Tetesi: Kuna pikipiki na bajaji zinazotumia umeme wa jua. Hivi askari wa usalama barabarani wana taarifa na pikipiki hizo?

Tetesi: Kuna pikipiki na bajaji zinazotumia umeme wa jua. Hivi askari wa usalama barabarani wana taarifa na pikipiki hizo?

mi nashangaa watu wanao sapoti huu uzi.
Huu ni uchawi na roho mbaya.watu tunakamuliwa kila sekta.watu wanatafuta unafuu wa maisha bado mnatamani tena wakamuliwe hata pasipo kamulika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Joined Nov 2019 najua wewe ni graduate wa VETA na ni JOB SEEKER na una hasira na serikali, kitulize mwanangu.
Kodi lazma ilipwe na hizi kitu lazma zipewe usajili, kama tumesajili machinga wote kwanini tusisajil hawa watu?
 
nimeiona jana nikawaza scooter nzuri kumbe na bei ni nafuu, dah ni vile sijui kuendesha
 
Kama chombo kinaenda zaidi ya km 50/hr ni bora kitungiwe sheria ili tusije sababisha majanga kwa watu wengine, kipewe usajili, kilipe bima nk.
Hata baiskeli za kawaida zinakimbia balaa!! Je hujashuhudia Tour de France na live kule usujumani?
 
Kama kweli ulicho andika ni sahihi, Kuna tatizo kubwa. Hizo pikipiki huku mikoani zina zaidi ya miaka 3! Kumbe hazisajiliwi? Mamlaka husika zipo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Zinapitaje barabarani ili hali km hazijasajiliwa zitakua hazina namba na kwakua muonekano wake hauna tofauti na wa pikipiki na bajaji za kawaida polisi lazima atamsimamisha ili kujua kulikoni anaendesha pikipiki au bajaji bila namba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joined Nov 2019 najua wewe ni graduate wa VETA na ni JOB SEEKER na una hasira na serikali, kitulize mwanangu.
Kodi lazma ilipwe na hizi kitu lazma zipewe usajili, kama tumesajili machinga wote kwanini tusisajil hawa watu?
Mzee wangu ameacha maroli nina aidia ya ufundi ila sijawai pita veta wala chuo cha ufundi afande.
hapana mm sio job seeker.napiga mishe zangu hata uwezi amini.Mm sina chuki na serikali tena ni mzalendo hasa afande.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli, The Road Traffict Act ya TZ inaongelea Self-Propelled Vehicles tu. Nchi kama India walishafika mbali sana kwao zilianza na Insurances then baadae watu wa mazingira wakawatetea ambapo bima yao inalipwa na common fund kama zilivyo Hit-And-Run Insurances za India


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata hizo pikipiki za kuchaji kwa umeme ni self propelled kwakua zinajazwa kwanza umeme km unavyojaza mafuta alafu ndiyo inatumika na si kwamba inatumika ikiwa imeunganishwa kwenye umeme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewakurupua sasa watawasumbua hao wamiliki na kuwalamba hizo rushwa
Bado hawajaanza nao, jana nimeona maeneo ya mnazi mmoja jamaa kachubua ki-ist cha mtu, sasa sijui atalipa ama la, maana havina bima ni ujinga flani serikali imelala , yaani
 
hazina, na zina spidi kama boxer, posta waporaji, tena watoto wa kidosi wanatumia kuporea wahindi

Chief mbona hii kama chumvi, labda kama kuna vingine ila nikijuacho mimi kina honi, na speed limit yake ni 60km/hr.
 
Nimekapenda itabidi nikatafute kawe mbadala sanlg mana hakuna kwenda shel we nikucharge tu

Sijui hii inaendaje! Kuna nyingine inabidi ubadili betri baada ya muda fulani, gharama ni kama laki 5 hivi.
 
Kwa sasa sijui hali ikoje lakini way back 2005 nilikuwa na pikipiki 2 za umeme muundo wa vespa..
Nilipata shida sana hasa kwenye ishu ya usajili.. Kwakuwa hazikuwa na kipengele cha engine na hata nilipotaka kukata bima nikaambiwa nikatie si kama chombo cha moto
Katika hali isiyo ya kawaida inasemekana Jeshi la Polisi limelala usingizi wa PONO [samaki huyu hulala usingizi wiki mbili mfulilizo kwenye matumbawe].

Hali hiyo imekuja baada ya uwepo wa PIKIPIKI, VESPER NA BAISKELI za kisasa zenye kutumia umeme wa jua na umeme wa maji ambazo huchajiwa.

Swali la kujiuliza: Je, hivi pikipiki hata kama zikikugonga hazina bima wala namba, akikimbia huwezi mkamata, wanabeba mizigo na abiria kama nyingine, tatizo ni sheria ya barabarani haizitambui, sheria tuliyoridhi kwa mkoloni yaani THE ROAD TRAFFIC ACT, ambayo inaelezea chombo cha moto lazma kiwe na injini inayoendeshwa na propeller or mashine, of which hizi ni za umeme.

Rais Magufuli ana nia njema ila ana watendaji wabovu kuliko maelezo, yaani watunga sheria, ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani walipasa kuishauri serikali, WAONDOKE TU RAIS AFANYE MWENYEWE KAMA HAWAWEZI WANASHINDA MITANDAONI KUJIBIZANA KWENYE MITANDAO YA NGONO KWA WIFI YA BURE HUKO MAWIZARANI.

Serikali inakosa mapato mengi kwakuwa hivi vyombo vingesajiliwa vingeingiza mapato kwa taifa.




B

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom