Kuna siku karma itaongea kwa chuki na fitina anazofanyiwa kijana huyu!

Kuna siku karma itaongea kwa chuki na fitina anazofanyiwa kijana huyu!

habarini!
poleni kwa mtikisiko huu wa korona na Mwenyezi Mungu atuepushe, amina! tuendelee kuchukua hatua stahiki tafadhali!

leo ni siku ya 3 kama sikosei nyimbo ya alikiba inatrend namba 01.....views ni kama 1.4M. kuna mambo kidogo yananishangaza:

1. kwanini views za huyu lazima mara zigande au zishushwe? tangu alipovunja rekodi 2017 na 'seduce me' ni kama kuna mtu 'asiyejulikana' anamfuatilia kwa karibu sana......alipojaribu kutoa mvumo wa radi 2018 kuna mambo kama hayo yalitokea.....zikisogea basi husogea taratibu sana. nina uhakika, siku tatu kitu kutrend namba moja kwa upande ule stori ingekuwa kubwa sana na views zingesogea kwa kasi mno. kuna nini?!!!!

2. akitoa nyimbo watu humfuata sana na kujaribu kumponda kwa kila namna tofauti na wengine. alipotoa seduce me na wengine nao wakaachia muda huo huo ili kujaribu kuipoteza. alipotoa mvumo wa radi mtu fulani alisikika akisema, 'tunamkaushia ili ibume'.....baadae views zikaanza kuganda. ametoa dodo juzi, kuna mtu sijui meneja au prodyuza analeta vijembe na mafumbo eti 'kipindi hiki cha corona watu wanahitaji za kucheza na hatutaki maqaswida'......sijajua ye inamuathiri vp na kwanini afuatilie. ukiacha hilo, kuna mtu alikuwa anatambulishwa siku hiyohiyo alipokuwa anazindua nyimbo yake. sijawahi kusikia alikiba akisema chochote kuhusu wao wanapotoa kazi zao au hata bila kutoa kazi zao zaidi ya kujaribu kujibu tu pale anapotajwa. humu leo umefunguliwa uzi ukisema, 'huyu ndo.......!' zimemwagwa sifa zake humo kedekede. thread ililetwa km jaribio la kutaka kupoteza habari za dodo!

3. kuna ajabu gani ya kumtumia mobeto?!! eti nyimbo imepata umaarufu sababu ya mobeto. nikikumbuka mwaka jana alikiba alipofanya ziara kule tabora na umati ambao ulikuwa unampokea na kumsimamisha humo njiani, nabaki najiuliza hivi na hamisa mobeto nae ni hivyo hivyo? haya tufanye mobeto ni maarufu kuliko kiba, sasa kuna ubaya gani wa kumtumia mtu maarufu ili nawe upate umaarufu? kwani muziki si biashara jamani?!!! sasa mnataka amtumie joanah wa jf ili nyimbo yake iambulie 1k mwaka mzima?!!!

4. kwanini watu wahangaike na mtu asiyejua kuimba/aliyeishiwa/aliyechuja kama inavyosemwa?!! ninapata hisia kuwa kuna mtu ana roho mbaya kwelikweli licha ya mafanikio lukuki aliyonayo. hapendi kabisa kuwaona wengine nao wakijipatia ugali wao. inawezekana yale malalamiko ya penseli yana maana kubwa sana!. hii ni hatari sana!

many are the plans in a man's mind, but it's the God's purpose that prevails! tutajikuta tunaendelea kushangaa tu jamaa hapotei kama matamanio yetu yanavyotaka!
Hahaha we jamaaa umeongea kwa uchungu sana pole aisee.....anzisha maandamano kaka
 
nachekaga sana kwa aibu kila nikiona wadau wanaleta lawama za kitoto namna hio

Waambie google ni kampuni kubwa kuliko kampuni zote zilizopo Tanzania ukiziunganisha ziwe pamoja.. security ya google ni zaidi ya security ya kampuni zote za Tanzania ukizichanganya pamoja..

Ku hack google kwa m Tanzania ni zaidi ya haiwezekani
 
Tuache ushabiki Heb tuongee kitaaalam zaidi,Kuna kitu kinaitwa "Subscribers"...Put all others factors constant(non subsribers).
kila unapo subscribe channel fulani ikitoka video mpya tu anapata alert...mtu mwenye subsribers 3.3M(Diamond Platnumz) na mwenye 200K(Kings Music Records, am not sure why hakuitoa kwa account yake ya Alikiba, yenye 622K Subsribers) hawawezi kua sawa...kwa hesabu ya haraka haraka mwenye 3.3M anahitaji Subsribers wake waitazame mara 2 tu @ kufikisha viwers 6.6M while wa 200k anahitaji waitazame mara 33 @ kuzifikisha izo 6.6M...Sasa u do the math huyo mwenye 3.3M subsribers wakiitazama mara 33 io video hali itakuaje...hua nikimuona Harmonize akihamasisha watu wa Subscribe channel yake namuelewa sana..Harmonize na Rayvan wana 1.5M @...hawa kidogo ndo wanaweza mkimbiza Diamond tena kwa Mbaaali ila hawa wengine kila siku watakua hawaishi visingizio na kulalamika while Majibu yapo peupe..lets Subscribe na tuhamasishe watu wengine ku Subscribe ili kuwa boost wasanii wetu...mimi nime subscribe Zote hizo ikiwemo ya Alikiba with the exception ya Kings Records(I didn't know abt it) so ilipotoka sikupata alert...Singeli ya Rayvan,Lavalava, Bedroom ya Harmonize zote nlipata Alert Mubashara..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Essay kama izi uwa nasoma mstari wa kwanza nawa mwisho tu..kujua uwezo wa akiri ya mwandishi 3/10

Sent from my SM-A105G using Tapatalk
Kuna mtu amekuanzishia Uzi modes wakupige ban kisa unajiita shetani.
 
Tuache ushabiki Heb tuongee kitaaalam zaidi,Kuna kitu kinaitwa "Subscribers"...Put all others factors constant(non subsribers).
kila unapo subscribe channel fulani ikitoka video mpya tu anapata alert...mtu mwenye subsribers 3.3M(Diamond Platnumz) na mwenye 200K(Kings Music Records, am not sure why hakuitoa kwa account yake ya Alikiba, yenye 622K Subsribers) hawawezi kua sawa...kwa hesabu ya haraka haraka mwenye 3.3M anahitaji Subsribers wake waitazame mara 2 tu @ kufikisha viwers 6.6M while wa 200k anahitaji waitazame mara 33 @ kuzifikisha izo 6.6M...Sasa u do the math huyo mwenye 3.3M subsribers wakiitazama mara 33 io video hali itakuaje...hua nikimuona Harmonize akihamasisha watu wa Subscribe channel yake namuelewa sana..Harmonize na Rayvan wana 1.5M @...hawa kidogo ndo wanaweza mkimbiza Diamond tena kwa Mbaaali ila hawa wengine kila siku watakua hawaishi visingizio na kulalamika while Majibu yapo peupe..lets Subscribe na tuhamasishe watu wengine ku Subscribe ili kuwa boost wasanii wetu...mimi nime subscribe Zote hizo ikiwemo ya Alikiba with the exception ya Kings Records(I didn't know abt it) so ilipotoka sikupata alert...Singeli ya Rayvan,Lavalava, Bedroom ya Harmonize zote nlipata Alert Mubashara..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ndo maneno ya kuandika. Siyo mtu anakuja anaandika porojo zake tuu humu ndani. Ilhali jambo lenyewe liko wazi.
 
Suala la kulalamikia kupungua views you tube linatia aibu tasnia nzima ya burudani bongo. Inaonesha namna tulivyo na uelewa mdogo sana na mazwazwa kwa mambo ambayo uki search tu kwenye internet unapata majibu yake. Kibaya zaidi unakuta mpaka uongozi rasmi wa msaanii unalalamika hadharani !!! Ni aibu. Nadhani haya malalamiko inaweza kuwa sehem ya kiki baada ya kurelease. Ila du...aibu !!!
Mmeshaambiwa views zinapungua kutokana na automatic system ya youtube kupitia (audit) views halisi na kutofautisha na feki za wale wanaobonyeza na kuacha. Kuna mtu hapa kaelezea kwa kirefu kwenye uzi mwingine. Ila kwa kifupi mfumo wa youtube hauwezi kuingiliwa kama mnavyodhania. Na kama ingekua hivo hiyo youtube ingeshashtakiwa long time na kufungwa kabisa.
 
Waambie google ni kampuni kubwa kuliko kampuni zote zilizopo Tanzania ukiziunganisha ziwe pamoja.. security ya google ni zaidi ya security ya kampuni zote za Tanzania ukizichanganya pamoja..

Ku hack google kwa m Tanzania ni zaidi ya haiwezekani
Yani kama mwananzengo ana hack, je india huko madogo wanapotengeneza ma apps maelfu kwa siku ingekuwaje? Yani wanalalamila mradi tu wamelalamika.
 
1. kwanini views za huyu lazima mara zigande au zishushwe? tangu alipovunja rekodi 2017 na 'seduce me' ni kama kuna mtu 'asiyejulikana' anamfuatilia kwa karibu sana......alipojaribu kutoa mvumo wa radi 2018 kuna mambo kama hayo yalitokea.....zikisogea basi husogea taratibu sana. nina uhakika, siku tatu kitu kutrend namba moja kwa upande ule stori ingekuwa kubwa sana na views zingesogea kwa kasi mno. kuna nini?!!!!
Inasikitisha. Si u google tu unapata jibu la hili swali?
 
Wimbo mmoja thread 400, ungetumia muda ulioandika hii insha kutunga wimbo wako na wewe ungepata hela.
Walau kwenye uzi angeondoa mambo ya views yajadiliwe hayo mengine.
 
Tuache ushabiki Heb tuongee kitaaalam zaidi,Kuna kitu kinaitwa "Subscribers"...Put all others factors constant(non subsribers).
kila unapo subscribe channel fulani ikitoka video mpya tu anapata alert...mtu mwenye subsribers 3.3M(Diamond Platnumz) na mwenye 200K(Kings Music Records, am not sure why hakuitoa kwa account yake ya Alikiba, yenye 622K Subsribers) hawawezi kua sawa...kwa hesabu ya haraka haraka mwenye 3.3M anahitaji Subsribers wake waitazame mara 2 tu @ kufikisha viwers 6.6M while wa 200k anahitaji waitazame mara 33 @ kuzifikisha izo 6.6M...Sasa u do the math huyo mwenye 3.3M subsribers wakiitazama mara 33 io video hali itakuaje...hua nikimuona Harmonize akihamasisha watu wa Subscribe channel yake namuelewa sana..Harmonize na Rayvan wana 1.5M @...hawa kidogo ndo wanaweza mkimbiza Diamond tena kwa Mbaaali ila hawa wengine kila siku watakua hawaishi visingizio na kulalamika while Majibu yapo peupe..lets Subscribe na tuhamasishe watu wengine ku Subscribe ili kuwa boost wasanii wetu...mimi nime subscribe Zote hizo ikiwemo ya Alikiba with the exception ya Kings Records(I didn't know abt it) so ilipotoka sikupata alert...Singeli ya Rayvan,Lavalava, Bedroom ya Harmonize zote nlipata Alert Mubashara..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usiumize akili yako bure hata uelimishe vipi unaonekana team flani tu.
 
habarini!
poleni kwa mtikisiko huu wa korona na Mwenyezi Mungu atuepushe, amina! tuendelee kuchukua hatua stahiki tafadhali!

leo ni siku ya 3 kama sikosei nyimbo ya alikiba inatrend namba 01.....views ni kama 1.4M. kuna mambo kidogo yananishangaza:

1. kwanini views za huyu lazima mara zigande au zishushwe? tangu alipovunja rekodi 2017 na 'seduce me' ni kama kuna mtu 'asiyejulikana' anamfuatilia kwa karibu sana......alipojaribu kutoa mvumo wa radi 2018 kuna mambo kama hayo yalitokea.....zikisogea basi husogea taratibu sana. nina uhakika, siku tatu kitu kutrend namba moja kwa upande ule stori ingekuwa kubwa sana na views zingesogea kwa kasi mno. kuna nini?!!!!

2. akitoa nyimbo watu humfuata sana na kujaribu kumponda kwa kila namna tofauti na wengine. alipotoa seduce me na wengine nao wakaachia muda huo huo ili kujaribu kuipoteza. alipotoa mvumo wa radi mtu fulani alisikika akisema, 'tunamkaushia ili ibume'.....baadae views zikaanza kuganda. ametoa dodo juzi, kuna mtu sijui meneja au prodyuza analeta vijembe na mafumbo eti 'kipindi hiki cha corona watu wanahitaji za kucheza na hatutaki maqaswida'......sijajua ye inamuathiri vp na kwanini afuatilie. ukiacha hilo, kuna mtu alikuwa anatambulishwa siku hiyohiyo alipokuwa anazindua nyimbo yake. sijawahi kusikia alikiba akisema chochote kuhusu wao wanapotoa kazi zao au hata bila kutoa kazi zao zaidi ya kujaribu kujibu tu pale anapotajwa. humu leo umefunguliwa uzi ukisema, 'huyu ndo.......!' zimemwagwa sifa zake humo kedekede. thread ililetwa km jaribio la kutaka kupoteza habari za dodo!

3. kuna ajabu gani ya kumtumia mobeto?!! eti nyimbo imepata umaarufu sababu ya mobeto. nikikumbuka mwaka jana alikiba alipofanya ziara kule tabora na umati ambao ulikuwa unampokea na kumsimamisha humo njiani, nabaki najiuliza hivi na hamisa mobeto nae ni hivyo hivyo? haya tufanye mobeto ni maarufu kuliko kiba, sasa kuna ubaya gani wa kumtumia mtu maarufu ili nawe upate umaarufu? kwani muziki si biashara jamani?!!! sasa mnataka amtumie joanah wa jf ili nyimbo yake iambulie 1k mwaka mzima?!!!

4. kwanini watu wahangaike na mtu asiyejua kuimba/aliyeishiwa/aliyechuja kama inavyosemwa?!! ninapata hisia kuwa kuna mtu ana roho mbaya kwelikweli licha ya mafanikio lukuki aliyonayo. hapendi kabisa kuwaona wengine nao wakijipatia ugali wao. inawezekana yale malalamiko ya penseli yana maana kubwa sana!. hii ni hatari sana!

many are the plans in a man's mind, but it's the God's purpose that prevails! tutajikuta tunaendelea kushangaa tu jamaa hapotei kama matamanio yetu yanavyotaka!

Mwenzenu billnass katafuta kiki ya pete....

Endeleeni na mapambano... Kibaya kukata tamaa.

Diamond angekuwa wa kulialia angeshakufa zamani. Kuna kipindi taifa zima lilikuwa against him.

Good ťhing about Him he takes his challenges and turn them to hardworking.

Nyie ndo kwanza mnazidi jazana ujinga.

Tunapotezeana muda.
 
hay
Mwenzenu billnass katafuta kiki ya pete....

Endeleeni na mapambano... Kibaya kukata tamaa.

Diamond angekuwa wa kulialia angeshakufa zamani. Kuna kipindi taifa zima lilikuwa against him.

Good ťhing about Him he takes his challenges and turn them to hardworking.

Nyie ndo kwanza mnazidi jazana ujinga.

Tunapotezeana muda.
haya kiongozi, umetupatia historia ya diamond. nafikiri kiba alishapambana zamani tu na ndo maana yupo hadi leo, kinachotisha ni kwamba kwanini anafuatwafuatwa mno na wenye mafanikio zaidi yake?
 
zi
kibongo bongo hakuna msanii aliefanyiwa na anaefanyiwa figisu kama diamond na kila siku anawaprove wrong haters, inshort karma inawalamba sawa sawa...

pia kiba na team yake hutueleza kwao views wala trending si lolote kwao bt zikipungua wanamwaga mapovu mapipa laki 7

hua najiuliza kama kweli hazitaki views kwa nini zikipungua anapovuka vile, pia kama hazitaki kwa nini anaz iupload nyimbo zake daily, si aache zipgwe kwa radio tu ziheat mtaan basi

nimeamin kiba na team yake ni vinyonga daily wanatubadilishia maneno yakila rangi kama waimba taarabu. OVA
zinapunguaje? wanakosea wao tu miaka yote hii? upande ule wao hawakosei hata kidogo? na kule kuganda je?!!!!!
 
Wimbo mmoja thread 400, ungetumia muda ulioandika hii insha kutunga wimbo wako na wewe ungepata hela.
mi ndo nimefungua thread hii kumhusu na wala sijazungumzia wimbo mmoja tu, nimezizungumzia mpaka za 2017. karibu sana!
 
Umenikumbusha movie ya Joker kuna soundtrack moja hivi inaitwa "That's Life"

Ila I think inabidi tutambue mziki ni Kazi. Mashabiki tunaonaga mziki kama Game fulani La kwenye simu Au reality Show flani hivi. Yani its like Kuna some sort of possession we have on these artists.

Kiba alivyotoa Dodo Kuna mtu Alisema Hiyo nyimbo ni Mbaya na hajaipenda kabla ht hajaiskiliza. Sasa imagine mzee Kiba siku anapita Humu jukwaani anaona that comment.

Kiba angekuwa anaishi mambele kwa maneno na figisu anazofanyiwa angekuwa kundi Moja na kina Whitney Houston au Sulli.

Thank God yuko Bongo hatuna Mental Health Crisis.
umeongea vema mkuu!
 
Back
Top Bottom