- Thread starter
- #61
Ladha pia mbaya yani huwezi elewa n kitu gani unakulaAisee kweli. Mkuu hayana ule wekundu pia wala utamu watalaam watueleze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ladha pia mbaya yani huwezi elewa n kitu gani unakulaAisee kweli. Mkuu hayana ule wekundu pia wala utamu watalaam watueleze
Hili n tatizo aisee,mm nahisi kemikali zimezidi lazima hatua zichukuliweNashukuru wengi tumeliona hilo...Mimi napenda sana Matikiti ila ukila halina ladha ile ya miaka ya nyuma..
Ajabu sasa siku hizi wale wauzaji wa vipande vilivyokatwa katwa wanayawashia zile taa nyekundu zisizo na mwanga..ili yaonekane yana wekundu uliokolea[emoji1787]
Hatari sana hii mkuuUnakula tikiti kama unakula dalanzi au tango....
Dah kama unapata tikiti zuri miaka hii hongera sana mkuu,maeneo ya kwetu n balaa tupuPole mkuu. Mimi Huwa napenda wauza matikiti wa Mbezi beach, Goba na Mbezi Magufuli. Wanamatikiti Mazuri, sijui Huwa wanayanunua wapi.
Yaani unakutana na tikiti Lina ungaunga kama kiasi kitamu....Dah kama unapata tikiti zuri miaka hii hongera sana mkuu,maeneo ya kwetu n balaa tupu
Habar za wakati huu wanaJF?
Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.
Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.
Nawasilisha!
Yatakuaje na utamu wakati yamefyonza maji mengi kuliko kiwango, kilichotokea kwenye matikiti ndicho kilichotokea kwenye miwa kukosa utamu.Habar za wakati huu wanaJF?
Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.
Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.
Nawasilisha!
Kweli kabisa,siku hizi hasa mjini hatuli matunda yenye virutubisho kamili.Hakuna matunda siku hizi
Ova
mambo yanabadilika hata wewe enzi hizo haukuwa ivi kama iv leoHabar za wakati huu wanaJF?
Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.
Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.
Nawasilisha!
Hapo kwenye miwa Sasa ..... Inayootea maeneo karibu na chooni chooni huwa mitamu kinoma noma ....Yatakuaje na utamu wakati yamefyonza maji mengi kuliko kiwango, kilichotokea kwenye matikiti ndicho kilichotokea kwenye miwa kukosa utamu.
Sababu kubwa tikiti kukosa ladha ni bi kidawa SSHNafikiri sababu kubwa ni aina ya mbegu zinazozalishwa Kwa wakati huu ukilinganisha na hapo awali.
GMO hizo kwa hali iliopo sasa swala la cancer na figo yatakuwa matatizo ya muda mrefu sana kufikia mwaka 2050Tangu ilipoletwa mbegu ya matikiti ya mabaka ya kijani, na siyo yale ya kijani giza, ndipo tulipopoteza utamu wa matikiti.
Biashara ikiwekwa sana kwenye kilimo huwa kuna matokeo mengi yasiyokidhi hamu ya mlaji. Tatizo ni hizi mbegu zinazoitwa za muda mfupi.
Ova
kwanza nianze kwa kumshukuru mama samiaBasi Kuna miamba mtasema hata wadada wa siku hizi sio watamu kama wa zamani😁😁😁