Kuna shida gani kwenye matikiti maji ya wakati huu?

Kuna shida gani kwenye matikiti maji ya wakati huu?

Habar za wakati huu wanaJF?

Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote,kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.

Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.

Nawasilisha!
Wambie wauzaji walitoboe palepale watoe kakipande kadogo uonje before uondoke nalo ,itakusaidia

Kila kitu kunaupande kipo poa upande sio poa, unaangukia upande sio poa tu mkuu
 
Bwana we! Wahanga wakubwa ni wanaokula kwa mama lishe, ati mamalishe wanaweka panadol kwenye maharage ili yaive haraka. Niliisikia humu pia.
Unajua kama miili yetu ingekua kama ya wazungu tungekua tunakufa kama kibudu,. Kuna ujinga mwingi sana tunalishwa
 
Wambie wauzaji walitoboe palepale watoe kakipande kadogo uonje before uondoke nalo ,itakusaidia

Kila kitu kunaupande kipo poa upande sio poa, unaangukia upande sio poa tu mkuu
Wala sio kwamba nanunua tikiti zima,huwa napenda tu mida ya jioni nikiwa narudi mizunguko kusimama kwa washkaj wanaouza vipande kisha nachukua viwili vitatu,matunda hayana ladha kabisa
 
Habar za wakati huu wanaJF?

Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.

Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.

Nawasilisha!
Wengi wanalima bila kufata taratibu sahihi.

Mtu akitaka kulima anatafuta eneo lenye maji, then anaweka zao lake. Tikiti halihitaji maji mengi, either yataharibika au yatakosa ladha.
 
Back
Top Bottom