cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nimecheka had mbavu zinauma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila humu sijui Mpwayungu amewapa nini! Hata akileta posts za kuonesha dalili lakini bado mnamshobokea.
Posts zake za mwisho mwisho mpaka sasa zina utata sana jamani, au mnataka mpaka awatamkie mwenyewe kwamba anashiriki ndio mtaacha kumshobokea.
Angekuwa mwingine ndio analeta nyuzi kama za Mpwayungu angekuwa anashambuliwa.
Sasa humu watu wana hangaika na watu wala hawajui? Ko km akiwa alphabet bas asishobokewee?
Mbna wazungu mnawashobokea sana tena wao washa clarify hiki kitu, na misaada na mikopo yenye riba nafuu mnapokea, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UNAFIKII utaua nyie. Khaaah