charrote
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,848
- 4,146
Mmmh umewaza mbaliiiiMatikiti kudondoka, matikiti kudondokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh umewaza mbaliiiiMatikiti kudondoka, matikiti kudondokea.
Mleta mada kaleta hii na wimbo ulikua unapigwa background nikaona niliunge🤣Mmmh umewaza mbaliiii
inawezekana ni mbegu tafauti kama vile ilivyo kwa embe na ndiziHabar za wakati huu wanaJF?
Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote,kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.
Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.
Nawasilisha!
Utamu wa matikiti maji hutegemea na aina ya udongo yalipozalishiwa, wingi wa maji yalipokomaa.Nashukuru wengi tumeliona hilo...Mimi napenda sana Matikiti ila ukila halina ladha ile ya miaka ya nyuma..
Ajabu sasa siku hizi wale wauzaji wa vipande vilivyokatwa katwa wanayawashia zile taa nyekundu zisizo na mwanga..ili yaonekane yana wekundu uliokolea[emoji1787]
Embe dodo mkuu bado tamu karibu kusini msimu wakeHata embe za sasa si kama zamani utamu
Mbegu nyingi na mengi hayazalishwi kwa njia za asili kama zamani sasa hivi ni kama liko laboratory wakati lipo shamba.Nafikiri sababu kubwa ni aina ya mbegu zinazozalishwa Kwa wakati huu ukilinganisha na hapo awali.
Na maharage yaliyochemshwa na panado.Bongo nyoso, ukiyoka hapo unaenda kula ugali ulowekwa hamila.
Embe ndiyo hovyo zaidi bora upande mwembe nyumbani kwako kuliko hizi embe za kukomaa miaka mitatuHata embe za sasa si kama zamani utamu
JamanKwa sisi wataalam wa world economy tunaelewa Vita ya ukraine ndo imesababisha sukari kupanda bei hivyo hata kwenye matikiti imekua adim sana
Hizi mvua za el nino ndo sababuHabar za wakati huu wanaJF?
Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha wala mvuto wa aina yoyote,kiujumla ukila hauoni kama unakula tikiti.
Nimefahamishwa kua matunda mengi siku hz yanaoteshwa kwa mbegu za maabara na kemikali,basi kama hilo n kweli afya zetu zi mashakani,tujumuike kwa pamoja kutoa maoni na mapendekezo yetu ili hatua stahiki zichukuliwe kuilinda jamii yetu.
Nawasilisha!