Kuna rafiki yangu huwa anafua boxer nakuvaa ikiwa mbichi

Kuna rafiki yangu huwa anafua boxer nakuvaa ikiwa mbichi

Hivi wanaume tumekuwaje? Tunapenda sana kuwalaum Dada zetu hawasafishi nyeti zao ila hata sisi tunashida kwenye usafi binafsi

Unakuta mtu nguo ya ndani hafui naakifua anavaa ikiwa mbichi bafuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],, Kuna jamaa angu Leo nimecheka sana kaenda kuoga namsikia anafua ajabu ametoka bafuni nguo aliyokuwa anafua haionekani nikasema hiyo ni boxer kafua na kuvaa ikiwa na mimaji Maji Sasa siatapata fangasi na miwasho
Wewe utakuwa utapigwa pumbu sio bure, mara utamani kuwa mwanamke, mara umechunguza wanaume wengi wana magovi sijui wanapata raha gani na magovi, mara leo rafiki yako mnaelala naye amevaa chupi yenye maji, utakuwa na shida.
 
Hivi wanaume tumekuwaje? Tunapenda sana kuwalaum Dada zetu hawasafishi nyeti zao ila hata sisi tunashida kwenye usafi binafsi

Unakuta mtu nguo ya ndani hafui naakifua anavaa ikiwa mbichi bafuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],, Kuna jamaa angu Leo nimecheka sana kaenda kuoga namsikia anafua ajabu ametoka bafuni nguo aliyokuwa anafua haionekani nikasema hiyo ni boxer kafua na kuvaa ikiwa na mimaji Maji Sasa siatapata fangasi na miwasho
Threads zako zinatia mashaka sana.
 
Ila humu sijui Mpwayungu amewapa nini! Hata akileta posts za kuonesha dalili lakini bado mnamshobokea.

Posts zake za mwisho mwisho mpaka sasa zina utata sana jamani, au mnataka mpaka awatamkie mwenyewe kwamba anashiriki ndio mtaacha kumshobokea.

Angekuwa mwingine ndio analeta nyuzi kama za Mpwayungu angekuwa anashambuliwa.
 
Back
Top Bottom