Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ni kikundi cha wakoloni weusiCcm ni nani maana huku mtaaani siwaoni nafhani ni kundi la wala keki ya taifa tu
Don't argue with a foolTatizo makamanda ni waoga sana, Mkiti anakamatwa bila hata kufuata utaratibu kama kibaka nyie mnaishia kuandika jf, mmeshindwa hata kukusanya watu elfu 10 tu kuingia mtaani kumdai Mkiti? Hao waTZ wanaowaunga mkono wako wapi?
Hero Muoga kuliko mnafiki kama CCM, you people mko kama sigara kaliHiyo itatokea baada ya miaka Mia siyo kwa uwoga na unafki huu tuliyonawo sasa.
wakkoloni weusiKuna siku inakuja naam naiona inakaribia! Tambo za CCM zitatupwa chini na hawataamini kitakachowapata. Siku inakuja Polisiccm wote watashangaa wasiamini anguko lao...
hawajitambui hawa ndo maana mwigulu alikua anapita naoHebu wasikilize hawa kina mamaView attachment 1862917
Nilidhani unaandamana field kumbe uko kwenye key board!!Kuna siku inakuja naam naiona inakaribia! Tambo za CCM zitatupwa chini na hawataamini kitakachowapata. Siku inakuja Polisiccm wote watashangaa wasiamini anguko lao.
Ni suala la muda tu, CCM your days are numbered. Take it from me nawaambia! Kila kitu kitawakataa....
Sijawahi kusema neno na lisitimie.
Nikiwa hai au mfu mtayakumbuka haya maneno. Ringieni Polisi na Usalama kwa Mara ya mwisho mwisho. Nasema ringeni na Polisi kwa Mara ya mwisho mwisho.
I am done
Dua la kuku!!Kuna siku inakuja naam naiona inakaribia! Tambo za CCM zitatupwa chini na hawataamini kitakachowapata. Siku inakuja Polisiccm wote watashangaa wasiamini anguko lao.
Ni suala la muda tu, CCM your days are numbered. Take it from me nawaambia! Kila kitu kitawakataa....
Sijawahi kusema neno na lisitimie.
Nikiwa hai au mfu mtayakumbuka haya maneno. Ringieni Polisi na Usalama kwa Mara ya mwisho mwisho. Nasema ringeni na Polisi kwa Mara ya mwisho mwisho.
I am done
AMEN!Kuna siku inakuja naam naiona inakaribia! Tambo za CCM zitatupwa chini na hawataamini kitakachowapata. Siku inakuja Polisiccm wote watashangaa wasiamini anguko lao.
Ni suala la muda tu, CCM your days are numbered. Take it from me nawaambia! Kila kitu kitawakataa....
Sijawahi kusema neno na lisitimie.
Nikiwa hai au mfu mtayakumbuka haya maneno. Ringieni Polisi na Usalama kwa Mara ya mwisho mwisho. Nasema ringeni na Polisi kwa Mara ya mwisho mwisho.
I am done