Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Huyo anayevaa boxer mbichi hana chawa kweli?Acha ujinga kuwa smart fua boxer Anika juani ikauke uvae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anayevaa boxer mbichi hana chawa kweli?Acha ujinga kuwa smart fua boxer Anika juani ikauke uvae
Ananuka uvundo mda wote anaingiza mkono chiniHuyo anayevaa boxer mbichi hana chawa kweli?
NdioUnalala chumba kimoja na mwanaume mwenzio?[emoji58]
Mfukuzeni hapo maskani akaishi station ya garimoshi.😂Ananuka uvundo mda wote anaingiza mkono chini
HhhahahaMfukuzeni hapo maskani akaishi station ya garimoshi.[emoji23]
PoleNdio
MwanaumeHuyu jamaa hajasema na atasema tu yan hadi aseme yy ni jinsia gani!!!:
Tell me gayHili jamaa bana
Wewe utakuwa utapigwa pumbu sio bure, mara utamani kuwa mwanamke, mara umechunguza wanaume wengi wana magovi sijui wanapata raha gani na magovi, mara leo rafiki yako mnaelala naye amevaa chupi yenye maji, utakuwa na shida.Hivi wanaume tumekuwaje? Tunapenda sana kuwalaum Dada zetu hawasafishi nyeti zao ila hata sisi tunashida kwenye usafi binafsi
Unakuta mtu nguo ya ndani hafui naakifua anavaa ikiwa mbichi bafuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],, Kuna jamaa angu Leo nimecheka sana kaenda kuoga namsikia anafua ajabu ametoka bafuni nguo aliyokuwa anafua haionekani nikasema hiyo ni boxer kafua na kuvaa ikiwa na mimaji Maji Sasa siatapata fangasi na miwasho
Huyo tulishampoteza muda tu mkuuHivi unakaaje chumba kimoja na mwanaume huku ukishuhudia anatoka kuoga?
We jamaa unatia mashaka sana 😳🤔
Au unachangamsha genge sio?
Threads zako zinatia mashaka sana.Hivi wanaume tumekuwaje? Tunapenda sana kuwalaum Dada zetu hawasafishi nyeti zao ila hata sisi tunashida kwenye usafi binafsi
Unakuta mtu nguo ya ndani hafui naakifua anavaa ikiwa mbichi bafuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],, Kuna jamaa angu Leo nimecheka sana kaenda kuoga namsikia anafua ajabu ametoka bafuni nguo aliyokuwa anafua haionekani nikasema hiyo ni boxer kafua na kuvaa ikiwa na mimaji Maji Sasa siatapata fangasi na miwasho
Naskia anavyofuaSasa mwamba ulikuwa unatafutwa nini mpaka ukaona boxer imefuliwa hahaha
Kumekuchaaa. [emoji23][emoji23][emoji23]Bora kufua boxer na kuvaa kiliko kisifia vifua vya wanaume wenzako na kutamani kuwa shoga
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Haya eleza kwa umma hapa wajue, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niulizeni mimi niwape siri ya kuvaa pichu mbichi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kivumbi leo.Huyu jamaa hajasema na atasema tu yan hadi aseme yy ni jinsia gani!!!: