Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
Hatuna umaskini wa kiwango hicho. Umaskini wetu ni wa kujitakia.Baada ya Vita vya Kagera tukawa hoi bin taaban kiuchumi !
Mwalimu akatuambia tujifunge mikanda kwa miezi 18 hali itarudi kama kawaida !
Akaja Sokoine akatuambia huenda Mwalimu alikosea kidogo kutamka, tunatakiwa kujifunga mkanda kwa miaka 18 😳🙄 !
Vita isikie kwa wenzio !
Sisi bado Masikini tunatakiwa kwanza tueneze nishati safi na salama mpaka vijijini ili watu waache kukata miti kwa ajili ya kupata mkaa wa kupikia !
Vita hapana labda tukivamiwa !
Mnazo hizo pesa za kuisaidia Congo??
Sasa tunaenda pamoja. Rwanda kuingia Congo kiharamu ndo kutatupa mandate sisi kuingia Congo ili kuondoa uharamia wa Rwanda kwa Congo!Taarifa ya UN kuhusu Rwanda na M23 ni kweli, lakini hiyo inathibitisha kuwa Rwanda inaingilia Congo kiharamu na inalaumiwa kimataifa. Tanzania haiwezi kufuata mkondo huo, lazima tuwe mfano wa heshima kwa makubaliano rasmi na serikali ya Congo.
Kuhusu mfano wa Marekani na Kuwait, ni sahihi: Marekani ilitumia nguvu za kijeshi kulinda maslahi yake na kuimarisha uwepo wake wa kudumu. Tanzania inaweza kufanya hivyo, lakini siyo kama mkoloni mpya bali kama mshirika wa Congo. Tukiliberate Mashariki mwa Congo kwa mkataba wa wazi, tunapata maslahi ya madini, biashara, na hata kambi za kijeshi za kudumu.
Hii ni nafasi ya kipekee, lakini si lazima tuiingilie kwa haraka bila mipango. Faida ya kiuchumi inakuja, lakini lazima tufanye kwa ustaarabu ili kulinda taswira yetu na amani ya kikanda.
Karibu JF.Ukute unaandika uzi uko zako bonyokwa ghetto umekula zako ugali na dagaa mchele umeshushua na maji umeshiba ndi!ukiambiwa ushike hata kirungu kwenda huko Congo ni mtihani
Hizi ndio habari watanzania tunapenda zisikia....Nitaprefer kuja huko na Emirates please....Karibu JF.
Unataka nikutumie ticket ya ndege uje Dubai au?
Uwezo wanao tena mkubwa kupitia hayo madini,ukifika na kucheki ile aridhi ilivyo na wingi wa madini hasa dhahabu katika hilo eneo,hakika utatoa machoziCongo haina pesa za kuwalipa wenye uwezo wa kuwasaidia.
Tuliingia 2012 tukawafurusha M23! Je tulipata tatizo lolote?Tukijiingiza pale ni hatari kwa taifa letu.
Rwanda anawakana M23 kuwa siyo wake.
Chini ya capet taifa baba yupo pale kupitia mgongo wa Rwanda.
Hivo Tanzania tukiingilia ni kama tumetangaza vita na taifa baba,ambaye atasitisha misaada yake yote kwetu.
Tuombe labda China au Urusi aisaidie Congo kimya kimya hapo kuna mmoja ambaye hataki kujulikana sasa atajulikana
MmmmhNI kwamba, kwa sababu Rwanda wanawasaidia M23, tukitangaza kuwasaidia DRC maana yake tumetangaza vita na Rwanda.
Unajua sababu za kwa nini wamerudishwa.Tuliingia 2012 tukawafurusha M23! Je tulipata tatizo lolote?
Wamerudishwa na nani?Unajua sababu za kwa nini wamerudishwa.
We did that in 2012! What did they do?That's dumb.
The dumbest idea in Forum's history.
It is an invitation letter to M23 terrorists to slip in and plant incendiary bombs in the Dar es Salaam Rapid Transit buses.
Tanzanian Government and military should immediately butt out of the conflicts in Eastern Congo that are none of our business.
Mmmmh
Mkuu,Mmmmh
Ha hahahahaUkute unaandika uzi uko zako bonyokwa ghetto umekula zako ugali na dagaa mchele umeshushua na maji umeshiba ndi!ukiambiwa ushike hata kirungu kwenda huko Congo ni mtihani
Neno kama lipi labda Mkuu ?Mkuu,
Kwenye hili toa neno
Tafadhali.
Kwanza unajua kwann tulienda kuwafurusha M23 kipindi kile na kwann Sasa hatuwafurushi? Ingaww Kuna vikosi huko vya jwtz ?Unajua sababu za kwa nini wamerudishwa.
Usimsaidie asie na nguvu mtapigwa wote.So kwa hoja yako una maanisha Rwanda kashindikana? Na anaweza fanya lolote lile bila kufanywa chochote kile?