Kuna rafiki yangu huwa anafua boxer nakuvaa ikiwa mbichi

Nimecheka had mbavu zinauma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa humu watu wana hangaika na watu wala hawajui? Ko km akiwa alphabet bas asishobokewee?

Mbna wazungu mnawashobokea sana tena wao washa clarify hiki kitu, na misaada na mikopo yenye riba nafuu mnapokea, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

UNAFIKII utaua nyie. Khaaah
 
Ushoga ni laana.
 

Unamtaka?? unampenda?? Bas β€˜mt….

Ni wimbo wa diamond[emoji3][emoji3]Mjini pazito
 
Mh hapana mkuu, sema kila mtu hupata wa kufanana nae ila hakuna mwanamke anapenda mtu mchafu
Sema tu wapo wanawake dizaini sio wasafi sana na wakikutana na wanaume wasafi kidogo kwao inakuwa ni kipengele.
Kama ulivosema ndege wafananao huruka anga moja. Ngoja niweke nia huko Pm yako πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…