100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Tango ukiliwekea chumvi tamu sana kuzidi hilo tikitiki la awanu ya Mama Kizimkazi
🤔Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tango ukiliwekea chumvi tamu sana kuzidi hilo tikitiki la awanu ya Mama Kizimkazi
🤔Wambie wauzaji walitoboe palepale watoe kakipande kadogo uonje before uondoke nalo ,itakusaidiaHabar za wakati huu wanaJF?
Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote,kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.
Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.
Nawasilisha!
This is new to me, panado ina implication gani hapo?Na maharage yaliyochemshwa na panado.
unajua tumeshapoteza sense ya matikiti ya asili, na kuna watu wahalijui hiliZamani tikiti lilikuwa na umbo la duara na rangi ya kijani iliyokoza (dark green) lakini haya ya sasa yako kama mpira wa rugby na rangi mchanganyiko
Ndiyo Hivyo....[emoji23] kumbe ndio maana likiwa mezani huwa naona lekundu lakini nikifika nalo home ni jeupe.
Bwana we! Wahanga wakubwa ni wanaokula kwa mama lishe, ati mamalishe wanaweka panadol kwenye maharage ili yaive haraka. Niliisikia humu pia.This new to me, panado ina implication gani hapo?
Inasaidia nini shem?Na maharage yaliyochemshwa na panado.
Ngoja namimi nifuatilie maana kila nikiona navutiwa kununua lakini nikifika nalo naona utofauti mkubwa.Ndiyo Hivyo....
Mwenyewe kuna mtu alinidokezea...kufuatilia kweli bhana[emoji2]
Eti kulainisha maharage kwa haraka wakati wa kuchemsha Shem.Inasaidia nini shem?
Mbona hatari ila migahawani tunakula basi tu kwa sababu tu sijalipa mahari ila usalama wa chakula ni mdogo sana.Eti kulainisha maharage kwa haraka wakati wa kuchemsha Shem.
Unajua kama miili yetu ingekua kama ya wazungu tungekua tunakufa kama kibudu,. Kuna ujinga mwingi sana tunalishwaBwana we! Wahanga wakubwa ni wanaokula kwa mama lishe, ati mamalishe wanaweka panadol kwenye maharage ili yaive haraka. Niliisikia humu pia.
Wala sio kwamba nanunua tikiti zima,huwa napenda tu mida ya jioni nikiwa narudi mizunguko kusimama kwa washkaj wanaouza vipande kisha nachukua viwili vitatu,matunda hayana ladha kabisaWambie wauzaji walitoboe palepale watoe kakipande kadogo uonje before uondoke nalo ,itakusaidia
Kila kitu kunaupande kipo poa upande sio poa, unaangukia upande sio poa tu mkuu
Wengi wanalima bila kufata taratibu sahihi.Habar za wakati huu wanaJF?
Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.
Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.
Nawasilisha!
😂Zamani hata maparachichi yalikuwa yanazaa yakiwa mahenga kidogo.
Siku hizi ukienda Njombe unakuta kiparachichi urefu wa Steve Nyerere kimeshona mzigo hadi kinataka kuvunjika.