Kuna rocket imetumwa huko angani ikagonge mwamba unaohatarisha kugonga dunia

Akili za mbongo kujadili mambo ya uko juu ni sawa na kupigwa na kitu kizito kichwani.
 
Shida unapenda story kuliko kujenga hoja.

Jenga hoja,sisi tunaangalia ukweli mimi huwa napinga sayansi kwa hoja za kiakili,uhalisia na Qur'aan. Sasa unaposema viwebsite uchwara nakuona huna hoja Tuweke hoja mezani na tuulizane maswali.

Uongo mwingi tunaupata Wikipedia labda uwe unasoma kiushabiki na hujui ukweli wa mambo unayotaka kuyajua.
 
Nakuuliza Swali Jepesi sana na lazima likushinde.

Hiyo simu unayotumia unajua ilipotengenezwa na ilichukua miaka mingapi mpaka kufikia hatua hiyo?

Au uliitengeneza/kuivumbua wewe mkuu?
Nijibu.

Mubarridi
Simu ni uhalisia kijana na Sayansi yenye matatizo hasa ni Sayansi ya anga,japo kwa ujumla wake Sayansi inashindwa kwenye hitimisho. Soma nilichokiandika hapo juu.

Naishi katika ulimwengu wa Sayansi na napata ugali kupitia huko ila kuna matatizo na uongo mwingi sana.
 
Hoja kuntu
 
Sijawahi kuona wstu wajinga kama wa humu jf unakuta unaandika maneno bila kujenga hoja.

Nakuuliza swali dogo kwanini kuna "Assumptions" katika nadharia za kisayansi ? Pale kimefichikana nini ? Kwanini Gravitational Constant G = 6.673Γ—10-11 N m2 kg-2. ? Uhalisia wake uko wapi hapo ?

Mimi nachotaka uweke hoja upinge kwa hoja.
 
Kijana shida huna hoja kabisa au huenda wewe ni shabiki wa Sayansi na hujihusishi na Sayansi.

Kama ni mtu wa kujishughulisha na elimu usingeandika huu upuuzi wangapi wameishi miaka na mikaka mpaka wanakufa wanajua dunia inazunguka jua au dunia inatanuka ? Lakini ukweli ni kinyume chake ?

Kwahiyo kudumu kwa muda mrefu si hoja ya mtu kupatia katika jambo fulani.

Yaani amshiba ugali huko (Newton au Enstein) anakuja kukwambia kwamba kuna Universal Gravitational Force na kwamba bila hiyo hivyo vitu vingekuwa vinagongana,sasa unajiuliza amelijuaje hilo na hapajawahi kukoseakana au kuonekana vitu vikigongana ? Au kwamba dunia inatanuka halafu mtu huyo amekaa tu ameshiba anawadanganya watu.
bla bla za Mungu wenu sijui kufuru,wanamjaribu Mungu,Mungu Ndie atakaye tulinda,huo ni mpango wa ibilisi sijui hawatafanikiwa!
Daaaaaaa inasikitisha Sana!
Kijana jaribu kujenga hoja usilalame.
Maujinga tu yapo vichwani mwenu Tena wengine ni members ambao hua naona angalau kidogo akili zenu zinachaji kumbe likija swala la kisayansi lakugusa dini zenu mnajulikana Kwa ujuha wenu
Shwain!

Elimu! Elimu!Elimu!
Unasema tuna maujinga na unashindwa kukosoa tunayo yaandika sasa hapa mjinga mani ? Bila shaka mjinga ni wewe.
 
Dah,yaani umeamini100%.Hivi unajua hawa hawa ndio waliodanganya wamekwenda mwezini kumbe ilikuwa uongo.Hivi unajua kwamba hawa hawa ndio waliosema Twin Towers New York zimepigwa na terrorists,kumbe wamezipiga wenyewe wakishirikiana na MOSSAD ili waendeleze agenda zao za kishenzi.Na je,hivi unajua ndio hao hao walio ikalia Afghanistan wakidai nia ni ku-stamp out terrorism, kumbe nia ni kufanya biashara ya Cocaine?Je,unajua kwamba ndio hao walio ivamia Iraq wakidai kuna silaha za maangamizi, kumbe ni uongo?Je, unajua kwamba ndio hao hao walioanzisha vita ya I na ya II ya dunia kwa nia ya kufanya biashara ya silaha?Je, unajua ndio hao walio partition Africa ili kuwa-weaken na hatimaye kuwaibia Waafrika?Na je, unajua hao hao ndio waanzilishi wa terrorist organizations worldwide kwa nia ya ku-weaken
countries na hatimaye baadaye kutekeleza malengo yao ya Kishetani ya kuitawala dunia?Je,unajua kwamba hawa hawa ndio walΓ­o muua Rais wao JF Kennedy halafu wakadai he was killed by a lone killer?Je,unajua kwamba hawa ndio waliobuni dhana ya Bin Laden,halafu baadae wakadai wamemuua na kumzika baharini,kumbe ni uongo wana nia ya kuendeleza agenda zao za kipepo za kuitawala Dunia?Sasa brother kama mambo yako hivyoo,why should you believe them now for anything.Brother,hawa watu ni waongo was kutupa,because their father is Satan,na yeye ndiye baba wa uongo.

You know what they are doing,they are trying to justify safari zao nyingi za kwenda anga za juu kwa visingizio ambavyo sivyo.The truth is, wanatengeneza mazingira ya kumleta their fake Messiah,ambaye wanategemea mimi na wewe tutamwamini,ambaye infact atakuwa ndiye the Antichrist.Brother they are preparing a grand deception and illusion which humanity has never witnessed.Wake up.
 
 
Harmonise diamond shyshy
Kuna umbea gani leo

Ova
 
.

You know what they are doing,they are trying to justify safari zao nyingi za kwenda anga za juu kwa visingizio ambovyo sivyo.The truth is, wanatengeneza mazingira ya kumleta their fake Messiah,ambaye wanategemea mimi na wewe tutamwamini.

Kumekucha...

Masihi wanayemwandaa kwa haya masafari yao feki ni mpinga Kristo aliyetabiriwa kwenye Biblia au ndo wanataka kusingizia kuwa Yesu karudi mara ya pili kupitia haya maroketi yao?

Umenifurahisha sana mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hili ni dili la kuchota matrillion kwa kutishiana vitu ambavyo havipo, hapa nchi zote tutachangishwa pesa kwa madai wanarusha makombora ya kulipiga hilo jiwe, kumbe wanarusha sattelite zao tu, na mchango tunalipishwa
🀣🀣🀣🀣🀣
 

Uongooo
 

Ngoja sisi tuwakomoe makomando wetu mahakamani kwanza
 
Wanajiingiza kwenye mambo yasiyowahusu,Aliyeiumba dunia anajua kuilinda,na miendo yake.Kampa kila kilema mwendo wake,ameweka mipaka ya maji bahari kuishia.Ameitundika dunia angani pasipo kamba ya kushikia,mwezi wazunguka lakini hauigongi dunia,Mafuta na gesi yamejaa ardhini na volcano ya moto ipo huko chini lakini dunia haiteketei. Mpaka aamuru.
Wao wanasayansi wanasema wanailinda dunia. Hebu Wanasayansi Mtukuzeni Mwenyezi Mungu.
 
kwahiyo wewe unaona hizo zako ndio hoja?
Aisee acha vioja afadhari ya Mimi shabiki wa sayansi kuliko wewe shabiki wa dini!
Unafurahisha Sana Kwa kuandika gazeti reeefu halafu pumba tupu Labda waarabu weusi wenzio ndio hua wanakuelewa!
😁😁😁😁
 
Haoa naona napoteza muda,endelea kushabikia Sayansi sisi tukihoji na kuikosoa Sayansi.

Shukrani sana. Kazi yangu nimemaliza.
 
Haoa naona napoteza muda,endelea kushabikia Sayansi sisi tukihoji na kuikosoa Sayansi.

Shukrani sana. Kazi yangu nimemaliza.
Sasa sayansi tena leo mnaipiga kiwiko wakati moja ya sifa ambazo mnatumia kuipamba quran ni kuonesha mambo ya sayansi yaliyoelezwa ndani ya hicho kitabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…