Kuna shida gani kwenye matikiti maji ya wakati huu?

JPM alijitahidi kuanza kudhibiti mbegu za kizungu ili kulinda mbegu asilia, hii vita iendelezwe sababu mbegu zitapotea.
 
Subirieni jua liwake utamu utarudi
 
Binafsi ni mpenda matunda hususabi matikiti kwa hili naunga mkono ila kususu swa la taa hapn cjawai ona vip huko kwenu Wana mtindo huo mchukue Hatua ya kuandamana
 
Wakulima wanadai yamezidiwa maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…