CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Dah inatisha kwa kweli wanachambua mshahara wa Messi kuna jamaa anasema kwamba mshahara wa mwezi wa Messi una finance bajeti ya nchi ya Tanzania, dah nimejisikia hata kulia inakuwaje watu ma genius kama sisi hatuna ajira halafu vilaza wako kwenye media wanaongea pumba.
Eti bajeti ya tanzania ni usd milioni 700 ,duh
Eti bajeti ya tanzania ni usd milioni 700 ,duh