakristo wanachinja watu jinsi mnafanya, nyie mnakuta watu kwenye mabasi na kuhoji dini zao na kuwaua kama hawamuabudu muarabu
I'm not a Muslim mbona una force,Sio mindset, mnafahamika mlivyo tena wewe umekubuhu, mna uzombi wa kijinga sana ugomvi na kila dini
Nenda Mkuranga,Kibiti,Mtwara au kwa kuwa huoni Millard Ayo akipost?Tanzania kuna Uislam je vurugu zi wapi mkuu?
Wapi huko mkuu?
Huyo anajua Dunia ilianza mwakan2000Halafu anaibuka mtu kutokea kusikojulikana anabana pua kuwa ardhi yote ya Israel ni ya akina Hamas pekee, haiwahusu Wayahudi🙄