Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Bora kufua boxer na kuvaa kiliko kisifia vifua vya wanaume wenzako na kutamani kuwa shogaHivi wanaume tumekuwaje? Tunapenda sana kuwalaum Dada zetu hawasafishi nyeti zao ila hata sisi tunashida kwenye usafi binafsi
Unakuta mtu nguo ya ndani hafui naakifua anavaa ikiwa mbichi bafuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],, Kuna jamaa angu Leo nimecheka sana kaenda kuoga namsikia anafua ajabu ametoka bafuni nguo aliyokuwa anafua haionekani nikasema hiyo ni boxer kafua na kuvaa ikiwa na mimaji Maji Sasa siatapata fangasi na miwasho
We chizi fresh nini kwahiyo ulitaka akienda kuoga nitoke nje auHivi unakaaje chumba kimoja na mwanaume huku ukishuhudia anatoka kuoga?
We jamaa unatia mashaka sana [emoji15][emoji848]
Au unachangamsha genge sio?
Huyu alisema anatamani kuwa mwanamke na hapa naona kaolewaHivi unakaaje chumba kimoja na mwanaume huku ukishuhudia anatoka kuoga?
We jamaa unatia mashaka sana [emoji15][emoji848]
Au unachangamsha genge sio?
MmmhHio ni kama coolant inapooza si unajua kuna billions of seeds so lazima ipoozwe hata maghala yanapoozwa
Ngoja tuoneWamekusikia, wataacha
Maoni yako nimeyapokea mkuu [emoji1374]Huyu alisema anatamani kuwa mwanamke na hapa naona kaolewa
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Mkuu hata mm nashangaa sana, kwanza nitajikuna kwenye makalio na mapumbu mpaka upere utaotaMtu atavaaje nguo mbichi
Hii chai
Acha ujinga kuwa smart fua boxer Anika juani ikauke uvaeniulizeni mimi niwape siri ya kuvaa pichu mbichi
Upo sahihi kakaBora kufua boxer na kuvaa kiliko kisifia vifua vya wanaume wenzako na kutamani kuwa shoga
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Lakini kwanini uchunguze boxer ya mwanaume mwenzako, unatafuta niniMkuu hata mm nashangaa sana, kwanza nitajikuna kwenye makalio na mapumbu mpaka upere utaota
Kuna shida??Lakini kwanini uchunguze boxer ya mwanaume mwenzako, unatafuta nini
Sawa kakaDuh! Umeshaolewa tayali mpaka unaona mumeo anavaa boxer mbichi.
RIP