Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #21
Mkuu mwenye macho haambiw tazama hapa kuna mchezo unaoendelea ila wajanja wa mjini tushaelewa A to ZKwenye taarifa hiyo kama hakuna u serious hivi!! Yaani kwenye majina mtuhumiwa anaorodheshwa kwa nickname??? Eti makomeo, mala wengine e kwa jina moja moja!!! Eti grory wa kituo cha kawe kweli??
Nadhani mleta mada ana mantiki!Kama wameingiza siasa kwenye hiyo biashara sawa tu nampongeza makonda, sawa kabisa acha awataje tu maana watoto wa watu wanazidi kuteketea.. kama ni siasa poa tu maisha yetu ni siasa pia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dar es salaam sasa imepata mkuu wa mkoa mpumbavu tangu kuanza kwa Dunia. Dotopile Mzuzuri alikuwaga kichekesho huyu ndio kibisa kabisa huyu.
OkMawazo mgando haya
Wewe ni mdau ambaye umesahaulika nini, kuna nini kinachoelezea siasa? Watanzania wengi ni wapiga dili,mwisho wenu umefika.Wakuu kwa ninachokiona kwa sasa kwa hili tukio la wasanii kuhusishwa na matumizi ya dawa za kulevya ni kutaka kuondoa attention ya watu kuhusu;
1)matokeo mabovu ya wanafunzi wa kidato cha nne hasa wa dar es salaam
Kwa kuwa si hali ya kawaida kwa kweli
2)kuondoa attention ya watu na kuwasahaulisha kabisa kuhusu sekeseke linaliendelea kwa sasa bungeni
Hii ndio tabia ya viongozi wa nchi wakiona wamebanwa haswaa basi watatengeneza tukio la kisiasa ili kuondoa attention iliyopo katika jamii
Mfano kuhusu ugonjwa wa dengue , kiuhalisia huu ugonjwa haukuwepo ila zimetengenezwa figisu figisu ili kufanya tukio fulani la kisiasa lipite
Hali kadhalika ugonjwa kama ebola haukuwepo nchini ila kwa ajili ya kuondoa attention ya watu waliutangaza kwa nguvu zote ili kupisha upepo wa kisiasa upite
Hivyo basi rai yangu ,
Wananchi msielekeze nguvu zenu kuhusu hawa akina wema na wasanii wengine kesi haitakwenda kokote bali ni kuzubaisha watu wasahau matokeo mabovu ya kidato cha nne na mambo yanayoendelea bungeni
Wewe hujajiuliza kwa nini hili suala limekuja ghafla hivyo? Kwani hapo zamani walikuwa hawajui kuwa wanatumia dawa za kulevya kama vile Chidy benzi kwa nini walikaa kimyaa?
Ukishajiuliza natumai utapata jibu sahihi
Mwenye macho haambiwi tazama wala mwenye maskio haaambiwi sikia
Tchaoooo
Mkuu na wewe ni mmoja Kati ya waliokamatwa Au kuguswa maslahi yakoWakuu kwa ninachokiona kwa sasa kwa hili tukio la wasanii kuhusishwa na matumizi ya dawa za kulevya ni kutaka kuondoa attention ya watu kuhusu;
1)matokeo mabovu ya wanafunzi wa kidato cha nne hasa wa dar es salaam
Kwa kuwa si hali ya kawaida kwa kweli
2)kuondoa attention ya watu na kuwasahaulisha kabisa kuhusu sekeseke linaliendelea kwa sasa bungeni
Hii ndio tabia ya viongozi wa nchi wakiona wamebanwa haswaa basi watatengeneza tukio la kisiasa ili kuondoa attention iliyopo katika jamii
Mfano kuhusu ugonjwa wa dengue , kiuhalisia huu ugonjwa haukuwepo ila zimetengenezwa figisu figisu ili kufanya tukio fulani la kisiasa lipite
Hali kadhalika ugonjwa kama ebola haukuwepo nchini ila kwa ajili ya kuondoa attention ya watu waliutangaza kwa nguvu zote ili kupisha upepo wa kisiasa upite
Hivyo basi rai yangu ,
Wananchi msielekeze nguvu zenu kuhusu hawa akina wema na wasanii wengine kesi haitakwenda kokote bali ni kuzubaisha watu wasahau matokeo mabovu ya kidato cha nne na mambo yanayoendelea bungeni
Wewe hujajiuliza kwa nini hili suala limekuja ghafla hivyo? Kwani hapo zamani walikuwa hawajui kuwa wanatumia dawa za kulevya kama vile Chidy benzi kwa nini walikaa kimyaa?
Ukishajiuliza natumai utapata jibu sahihi
Mwenye macho haambiwi tazama wala mwenye maskio haaambiwi sikia
Tchaoooo