Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani unataka ushahidi wa chadema wakichukua ruzuku?Weka ushahidi wa hilo, maana wenzako wanasema hivyo hivyo, wakiambiwa waweke ushahidi wanapotea.
Sasa mi nimeongea pumba au we ndo umejibu pumba , nilichoongea si ndicho kinaendelea , watu wapo bungeni kinyume na katiba na hakuna anayehoji ... Na ruzuku inapigwa kama kawaidaWe ulikuwa kwenye hiyo kikao ya makubaliano au unaongea pumba tu
Haya mambo wewe huwezi kuelewa maana ni moja ya wafuasi ambao Mbowe anajivunia sana kuwa nao.
Yani unataka ushahidi wa chadema wakichukua ruzuku?
Kwa akili yako tindo unafikiri Mnyika pale alipo anafanya kazi ya ukatibu mkuu bure kwa kujitolea?
taja chama japo kimoja tanzania KINACHOISHI bila ruzukuKwani vyama vyote vinaishi kwa ruzuku?
Mkuu itakuwa ni maneno. Maandishi yanaaibisha.Sawa! Swali je baraka hizi ni kwa maneno au maandishi?
CCM ndio waasisi wa haya yote. Ila dawa ya haya yote ni katiba mpya tu itakayompa nguvu mwananchi kumwajibisha mtumishi yeyote wa umma
Mbona unajichanganya sana mkuu?Nitaelewa wapi, ninachoelewa mimi ni kuwa kulikuwa na Mahakama ya mafisadi, kisha ikafungwa maana hakuna mafisadi, ila kila mahali rais akiongea anasema nchi hii ilichezewa sana na mafisadi? Halafu baada ya rais kuongea hayo ninashangilia!
Mbona unajichanganya sana mkuu?
Hapa tunaongelea utapeli wa Mbowe kwenye suala la viti maalumu.
JHN kila siku unaambiwa kwa mujibu wa kanuni chama hakipati ruzuku kutokana na idadi ya viti maalumu bali kutokana na kura za mgmbea urais, wabunge wa majimbo na madiwani hivyo Covid 19 wangekwenda au wabaki wasingebadilisha chochote wale ni maslahi yao binafsi tuuHawana ubavu.
Wanajitutumua tu.
Kule chuo kikuu UDSM kulikuwa na kozi inaitwa IGP - Intensive Grammar Program, ulistahili kuisoma hiyo ili umudu lugha ya Kiingereza vizuri.Tatizo sio katiba mpya clean your house first opposition you need to do some house cleaning of your house but as a CCM member I know you don't want to clean your house
Kuna asilimia kumi na tano ya viti maalumuJHN kila siku unaambiwa kwa mujibu wa kanuni chama hakipati ruzuku kutokana na idadi ya viti maalumu bali kutokana na kura za mgmbea urais, wabunge wa majimbo na madiwani hivyo Covid 19 wangekwenda au wabaki wasingebadilisha chochote wale ni maslahi yao binafsi tuu
Hapa tunaongelea wa Mbowe! Kwanini huo mwingine usianzishie uzi wake?Mimi nimezungumzia utapeli kwa ujumla wake.
Hapa tunaongelea wa Mbowe! Kwanini huo mwingine usianzishie uzi wake?
Hoja yako haipo mbali na ukweli.......Sio kweli kuna nyoka kwenye upinzani na hawataki katiba mpya iwe ya nchi au za chama vyao hata za kuweka ukomo
Niliandika mada nyeti ikafutwa chap chap na moderators nakuhakikishia upinzani una kazi ya ku clean their own house kabla kurukia agenda nje ya their own house kuna maneno ndani ya upinzani
Walikata rufaa ndani ya chama muda mrefu sana, kwanini hiyo rufaa mpaka leo haisikilizwi? Mbona mara nyingi kamati/baraza zilikuwa zinakutana kwa dharura na kutoa maamuzi haraka..tatizo ni kwamba Halima na wenzake wameingia bungeni kinyume cha sheria.
..na ni bahati mbaya kwamba Spika wa Bunge anashiriki ktk uvunjaji huo wa sheria.
Kwanini kamati haikai tangu uchaguzi umekwisha October mpaka leo February? Bunge liwe linawasubiri nyinyi tu? Hampo serious hata kidogo tatizo hamtaki ushauri kuwa mwenyekiti wenu ni kirusi hatari. Muda utaongea
Ukweli lazima tuuweke wazi na usemwe hili taifa kamwe halitapata maendeleo kama tukiikumbatia katiba hii iliopo