Kibongo bongo barakoa ni Kwa malengo ya kupigia picha ndugu, ila kwa hapo usikute maza anaiogopa picha ya marehemu… si unajua huu ugonjwa unaenezwa kwa njia ya hewa so uwezi jua master
Mjombaa nchi ngum Sana hii, anavaa maana anayafaham mengi, usalama kwanza mengine badaeNimekuwa nikijiuliza na kukosa majibu sahihi kuhusu uvaaji wa barakoa kwa kiongozi mkuu wa nchi yetu. Anapokuwa ndani na nje ya nchi. Mara nyingi akiwa ndani ya nchi huvaa na akiwa nje havai! Pengine wapo wengi wangependa kujua
Je, inamaanisha nini?
Unadhani pesa za mabepari zinaliwa burebure enh?!!!Nimekuwa nikijiuliza na kukosa majibu sahihi kuhusu uvaaji wa barakoa kwa kiongozi mkuu wa nchi yetu. Anapokuwa ndani na nje ya nchi. Mara nyingi akiwa ndani ya nchi huvaa na akiwa nje havai! Pengine wapo wengi wangependa kujua
Je, inamaanisha nini?
Nukta muhimu sana ni kwamba chanjo zilizoingizwa lazima zitumike mpaka ikiwezekana ZIPUNGUE, waagize zingine. Nani atumie basi kama hakuna GIA & GERESHA ya kuonesha tuko kwenye hatari?Kumbukeni Mama Yenu kashachukua mkopo kwa mabeberu wa Covid... so lazima aonyeshe mfano lakini kila mtu anajua ni maigizo tena ya kitoto sana 😂😂 hao mabeberu wenyewe siku hz hawavai