Kuna sababu gani Tundu Lissu kukaa kimya kabisa kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe?

Kuna sababu gani Tundu Lissu kukaa kimya kabisa kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe?

Yule ni mwanasheria anayejielewa kesi ikishakuwepo mahakamani ni marufuku kuiongelea.......
sasa nyie Alina mayasa hamuwezi kuelewa
Nazungumzia Mara ngapi kesi zilizopo mahakamani!? Lazima tuwe wakweli ukimiya wa Sasa kwa wenye Akili unaleta maswali yenye ukakasi.
 
Back
Top Bottom