Tetesi: Kuna pikipiki na bajaji zinazotumia umeme wa jua. Hivi askari wa usalama barabarani wana taarifa na pikipiki hizo?

Tetesi: Kuna pikipiki na bajaji zinazotumia umeme wa jua. Hivi askari wa usalama barabarani wana taarifa na pikipiki hizo?

Ni kweli, The Road Traffict Act ya TZ inaongelea Self-Propelled Vehicles tu. Nchi kama India walishafika mbali sana kwao zilianza na Insurances then baadae watu wa mazingira wakawatetea ambapo bima yao inalipwa na common fund kama zilivyo Hit-And-Run Insurances za India


Sent from my iPhone using JamiiForums
THank you for your input, hapa moja kwa moja unagusa slicitor general office, AG na Parliamentary draftsman ambao wao wamelala wanasubiri kutunga sheria za kuwabana wapinzani badala kufanyia marejeo sheria za kizamanai kama hizi za traffic na nyenginezo nyingi
 
Asa zikitumia umeme we unaumia nn au unapungukiwa nn ?
Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.
 
umeme wa maji ndio ukoje?
Katika hali isiyo ya kawaida inasemekana Jeshi la Polisi limelala usingizi wa PONO [samaki huyu hulala usingizi wiki mbili mfulilizo kwenye matumbawe].

Hali hiyo imekuja baada ya uwepo wa PIKIPIKI, VESPER NA BAISKELI za kisasa zenye kutumia umeme wa jua na umeme wa maji ambazo huchajiwa.

Swali la kujiuliza: Je, hivi pikipiki hata kama zikikugonga hazina bima wala namba, akikimbia huwezi mkamata, wanabeba mizigo na abiria kama nyingine, tatizo ni sheria ya barabarani haizitambui, sheria tuliyoridhi kwa mkoloni yaani THE ROAD TRAFFIC ACT, ambayo inaelezea chombo cha moto lazma kiwe na injini inayoendeshwa na propeller or mashine, of which hizi ni za umeme.

Rais Magufuli ana nia njema ila ana watendaji wabovu kuliko maelezo, yaani watunga sheria, ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani walipasa kuishauri serikali, WAONDOKE TU RAIS AFANYE MWENYEWE KAMA HAWAWEZI WANASHINDA MITANDAONI KUJIBIZANA KWENYE MITANDAO YA NGONO KWA WIFI YA BURE HUKO MAWIZARANI.

Serikali inakosa mapato mengi kwakuwa hivi vyombo vingesajiliwa vingeingiza mapato kwa taifa.




B
 
Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.
Kwani kabla ya hizo baiskeli majeshi yalilipwa nini?usiingize maswala ya majeshi wenye issue za baiskel,hivi wabongo why mnaroho ya kwanini hivi?ukiona hivyo basi ukute kuna jirani yako kanunua na wewe huna,unaona gele



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.
Boya sana we jamaa utafaidik na nn sasa?
 
Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.

Et wanajesh walipwe umeambiw hawalipwi? Usiumie kwa maendeleo ya mwenzio we imaonekana ni bodaboda Asa unaona wivu kwakua wew unanua mafuta wao hawanunui
 
Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.
Private,,kwani hamlipwi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kabla ya hizo baiskeli majeshi yalilipwa nini?usiingize maswala ya majeshi wenye issue za baiskel,hivi wabongo why mnaroho ya kwanini hivi?ukiona hivyo basi ukute kuna jirani yako kanunua na wewe huna,unaona gele



Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndio wale moja ya kundi la wanajeshi wapumbavi wanaopiga raia kila kapolwa simu na mtu asiye mjua!!wanakuwaga na akili kama za huyu jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali inalijua hilo ndiyo maana imewaachia wananchi wamiliki hivi vyombo bila kusajiliwa na kulipia chochote ili wajikwamue kiuchumi. Pikipiki zote zinazotumia betri zinahesabika kama baiskeli na hazina plate namba, hazikatiwi bima wala hazisajiliwi.
 
Kama chombo kinaenda zaidi ya km 50/hr ni bora kitungiwe sheria ili tusije sababisha majanga kwa watu wengine, kipewe usajili, kilipe bima nk.
 
Hawa ndio wale moja ya kundi la wanajeshi wapumbavi wanaopiga raia kila kapolwa simu na mtu asiye mjua!!wanakuwaga na akili kama za huyu jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Azma ipo pale pale na Solicitor General anawasiliana na Prof Kilangi kurekebisha kanuni za ROAD TRAFFIC ACT, hizo pikipiki zilipiwe
 
Back
Top Bottom