clonazepam
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 247
- 281
Hivi hazina hata honi?Zipo kariakoo , Kishen, hazina Sauti , inaweza kukugonga ghafla, dar zipo na bei ni kuanzia laki tano tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hazina hata honi?Zipo kariakoo , Kishen, hazina Sauti , inaweza kukugonga ghafla, dar zipo na bei ni kuanzia laki tano tu.
THank you for your input, hapa moja kwa moja unagusa slicitor general office, AG na Parliamentary draftsman ambao wao wamelala wanasubiri kutunga sheria za kuwabana wapinzani badala kufanyia marejeo sheria za kizamanai kama hizi za traffic na nyenginezo nyingiNi kweli, The Road Traffict Act ya TZ inaongelea Self-Propelled Vehicles tu. Nchi kama India walishafika mbali sana kwao zilianza na Insurances then baadae watu wa mazingira wakawatetea ambapo bima yao inalipwa na common fund kama zilivyo Hit-And-Run Insurances za India
Sent from my iPhone using JamiiForums
hazina, na zina spidi kama boxer, posta waporaji, tena watoto wa kidosi wanatumia kuporea wahindi
Ipo kimya, ukienda polisi aliyekugonga anaambiwa akuletee uji hospitali
Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.Asa zikitumia umeme we unaumia nn au unapungukiwa nn ?
😂 😂 😂 😂 😂 😂
Katika hali isiyo ya kawaida inasemekana Jeshi la Polisi limelala usingizi wa PONO [samaki huyu hulala usingizi wiki mbili mfulilizo kwenye matumbawe].
Hali hiyo imekuja baada ya uwepo wa PIKIPIKI, VESPER NA BAISKELI za kisasa zenye kutumia umeme wa jua na umeme wa maji ambazo huchajiwa.
Swali la kujiuliza: Je, hivi pikipiki hata kama zikikugonga hazina bima wala namba, akikimbia huwezi mkamata, wanabeba mizigo na abiria kama nyingine, tatizo ni sheria ya barabarani haizitambui, sheria tuliyoridhi kwa mkoloni yaani THE ROAD TRAFFIC ACT, ambayo inaelezea chombo cha moto lazma kiwe na injini inayoendeshwa na propeller or mashine, of which hizi ni za umeme.
Rais Magufuli ana nia njema ila ana watendaji wabovu kuliko maelezo, yaani watunga sheria, ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani walipasa kuishauri serikali, WAONDOKE TU RAIS AFANYE MWENYEWE KAMA HAWAWEZI WANASHINDA MITANDAONI KUJIBIZANA KWENYE MITANDAO YA NGONO KWA WIFI YA BURE HUKO MAWIZARANI.
Serikali inakosa mapato mengi kwakuwa hivi vyombo vingesajiliwa vingeingiza mapato kwa taifa.
View attachment 1419846View attachment 1419846
View attachment 1419847View attachment 1419848View attachment 1419850
B
kivipi?Yes, ikikugonga impact yake ni kubwa kuliko hizi phoenix tulizo zoea,
Kwani kabla ya hizo baiskeli majeshi yalilipwa nini?usiingize maswala ya majeshi wenye issue za baiskel,hivi wabongo why mnaroho ya kwanini hivi?ukiona hivyo basi ukute kuna jirani yako kanunua na wewe huna,unaona geleSsome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.
Yes, ikikugonga impact yake ni kubwa kuliko hizi phoenix tulizo zoea,
Boya sana we jamaa utafaidik na nn sasa?Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.
Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.
Private,,kwani hamlipwi??Ssome uelewe, Tunataka zilipe insurance incase ikisababisha ajali kama zinavyogonga watu kariakoo kwa sasa mtu aweze fidiwa na bima.
Tunataka ziwe na namba, zikifanya uhalifu tujue wa kumkamata.
tunataka zilipe mapato ili serikali ipate fedha ya kulipa wanajeshi wanaolinda nchi yetu wakati MA-BOGUS kama wewe mnaamkia kwenye nyumba za urithi hamjui lolote kuhusu maisha.
Hawa ndio wale moja ya kundi la wanajeshi wapumbavi wanaopiga raia kila kapolwa simu na mtu asiye mjua!!wanakuwaga na akili kama za huyu jamaa!Kwani kabla ya hizo baiskeli majeshi yalilipwa nini?usiingize maswala ya majeshi wenye issue za baiskel,hivi wabongo why mnaroho ya kwanini hivi?ukiona hivyo basi ukute kuna jirani yako kanunua na wewe huna,unaona gele
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunataka na hizo ili tupandishwe madaraja
Azma ipo pale pale na Solicitor General anawasiliana na Prof Kilangi kurekebisha kanuni za ROAD TRAFFIC ACT, hizo pikipiki zilipiweHawa ndio wale moja ya kundi la wanajeshi wapumbavi wanaopiga raia kila kapolwa simu na mtu asiye mjua!!wanakuwaga na akili kama za huyu jamaa!
Sent using Jamii Forums mobile app