Kuna rocket imetumwa huko angani ikagonge mwamba unaohatarisha kugonga dunia

Ukienda anga za juu kabisa huko.
Haka kadunia unakaona Kama kamchanga.
Yaani hill anga la bluu unaloliona sio mwisho hapo.
Kaka hizi habari zinatishaaa
 
Unaona huo mfumo wa jua na sayari zake.?
Sasa hapo kuna umbali kutoka jua Hadi hizo sayari,alafu Kuna umbali kutoka sayari Hadi sayari.
Alafu ndo Kuna umbali kutoka kwenye huo mfumo wa jua mpaka anga za mbali hukooooooo.
Yaani ukikatika huko ndo dunia unakaona Kama kimchanga au kinukta
 
Uliposema nyinyi mimi umenitoaje katika tamko nyinyi ?
Nyinyi nikimaanisha waislamu, na sio lazima mpaka uwepo wewe miongoni mwa hao watu waliosema hivyo

Nikisema mwezi wa ramadhani waislamu wanafunga, hiyo ina maana kila muislamu lazima awe amefunga?
 
Wakati naanza kukupa maelezo ya hoja yangu nilisema hivi ndugu mubarrid:
Ngoja nikuelekeze kisha tusipoelewana utajua mwenyewe.
Hii sentensi ililenga kutokuendeleza mjadala sana kutokana na mazingira niliyopo sasa.
Kwa kuwa umetoa maelezo marefu, nikiwa katika mazingira rafiki ya kusoma na kujibu hoja zako kwa umakini nadhani tutaendelea.
 
Nyinyi nikimaanisha waislamu, na sio lazima mpaka uwepo wewe miongoni mwa hao watu waliosema hivyo

Nikisema mwezi wa ramadhani waislamu wanafunga, hiyo ina maana kila muislamu lazima awe amefunga?
Huu ujinga mwingine sasa,suala la mwezi wa ramadhani ni waislamu wote hufunga isipokuwa walio kwenye dharura na ramadhani ni nguzo katika nguzo ya uislamu.

Mintarafu ulilolisema si nguzo wala si tawi katika dini bali ni waislamu wachache wajiitao watetezi hudai hilo. Ndiyo maana kauli yako si sahihi na mfano wako si sahihi sababu umeweja lisilo husika.
 
Kwa hiyo wasiofunga wote katika hicho kipindi ni lazima wawe na dharula?
 
Kaida za kiusuli hufanya survey kila nyumba?
Inaonekana hujaelewa nini nilichokiandika ndiyo maana ukauliza swali lisilo hitajika. Hili ni swali la pili umeuliza na umekosea kuuliza,la kwanza ni hilo kuhusu research,unaongelea research katika suala la kaida ?
 
Inaonekana hujaelewa nini nilichokiandika ndiyo maana ukauliza swali lisilo hitajika. Hili ni swali la pili umeuliza na umekosea kuuliza,la kwanza ni hilo kuhusu research,unaongelea research katika suala la kaida ?
Mimi nimehoji kutaka kujua majibu yaliyopatikama exacly kupitia research na sio makadirio

Hoja yangu inahusu kujua majibu kwa research kuhusiana na waislamu ambao hawafungi katika hicho kipindi kwanini wote wawe na dharula?
 
Mimi nimehoji kutaka kujua majibu yaliyopatikama exacly kupitia research na sio makadirio

Hoja yangu inahusu kujua majibu kwa research kuhusiana na waislamu ambao hawafungi katika hicho kipindi kwanini wote wawe na dharula?
Sasa unafanyaje research juu ya kitu ambacho hujui misingi na hukumu zake zikoje ?

Hizi hatua za research/ tafiti mmefundishwaje huko mavyuoni ?
 
Sasa unafanyaje research juu ya kitu ambacho hujui misingi na hukumu zake zikoje ?

Hizi hatua za research/ tafiti mmefundishwaje huko mavyuoni ?
Mi nimekuuliza, hizo statistics zako kua wasiofunga huwa na dharula ni based kwenye research au ni personal speculations zako tu?
 
Mi nimekuuliza, hizo statistics zako kua wasiofunga huwa na dharula ni based kwenye research au ni personal speculations zako tu?
Hili nimeshakujibu tayari ndiyo maana nikashangaa tafiti zenu mnazifanyaje ? Yaani unachokiandika katika Uislamu wetu hakipo na nashangaa zaidi kuniuliza kuhusu takwimu. Vijana muwe mnasoma haya mambo siyo mnakurupuka.
 
Hili nimeshakujibu tayari ndiyo maana nikashangaa tafiti zenu mnazifanyaje ? Yaani unachokiandika katika Uislamu wetu hakipo na nashangaa zaidi kuniuliza kuhusu takwimu. Vijana muwe mnasoma haya mambo siyo mnakurupuka.
Umenijibu wapi kuonesha research uliyofanya kila nyumba iliyokuwa na waislamu ambao hawakufunga walipatwa na dharula?
 
Jiwe lenyewe limetengenezwa completely na Africa map sijajua wanataka kuyufanya nn. Africa inaenda kupigwa na kitu kizito.
 
Hivi ile movie ya mwisho wa dunia na freemason ili ishia wapi ili trend sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuwaache wenzetu wapambane [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…