Kuna siku karma itaongea kwa chuki na fitina anazofanyiwa kijana huyu!

Kuna siku karma itaongea kwa chuki na fitina anazofanyiwa kijana huyu!

Ashukuru hata anafuatwa fuatwa.... Asipofuatwa ndo atapotea kabisa. Hao mnaowaita haters ndo mtaji. Ndo wanaotizama videos zake na kuangalia nini kafanya.

Kijana wenu sema ni mzembe sana..hamek movies, si mtu wa kutengeneza movements. Kawimbo kamoja mwaka mzima.

Upande wa pili huku kwenye mapenzi ndo alishafeli kabisa. Opportunty yeyote Diamond anayoipata iwe ni mpenzi mpya,kuachana,kuoa tena,kuzaa tena, zote hizo kwake ni movements za hela...

Alafu ukishakuwa celebrity ni public property. Kiba sio mali yake tena ni mali ya jamii. Hutaki afuatiliwe arudi kigoma.
👏👏👏👏
 
hay

haya kiongozi, umetupatia historia ya diamond. nafikiri kiba alishapambana zamani tu na ndo maana yupo hadi leo, kinachotisha ni kwamba kwanini anafuatwafuatwa mno na wenye mafanikio zaidi yake?
Jibu ni kwamba, Diamond ni tishio,hawezejaniki na kashindikana. Hivyo waache kushindana naye.
Kama ameweza kudukua google/utube na kupanga views anavyataka huoni huyu jamaa hawezekaniki!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ashukuru hata anafuatwa fuatwa.... Asipofuatwa ndo atapotea kabisa. Hao mnaowaita haters ndo mtaji. Ndo wanaotizama videos zake na kuangalia nini kafanya.

Kijana wenu sema ni mzembe sana..hamek movies, si mtu wa kutengeneza movements. Kawimbo kamoja mwaka mzima.

Upande wa pili huku kwenye mapenzi ndo alishafeli kabisa. Opportunty yeyote Diamond anayoipata iwe ni mpenzi mpya,kuachana,kuoa tena,kuzaa tena, zote hizo kwake ni movements za hela...

Alafu ukishakuwa celebrity ni public property. Kiba sio mali yake tena ni mali ya jamii. Hutaki afuatiliwe arudi kigoma.
aisee,ashukuru anafuatiliwa!!!!

[emoji16][emoji16][emoji16]mnaanza kujihusisha na mafanikio yake sasa.kweli mchawi hajifichi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzenu billnass katafuta kiki ya pete....

Endeleeni na mapambano... Kibaya kukata tamaa.

Diamond angekuwa wa kulialia angeshakufa zamani. Kuna kipindi taifa zima lilikuwa against him.

Good ťhing about Him he takes his challenges and turn them to hardworking.

Nyie ndo kwanza mnazidi jazana ujinga.

Tunapotezeana muda.
Taifa zima la nchi gani,? Peleka uongo wako kwenye vilabu vya pombe za kienyeji
 
unafikiri kwenye hilo eneo wewe unajua zaidi kuliko yeye?!!!
!!
Kuliko yeye, "yeye nani"?! Na kujua nini?!
haya, kwahiyo hapo tunaweza kusemaje pale ambapo kina harmonize, mdee wanaomzidi followers kiba kazi zao zinazidiwa kiurahisi tu na kiba katika views?

kwanini kazi za huyu tu ndo views zinaganda na kurudishwarudishwa kila mara?!!!!
Sasa anawezaje kuwazidi wakati umeshasema anahujumiwa?!

In short mashabiki wa Kiba mnapenda kulia lia na wala hamjui system ya YouTube inafanya vipi kazi!!

Hakuna suala la kuganda... hicho mnachoita kuganda ni jambo la kawaida kupitia YouTube! Inavyokuwa ni kwamba, YouTube wanatumia bots (software) kukagua akaunti mbalimbali za YouTube, na hiyo kazi ni 24/7!

Hawa bots hawakagui accounts za Kiba ambae hata kumjua hawamjui bali wanapitia accounts mbalimbali! Bots zikikuta kuna suspicious clicks, accounts huwa zinakuwa "in hold" ku-evaluate fake na real views!

Lakini hata account ikiwa in hold, Views counting inaendelea "back office"!

Kama kuna fake views, zinafyekwa kisha akaunti inaendelea pale ilipoishia na itajumlisha views zote zilizokuwa counted back office!

Assume akaunti ilikuwa "on hold" wakati ina Views 900,000 na back office zika-count new real views 80,000 lakini katika kukagua zile 900,000 ikaonekana 10,000 ni fake!

Akaunti ikisharudi kwenye hali yake, itaonesha Views 900,000 - 10,000 +80,000 = 970,000!!

Kwa watu wa IT na Digital Marketers wanaifahamu vizuri sana website ya Hubspot! Msome hapa mmoja wa watumiaji wa huo mtandao akizungumzia hilo suala:-
Once a video reaches 300 views, the fun begins. YouTube puts a hard stop on counting views. Its system begins to track incoming views as well as the first 300. It can delete fraudulent views as they’re identified. Once the initial screening process is over, the view counter goes back to normal, but YouTube will continue monitoring for fake views on every video.
Na Google wenyewe wanazungumzia hilo suala:-
Frozen view count
On some videos, the view count might seem frozen or not show all the views that you expect. Video views are algorithmically validated to maintain fair and positive experiences for content creators, advertisers, and viewers. To verify that views are real and accurate, YouTube may temporarily slow down, freeze, or change the view count, as well as discard low-quality playbacks.
Kwahiyo hayo madai yenu ni porojo na hilo suala linaweza kutokea kwenye akaunti yoyote!!

Au pitia kwenye quora hapa, na hapo kwa chini utakuta posts kibao raia wakijadili hilo suala.

Na YouTube wanafanya hivyo kwa sababu kampuni zinatumia millions of dollars kuweka matangazo yao YouTube!! So, hili kuhakikisha matangazo yao yanaonekana na watu halisi na sio "watu fake/Fake Viewers" ndo hapo Google/YouTube walipotengeneza algorithm zinazopitia hizi accounts 24/7 kuhakikisha no fake views!!
 
Hivi unaamini kabisa unaweza kuiingilia na ku-temper systems za Google again and again? Kwa IT Guru kutoka wapi?!

Hawa hawa wa UDSM na DIT including na wa vyuo uchwara vilivyozagaa kila pahala , au ni ma-IT Geniuses wanaojifunza kupitia YouTube Tutorials?!

Yaani, hata kama hutaki kutaja, unaamini mtu kama Diamond ana ubavu wa kuajiri mtu mwenyewe uwezo wa ku-hack na ku-temper systems za Google, kampuni yenye uwezo wa kuajiri any System and Software Engineer popote pale alipo duniani!

Hivi kwanini mashabiki wa Kiba mnashindwa kutumia hata common sense?!

Haya turudi kwa huyo Ali Kiba! Harmonize kaingia kwenye game juzi tu hapa lakini wote wana Instagram Followers 5.2M!! Amezidiwa followers hata na Shilole!!! Hivi Aunt Ezikiel wa kumzidi Followers Ali Kiba?!

Kiba anakuwa vp na followers sawa na Idris Sultan aliyeanza kufahamika juzi tu hapa?!

Hapo sijamtaja Wema Sepetu ambae ni heavyweight in social media compared to Kiba!!!

Wolper?! I mean Jacquiline Wolper anakuwa na Followers 700K zaidi ya wale wa Ali Kiba?! Serious?!

Hata huyo Vanessa Mdee anampigaje Kiba gap la Followers 1M?!

Huyo ndo msanii mnayetaka kutushawishi kwamba anafanyiwa figisu figusu!!! Ikiwa hata Instagram ambako 10M mtu zinamtosha kufanya following huko nako KIba hana influence, itakuja kuwa YouTube mtu anakutakiwa kutumia bundle ya kutosha ili ku-view video?!

Btw, hivi si ndo nyinyi nyinyi zamani mlikuwa mnasema "...huyu yupo Vevo, yule mwingine mbona kakimbia"! Vp hadi leo Kiba yupo Vevo?!

Fanyeni kazi... acheni kulia kulia na kutafuta huruma ya watu!!
followers kitu gani,unatumia akili gani[emoji16][emoji16]

impact ya anty ezekiel unaweza ukailinganisha na alikiba???au unaandika andika tu???

views 1.5 mln now,bado una swali??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaamini kabisa unaweza kuiingilia na ku-temper systems za Google again and again? Kwa IT Guru kutoka wapi?!

Hawa hawa wa UDSM na DIT including na wa vyuo uchwara vilivyozagaa kila pahala , au ni ma-IT Geniuses wanaojifunza kupitia YouTube Tutorials?!

Yaani, hata kama hutaki kutaja, unaamini mtu kama Diamond ana ubavu wa kuajiri mtu mwenyewe uwezo wa ku-hack na ku-temper systems za Google, kampuni yenye uwezo wa kuajiri any System and Software Engineer popote pale alipo duniani!

Hivi kwanini mashabiki wa Kiba mnashindwa kutumia hata common sense?!

Haya turudi kwa huyo Ali Kiba! Harmonize kaingia kwenye game juzi tu hapa lakini wote wana Instagram Followers 5.2M!! Amezidiwa followers hata na Shilole!!! Hivi Aunt Ezikiel wa kumzidi Followers Ali Kiba?!

Kiba anakuwa vp na followers sawa na Idris Sultan aliyeanza kufahamika juzi tu hapa?!

Hapo sijamtaja Wema Sepetu ambae ni heavyweight in social media compared to Kiba!!!

Wolper?! I mean Jacquiline Wolper anakuwa na Followers 700K zaidi ya wale wa Ali Kiba?! Serious?!

Hata huyo Vanessa Mdee anampigaje Kiba gap la Followers 1M?!

Huyo ndo msanii mnayetaka kutushawishi kwamba anafanyiwa figisu figusu!!! Ikiwa hata Instagram ambako 10M mtu zinamtosha kufanya following huko nako KIba hana influence, itakuja kuwa YouTube mtu anakutakiwa kutumia bundle ya kutosha ili ku-view video?!

Btw, hivi si ndo nyinyi nyinyi zamani mlikuwa mnasema "...huyu yupo Vevo, yule mwingine mbona kakimbia"! Vp hadi leo Kiba yupo Vevo?!

Fanyeni kazi... acheni kulia kulia na kutafuta huruma ya watu!!
Ebu taja Followers wa Ali kiba maana naona unabwabwa tu kama kenge aliyekatwa mkia
 
Kuliko yeye, "yeye nani"?! Na kujua nini?!
Sasa anawezaje kuwazidi wakati umeshasema anahujumiwa?!

In short mashabiki wa Kiba mnapenda kulia lia na wala hamjui system ya YouTube inafanya vipi kazi!!

Hakuna suala la kuganda... hicho mnachoita kuganda ni jambo la kawaida kupitia YouTube! Inavyokuwa ni kwamba, YouTube wanatumia bots (software) kukagua akaunti mbalimbali za YouTube, na hiyo kazi ni 24/7!

Hawa bots hawakagui accounts za Kiba ambae hata kumjua hawamjui bali wanapitia accounts mbalimbali! Bots zikikuta kuna suspicious clicks, accounts huwa zinakuwa "in hold" ku-evaluate fake na real views!

Lakini hata account ikiwa in hold, Views counting inaendelea "back office"!

Kama kuna fake views, zinafyekwa kisha akaunti inaendelea pale ilipoishia na itajumlisha views zote zilizokuwa counted back office!

Assume akaunti ilikuwa "on hold" wakati ina Views 900,000 na back office zika-count new real views 80,000 lakini katika kukagua zile 900,000 ikaonekana 10,000 ni fake!

Akaunti ikisharudi kwenye hali yake, itaonesha Views 900,000 - 10,000 +80,000 = 970,000!!

Kwa watu wa IT na Digital Marketers wanaifahamu vizuri sana website ya Hubspot! Msome hapa mmoja wa watumiaji wa huo mtandao akizungumzia hilo suala:-
Na Google wenyewe wanazungumzia hilo suala:-Kwahiyo hayo madai yenu ni porojo na hilo suala linaweza kutokea kwenye akaunti yoyote!!

Au pitia kwenye quora hapa, na hapo kwa chini utakuta posts kibao raia wakijadili hilo suala.

Na YouTube wanafanya hivyo kwa sababu kampuni zinatumia millions of dollars kuweka matangazo yao YouTube!! So, hili kuhakikisha matangazo yao yanaonekana na watu halisi na sio "watu fake/Fake Viewers" ndo hapo Google/YouTube walipotengeneza algorithm zinazopitia hizi accounts 24/7 kuhakikisha no fake views!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]zimeshuka tena saa hizi wimbo una views laki 6,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu taja Followers wa Ali kiba maana naona unabwabwa tu kama kenge aliyekatwa mkia
Labda ngoja nikuambie jambo moja: You're too low to argue with... in short, sina muda wa kubishana na majuha!!
 
Back
Top Bottom