Kuna rafiki yangu huwa anafua boxer nakuvaa ikiwa mbichi

Wewe utakuwa utapigwa pumbu sio bure, mara utamani kuwa mwanamke, mara umechunguza wanaume wengi wana magovi sijui wanapata raha gani na magovi, mara leo rafiki yako mnaelala naye amevaa chupi yenye maji, utakuwa na shida.
 
Threads zako zinatia mashaka sana.
 
Ila humu sijui Mpwayungu amewapa nini! Hata akileta posts za kuonesha dalili lakini bado mnamshobokea.

Posts zake za mwisho mwisho mpaka sasa zina utata sana jamani, au mnataka mpaka awatamkie mwenyewe kwamba anashiriki ndio mtaacha kumshobokea.

Angekuwa mwingine ndio analeta nyuzi kama za Mpwayungu angekuwa anashambuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…