Tetesi: Kuna pikipiki na bajaji zinazotumia umeme wa jua. Hivi askari wa usalama barabarani wana taarifa na pikipiki hizo?

Tetesi: Kuna pikipiki na bajaji zinazotumia umeme wa jua. Hivi askari wa usalama barabarani wana taarifa na pikipiki hizo?

Ila mchina jamani,anasumbua dunia sana...mara taa za barabarani za solar hata ukatike umeme zenyewe zinawakaga tu,mara pikipiki za umeme,,yaani usumbufu juu ya usumbufu,
Serikali ipige marufuku hivi vitu,havitambuliwi na sheria,vitatuletea majanga
Tunavihitaji hivi vitu sana, mchina anasaidia ila tu visajiliwe.
Gari za umeme nazo zinakuja soon sema nyie wanyonge hamtaweza kununua,
 
Back
Top Bottom