Jiwe naye ni tumbo lake!Upinzani kwa sasa limebaki jina tu hakuna upinzani kwa hivi sasa hao wote wapo kwa ajili ya matumbo yao tu.
Lkn akija dictator kama Jiwe, nayo ataivunja. Had it not been for the strong Institutions in the US, Trump would have trodden on their Katiba!Inshort ni kwamba Katiba katiba katiba katiba katiba katiba katiba
Kama hawajapata ruzuku hapo Ufipa wanaishije?
Tupe reasoning!Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.
Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).
Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.
Britannica
Mbona wabunge hao ndio watakaoiua/ifuta kabisa CHADEMA mkuu '
Kwa jinsi ulivyoandika wewe utakuwa kiongozi wa juu wa Chadema unayetaka kututoa nje ya mada ya mleta madaSisi kama Watanzania tunataka katiba mpya. Hatuishi kwa kuangalia uingereza au Israel wanafanya nini au wanaishi vipi hizi ni nchi mbili tofauti
Katiba ikiwa strong kiasi kwamba kila mhimili ukajitegemea kimaamuzi basi itakuwa ngumu sana kuivunja hiyo katiba. Angalia Kenya uhuru anavyohangaika kuimodify katiba lakini bado anakutana na ugumu wa aina yake. Nafikiri katiba ya warioba inaweza ikapoza machungu na maumivu tunayoyapitia kwa muda wa miaka zaidi ya hamsini sasaJiwe naye ni tumbo lake!
Lkn akija dictator kama Jiwe, nayo ataivunja. Had it not been for the strong Institutions in the US, Trump would have trodden on their Katiba!
Kipi kinachokufanya useme hivyo ndugu? kwnye hoja tukite hoja na si visirani. Mimi ninachokiona kwa Tanzania yetu hii shida kubwa ipo kwenye mfumo wa kiuongozi ulioletelezwa na katiba mbovu. Sasa nini kimefanya usijibu hoja unishambulie???Kwa jinsi ulivyoandika wewe utakuwa kiongozi wa juu wa Chadema unayetaka kututoa nje ya mada ya mleta mada
mleta mada ana hoja nzito ambayo wewe unahangaika kutaka ku i divert tuhamie kwingine
Angeongoza vikao vya Chama kuwafukuza?Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.
Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).
Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.
Britannica
Lile kanusho kilikuwa ni zuga mkuu!Hata mimi nawaza hivyo.
Hata lile kanusho la kutopokea ruzuku hata siliamini. [emoji21]
Ukishampa mtu mmoja mamlaka ya kuamrisha polsi, wanajeshi, TISS waue, wateke, wapoteze...then hata Katiba ikawa nzuri vipi , ataivunja. Kinachompa Jiwe kiburi ni silaha za polisi na jeshi, TISS.... short of that watu wangeliandamana na asingelikuwa rais leoKatiba ikiwa strong kiasi kwamba kila mhimili ukajitegemea kimaamuzi basi itakuwa ngumu sana kuivunja hiyo katiba. Angalia Kenya uhuru anavyohangaika kuimodify katiba lakini bado anakutana na ugumu wa aina yake. Nafikiri katiba ya warioba inaweza ikapoza machungu na maumivu tunayoyapitia kwa muda wa miaka zaidi ya hamsini sasa
Kwa hyo ccm wapo kwa kwa ajili ya tumbo lako?Comment ya kitoto isiyofikirishaUpinzani kwa sasa limebaki jina tu hakuna upinzani kwa hivi sasa hao wote wapo kwa ajili ya matumbo yao tu.
Ndio maana kila siku tunasisitiza katiba itakayozifanya taasisi mbalimbali za kiserikali ziwe huru na ziwe na maamuzi huru ya kiuongoziUkishampa mtu mmoja mamlaka ya kuamrisha polsi, wanajeshi, TISS waue, wateke, wapoteze...then hata Katiba ikawa nzuri vipi , ataivunja. Kinachompa Jiwe kiburi ni silaha za polisi na jeshi, TISS.... short of that watu wangeliandamana na asingelikuwa rais leo
Kenya pamoja na katiba yao nzuri sana ila umasikini umezidi kukita miziziUkweli lazima tuuweke wazi na usemwe hili taifa kamwe halitapata maendeleo kama tukiikumbatia katiba hii iliopo
CCM needs to clean up tribalism and nepotism.Tatizo sio katiba mpya clean your house first opposition you need to do some house cleaning of your house but as a CCM member I know you don't want to clean your house
Wewe ndio mtoto kwa sababu hauna deep reasoningKwa hyo ccm wapo kwa kwa ajili ya tumbo lako?Comment ya kitoto isiyofikirisha
Haahaa ni Kama ccm na ufisadi eehChadema na ruzuku ni kama mgonjwa na uji!
Alijua havitazaa matunda, kwa Ustawi wa Chama that was an only optionAngeongoza vikao vya Chama kuwafukuza?
Kwa akili yako ile ni fukuza?Angeongoza vikao vya Chama kuwafukuza?
Ni bora kuishi kwenye umasikini Lakini pawepo na amani na uhuru wa kuishi bila hofuKenya pamoja na katiba yao nzuri sana ila umasikini umezidi kukita mizizi
Una kiherehere, uliulizwa wewe?Kwa akili yako ile ni fukuza?