Kuna rafiki yangu huwa anafua boxer nakuvaa ikiwa mbichi

Kuna rafiki yangu huwa anafua boxer nakuvaa ikiwa mbichi

Ila humu sijui Mpwayungu amewapa nini! Hata akileta posts za kuonesha dalili lakini bado mnamshobokea.

Posts zake za mwisho mwisho mpaka sasa zina utata sana jamani, au mnataka mpaka awatamkie mwenyewe kwamba anashiriki ndio mtaacha kumshobokea.

Angekuwa mwingine ndio analeta nyuzi kama za Mpwayungu angekuwa anashambuliwa.
Nimecheka had mbavu zinauma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa humu watu wana hangaika na watu wala hawajui? Ko km akiwa alphabet bas asishobokewee?

Mbna wazungu mnawashobokea sana tena wao washa clarify hiki kitu, na misaada na mikopo yenye riba nafuu mnapokea, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

UNAFIKII utaua nyie. Khaaah
 
Hivi wanaume tumekuwaje? Tunapenda sana kuwalaum Dada zetu hawasafishi nyeti zao ila hata sisi tunashida kwenye usafi binafsi

Unakuta mtu nguo ya ndani hafui naakifua anavaa ikiwa mbichi bafuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kuna jamaa angu Leo nimecheka sana kaenda kuoga namsikia anafua ajabu ametoka bafuni nguo aliyokuwa anafua haionekani nikasema hiyo ni boxer kafua na kuvaa ikiwa na mimaji Maji Sasa siatapata fangasi na miwasho
Ushoga ni laana.
 
Hivi wanaume tumekuwaje? Tunapenda sana kuwalaum Dada zetu hawasafishi nyeti zao ila hata sisi tunashida kwenye usafi binafsi

Unakuta mtu nguo ya ndani hafui naakifua anavaa ikiwa mbichi bafuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kuna jamaa angu Leo nimecheka sana kaenda kuoga namsikia anafua ajabu ametoka bafuni nguo aliyokuwa anafua haionekani nikasema hiyo ni boxer kafua na kuvaa ikiwa na mimaji Maji Sasa siatapata fangasi na miwasho

Unamtaka?? unampenda?? Bas ‘mt….

Ni wimbo wa diamond[emoji3][emoji3]Mjini pazito
 
Mh hapana mkuu, sema kila mtu hupata wa kufanana nae ila hakuna mwanamke anapenda mtu mchafu
Sema tu wapo wanawake dizaini sio wasafi sana na wakikutana na wanaume wasafi kidogo kwao inakuwa ni kipengele.
Kama ulivosema ndege wafananao huruka anga moja. Ngoja niweke nia huko Pm yako 😅😅😅
 
Back
Top Bottom