Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oh, sikulinyaka vema hiloIshu ya kumtambulisha msanii mpya WCB mbona diamond aliipost siku moja kabla ya huo wimbo kutoka, wimbo ukatoka asubuhi na msanii akatambulishwa saa tatu usiku,hili nalo tatizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo ni sahihi kufanyiwa hivyo kwa vile kuna wengine wanafanyiwa hivyo?!!!Ndio maana nikakwambia kiswahili chepesi lakini umeshindwa kuelewa embu soma tena hapa “......Hayo maswali unayojiuliza kuwa huyo kijana wako watu wanafanya na kusema basi tambua hata kuna vijana wengine nao wanafanyiwa hivyo hivyo.
dunia hii bwana, kuna mengi mno bado hatuyajui......Google / youtube wanaweza wakawa mapimbi kias kwamba vilaza wa kusin mwa jangwa la sahara waweze ku manipulate systems zao ili kumkomoa toz wa kariakoo
Najiuliza tu
afadhali wewe umesoma hata hiyo mistari yangu miwili; mimi nimeishia kuangalia avatar yako tu na tayari nimeijua akili yako kuwa maji kujaa maji kupwaEssay kama izi uwa nasoma mstari wa kwanza nawa mwisho tu..kujua uwezo wa akiri ya mwandishi 3/10
Sent from my SM-A105G using Tapatalk
inafikirisha sana kwakwelihuyu jamaa amekuwa mtu wa ajabu sana wakati huu,na hii ndio sababu inamfanya yule kijana na leble yake wabaki wanahaha why!!!!!
tukiwaambia huyu mtu ana royal fans watu hawakubali,ila maisha yake ya kawaida yanaeleza mengi ambayo upande ule hautaki kuyasikia.
binafsi huwa napata wakati mgumu sana kumwelewa huyo dogo,hela umepata,umaarufu umepata,mafanikuo umepata,fanbase kubwa unayo,kwanini roho za kimasikini kwa ndugu yako njia moja????mpaka huwa najiuliza au anaelekezwa!!!!sio msimamo wake??
au kisa jamaa hatumii nguvu kula[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
kiongozi upo mbali kweli, kulia watu alikiba?!!!!😀😀😀Hivi ni rahisi sana kuhack system ya YouTube?
Unaweza kuthibitisha Diamond anahusika?
Alikiba na mashabiki wake wanapenda kulialia, ila sishangai ndio kawaida ya watawaliwa, wanavyokuwa mbele ya watawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una ushahidi wa hayo unayodai anafanyiwa?kwahiyo ni sahihi kufanyiwa hivyo kwa vile kuna wengine wanafanyiwa hivyo?!!!
Hivi unaamini kabisa unaweza kuiingilia na ku-temper systems za Google again and again? Kwa IT Guru kutoka wapi?!habarini!
poleni kwa mtikisiko huu wa korona na Mwenyezi Mungu atuepushe, amina! tuendelee kuchukua hatua stahiki tafadhali!
leo ni siku ya 3 kama sikosei nyimbo ya alikiba inatrend namba 01.....views ni kama 1.4M. kuna mambo kidogo yananishangaza:
Kiba anafanyiwa figisu zipi?! Ile ile ya kuibiwa penseli yake, au kuna nyingine?!Umenikumbusha movie ya Joker kuna soundtrack moja hivi inaitwa "That's Life"
Ila I think inabidi tutambue mziki ni Kazi. Mashabiki tunaonaga mziki kama Game fulani La kwenye simu Au reality Show flani hivi. Yani its like Kuna some sort of possession we have on these artists.
Kiba alivyotoa Dodo Kuna mtu Alisema Hiyo nyimbo ni Mbaya na hajaipenda kabla ht hajaiskiliza. Sasa imagine mzee Kiba siku anapita Humu jukwaani anaona that comment.
Kiba angekuwa anaishi mambele kwa maneno na figisu anazofanyiwa angekuwa kundi Moja na kina Whitney Houston au Sulli.
Thank God yuko Bongo hatuna Mental Health Crisis.
unafikiri kwenye hilo eneo wewe unajua zaidi kuliko yeye?!!!Hivi unaamini kabisa unaweza kuiingilia na ku-temper systems za Google again and again? Kwa IT Guru kutoka wapi?!
Hawa hawa wa UDSM na DIT including na wa vyuo uchwara vilivyozagaa kila pahala , au ni ma-IT Geniuses wanaojifunza kupitia YouTube Tutorials?!
Yaani, hata kama hutaki kutaja, unaamini mtu kama Diamond ana ubavu wa kuajiri mtu mwenyewe uwezo wa ku-hack na ku-temper systems za Google, kampuni yenye uwezo wa kuajiri any System and Software Engineer popote pale alipo duniani!
Hivi kwanini mashabiki wa Kiba mnashindwa kutumia hata common sense?!
Haya turudi kwa huyo Ali Kiba! Harmonize kaingia kwenye game juzi tu hapa lakini wote wana Instagram Followers 5.2M!! Amezidiwa followers hata na Shilole!!! Hivi Aunt Ezikiel wa kumzidi Followers Ali Kiba?!
Kiba anakuwa vp na followers sawa na Idris Sultan aliyeanza kufahamika juzi tu hapa?!
Hapo sijamtaja Wema Sepetu ambae ni heavyweight in social media compared to Kiba!!!
Wolper?! I mean Jacquiline Wolper anakuwa na Followers 700K zaidi ya wale wa Ali Kiba?! Serious?!
Hata huyo Vanessa Mdee anampigaje Kiba gap la Followers 1M?!
Huyo ndo msanii mnayetaka kutushawishi kwamba anafanyiwa figisu figusu!!! Ikiwa hata Instagram ambako 10M mtu zinamtosha kufanya following huko nako KIba hana influence, itakuja kuwa YouTube mtu anakutakiwa kutumia bundle ya kutosha ili ku-view video?!
Btw, hivi si ndo nyinyi nyinyi zamani mlikuwa mnasema "...huyu yupo Vevo, yule mwingine mbona kakimbia"! Vp hadi leo Kiba yupo Vevo?!
Fanyeni kazi... acheni kulia kulia na kutafuta huruma ya watu!!
aisee!!!Ulimwwngu unataka videozilizo live kama anavofanya Mond na Konde. Huyu alikiba anarekodi kama mlemavu, muda wote amekalia makochi kwenye magorofa analembua macho hahahha
acheni kulia lia mnaboa ile mbaya alafu mnaonekana vilazaunafikiri kwenye hilo eneo wewe unajua zaidi kuliko yeye?!!!
haya, kwahiyo hapo tunaweza kusemaje pale ambapo kina harmonize, mdee wanaomzidi followers kiba kazi zao zinazidiwa kiurahisi tu na kiba katika views?
kwanini kazi za huyu tu ndo views zinaganda na kurudishwarudishwa kila mara?!!!!
alisikika mkata viuno mmoja aliyepigwa bumbuazi na anayejifunza kuongea.....Vishabiki maandazi vya kiba vinachuki sana afu vyoye havinaga akili,vipo huko dunia ya mwisho kabisa
hua naviangaliaga tu afu nacheka,eti vinalalamikia You tube😂😂
Vinahisi huko kuna mabwazee kama wao.
Si bure vinafuga ujinga tu kichwani mwao
Ashukuru hata anafuatwa fuatwa.... Asipofuatwa ndo atapotea kabisa. Hao mnaowaita haters ndo mtaji. Ndo wanaotizama videos zake na kuangalia nini kafanya.hay
haya kiongozi, umetupatia historia ya diamond. nafikiri kiba alishapambana zamani tu na ndo maana yupo hadi leo, kinachotisha ni kwamba kwanini anafuatwafuatwa mno na wenye mafanikio zaidi yake?
nitarudi ukishaelewa maana ya 'kulialia'!acheni kulia lia mnaboa ile mbaya alafu mnaonekana vilaza