Kuna Siku Itafika Kazi Zitakua Nyingi Hutajua Uchague Ipi

Sawa mkuu mimi ndiye ulienizungumzia hapo sina dira, ingiza chochote kitu kwenye Airtel money yangu nipate nauli ya kwenda interview
 
Dah nimelitamani hilo life lko la kuishi kwa kalamu
Dah kweli hatufanani kabisaaa


Hhhhhhhhhhhh
 
Dah nimelitamani hilo life lko la kuishi kwa kalamu
Dah kweli hatufanani kabisaaa


Hhhhhhhhhhhh
Soma tena vizuri nilichoandika, hakuna sehemu nimesema life langu ni la kuishi kwa kalamu.
 
mpwayungu village teacher huyu hapa
 
Mwishoni umezingua kwa waganga kufanya nn sasa!??
 
Yaani tunakubali Mungu ndio katuumba, ila kuomba msaada tuende kwa waganga, unazingua!
 
Kwa ninachokijua mimi dunia inapoelekea kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia ajira zitapungua kutokana na uvumbudi wa vitendea kazi vinavyofanya kazi kwa haraka mfano uvumbuzi wa simu janji,computers,maroboti n.k inapelekea baadhi ya kazi kuadimika.
 
well said
 
Huyu ni kijana wa hovyo
 
Reactions: Tsh
Nyinyi wana wenye perepeche nyingi ndiyo miyeyusho sana. Online mnatuambia mnatengeneza pesa, tukawa tukiwaomba mtuelekeze mnatulia bati.

Yaani mnachoenjoy ni kuona watu wapo online hawana mishe.
Ukweli ulio uchi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…