Kuna shida gani kwenye matikiti maji ya wakati huu?

Kuna shida gani kwenye matikiti maji ya wakati huu?

Nashukuru wengi tumeliona hilo...Mimi napenda sana Matikiti ila ukila halina ladha ile ya miaka ya nyuma..

Ajabu sasa siku hizi wale wauzaji wa vipande vilivyokatwa katwa wanayawashia zile taa nyekundu zisizo na mwanga..ili yaonekane yana wekundu uliokolea[emoji1787]
Hili n tatizo aisee,mm nahisi kemikali zimezidi lazima hatua zichukuliwe
 
Habar za wakati huu wanaJF?

Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.

Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.

Nawasilisha!

Matikiti ya zamani yalikuwa makavu kama spochi na sukari ya kutosha ila ya sasa kama unakula Tango lililowekwa sukari na chumvi.
 
Habar za wakati huu wanaJF?

Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.

Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.

Nawasilisha!
Yatakuaje na utamu wakati yamefyonza maji mengi kuliko kiwango, kilichotokea kwenye matikiti ndicho kilichotokea kwenye miwa kukosa utamu.
 
Hakuna matunda siku hizi

Ova
Kweli kabisa,siku hizi hasa mjini hatuli matunda yenye virutubisho kamili.
Juzi nilipita maeneo ya Buguruni kuna jamaa wameweka makontena yenye coolers na heaters kwa ajili ya kuivisha ndizi mapem...yaani hata ndizi ikiwa changa inaiva kwa siku mbili.
 
Habar za wakati huu wanaJF?

Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.

Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.

Nawasilisha!
mambo yanabadilika hata wewe enzi hizo haukuwa ivi kama iv leo
 
Tangu ilipoletwa mbegu ya matikiti ya mabaka ya kijani, na siyo yale ya kijani giza, ndipo tulipopoteza utamu wa matikiti.

Biashara ikiwekwa sana kwenye kilimo huwa kuna matokeo mengi yasiyokidhi hamu ya mlaji. Tatizo ni hizi mbegu zinazoitwa za muda mfupi.

Ova
GMO hizo kwa hali iliopo sasa swala la cancer na figo yatakuwa matatizo ya muda mrefu sana kufikia mwaka 2050
 
Ni matokeo ya kilimo cha kibiashara., mbegu zinazotoa faida mara nyingi huwa zina mapungufu ya ubora.,
Tafuta documentary inaitwa food inc, inaelezea vizuri industrial farming, utaelewa kwa nin matikiti mazuri utaweza kuyaona tena.
 
Back
Top Bottom