Kuna shida gani kwenye matikiti maji ya wakati huu?

Kuna shida gani kwenye matikiti maji ya wakati huu?

Habar za wakati huu wanaJF?

Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.

Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.

Nawasilisha!
Jana nilikula tikiti lipo kama kiazi au muhogo, tikiti lina kamba kabisa.
 
Labda hukokwenu,sisi huku mashambani bado tunafaidi ladha halisi
 
Yaani matikiti ya siku hizi yana maji mengi sana, hayana utamu na ndizi za siku hizi zimepooza, hazina utamu. Naamini nimeeleka.
 
Nashukuru wengi tumeliona hilo...Mimi napenda sana Matikiti ila ukila halina ladha ile ya miaka ya nyuma..

Ajabu sasa siku hizi wale wauzaji wa vipande vilivyokatwa katwa wanayawashia zile taa nyekundu zisizo na mwanga..ili yaonekane yana wekundu uliokolea[emoji1787]
Dah watu wa daslam mna mambo mengi sana.
 
Habar za wakati huu wanaJF?

Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.

Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.

Nawasilisha!
Ndiyo maana kansa zimekuwa nyingi hazielezeki
 
Habar za wakati huu wanaJF?

Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.

Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.

Nawasilisha!
Ndiyo maana kansa zimekuwa nyingi hazielezeki
 
Matikiti yenyewe yanaimbwa kipumbavu sijui yamefanya nini,sasa unategemea yapate ladha kutoka wapi
 
Habar za wakati huu wanaJF?

Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote, kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.

Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.

Nawasilisha!
Matikiti hapo ya aina nyingi,pia wengine wanawahi kiyachuma kabla hayajakomaa na wakati mwingine hasa msimu wa kiangzi yasipomwagiwa maji ya kutosha huwa hivyo.
 
Siku hizi mazao yote ni dawa tu hakuna usalama tena hizo Tikiti kuanzia kupanda mpaka kubuna ni dawa tupu
 
Aisee kweli. Mkuu hayana ule wekundu pia wala utamu watalaam watueleze
Inawezekana ni sababu ya mvua nyingi. Hivyo yamekunywa maji mengi Ndiyo sababu hayana ile rangi nyekundu iliyokolea na sukari
 
Kwa sisi wataalam wa world economy tunaelewa Vita ya ukraine ndo imesababisha sukari kupanda bei hivyo hata kwenye matikiti imekua adim sana
We jamaa fala sana 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom