Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Psy-op za kitotoKuna jamaa yangu alikuwa mbishi Sana akawa anasema Corona haipo ni siasa tu so sad tumemzika mwezi uliopita kwasababu ya COVID-19 alikuwa mtu mwema na muhimu Sana kwangu [emoji24][emoji24][emoji24]
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Upo sahihiWana chanja ili kujiepusha na kufa kwa corona na athari zake zingine au ?
Labda chanjo ya UKIMWI ila sio hii ya mafuaKwa hali ninavyoiona ya hii Korona kuondoka na watu, kuna siku watanzania watapanga foleni za kilomita kadhaa ili wapate chanjo.
Nilienda kupata chanjo siku ya jumanne. Nilikuwa niko peke yangu na mtoa chanjo. Tulizungumza mambo kirefu sana. Nilikaa pale kama nusu saa hivi. Mbaya zaidi wafanyakazi wa afya wengi sana nao wanakwepa kuchanja. Jamaa fulani alinipa uchambuzi kuwa wafanyakazi wengi wa afya kinachowafanya wasichanje ni uoga wa sindano!!
Kingine nilichokiona, unapewa cheti cha mkononi na kingine unaweza download. Inaonekana kama umedhamiria kutochanja ila unataka upate cheti, unaweza 'ukachonga' na mtoa chanjo ukapata cheti.
Mbaya zaidi serikali nayo imechukulia mzaha hili suala. Gwajima, Dr anaenda kumpa Steve Nyerere ubalozi wa chanjo. Ataelimisha nini watu juu ya chanjo?
Siku inakuja watu watapanga foleni za kilomita kadhaa ili kupata chanjo
Tushazisikia sana hii gonjera, nenda kawaimbie watoto. Ni ushauri tu. Otherwise you are just wasting your time.Nikuulize, hiyo chanjo ni kwa ajili ya variant ipi ya Corona, na kikija variant mpya je?
Nikuulize, ukishachanja, unaacha kuvaa barakoa, unaweza kujichanganya na watu, unakuwa huwezi kuambukizwa, kuambuzi wengine , kuugua na kufariki kwa Corona?
Side effects za muda mfupi, wa kati ma mida mrefu wa hizo chanjo ni zipi?
Ila mtu akisema mtaani kwao kila siku watu wanakufa na corona unaamini.Utungaji huu, wengi wameanzisha uzushi kama huu. Mtaani kwetu hivi, kule vile. Umesikia chanjo inaweza sababisha kuganda damu unaamua kutunga "mtaani kwetu."
Kuruhusu wizi wa kura na kugomea chanjo ni dalili ya ujinga mkubwa sana.Wewe endelea kusubiria hiyo foleni watanzania siyo wajinga utaiba kura kwenye kituo ila siyo Chanjo
Leo Hanspope kafa kwa Korona.Ila mtu akisema mtaani kwao kila siku watu wanakufa na corona unaamini.
Chanjo ya jj ambayo inakua administered TZ ni kwa 18+Sema kwa muda mrefu ilionekana hakuna umuhimu sana kwa watoto kuchanja sababu walionekana hawako kwenye risk. Sijui kama imebadilika. Na wanachanjaje watoto bila consent ya mzazi?
Ila mkiambiwa watu wanakufa kwa sababu ya chanjo mnakataa mnaona uzushi.Leo Hanspope kafa kwa Korona.
Issue ya ugonjwa kukuzwa hilo ni jambo moja na kuhusu hizi chanjo za majaribio ni suala lengine pia. Wewe hujui hofu iliyotengenezwa kwenye corona imechangia kuleta athari kwa kiasi gani.Kwa hiyo vifo vya 3% kwa aiborne disease unaona si kitu. Pengine labda sijui lengo lako. Wewe unapinga chanjo sababu ugonjwa umekuzwa?
Yap, wengi wazushi. Hawajui hata kwanini hawataki kuchanja. Wanaamua kuunda hadithi.Ila mkiambiwa watu wanakufa kwa sababu ya chanjo mnakataa mnaona uzushi.
Tatizo mi wewe ambae unachagua katika hizo hadithi ni zipi uzisikilize kwa sababu ndio unachotaka kusikia na zipi hutaki kusikiliza kwa sababu si unachotaka kusikia, leo akija mtu akisema tu mtaani kwao kila siku wanazika watu kwa corona basi hutomuona mzushi wala hutomuhoji kajuaje kuwa hivyo vifo vyote ni vya corona.Yap, wengi wazushi. Hawajui hata kwanini hawataki kuchanja. Wanaamua kuunda hadithi.
Wapinga chanjo hawataki kukubali ushahidi wa wazi kuwa chanjo inasaidia. Wanatunga stori mbadala kuonyesha kuwa chanjo inaua.Tatizo mi wewe ambae unachagua katika hizo hadithi ni zipi uzisikilize kwa sababu ndio unachotaka kusikia na zipi hutaki kusikiliza kwa sababu si unachotaka kusikia, leo akija mtu akisema tu mtaani kwao kila siku wanazika watu kwa corona basi hutomuona mzushi wala hutomuhoji kajuaje kuwa hivyo vifo vyote ni vya corona.
Haiwezi kutokea kwa sababu si kila anayeambukizwa anakufa au kuuguaKwa hali ninavyoiona ya hii Korona kuondoka na watu, kuna siku watanzania watapanga foleni za kilomita kadhaa ili wapate chanjo.
Nilienda kupata chanjo siku ya jumanne. Nilikuwa niko peke yangu na mtoa chanjo. Tulizungumza mambo kirefu sana. Nilikaa pale kama nusu saa hivi. Mbaya zaidi wafanyakazi wa afya wengi sana nao wanakwepa kuchanja. Jamaa fulani alinipa uchambuzi kuwa wafanyakazi wengi wa afya kinachowafanya wasichanje ni uoga wa sindano!!
Kingine nilichokiona, unapewa cheti cha mkononi na kingine unaweza download. Inaonekana kama umedhamiria kutochanja ila unataka upate cheti, unaweza 'ukachonga' na mtoa chanjo ukapata cheti.
Mbaya zaidi serikali nayo imechukulia mzaha hili suala. Gwajima, Dr anaenda kumpa Steve Nyerere ubalozi wa chanjo. Ataelimisha nini watu juu ya chanjo?
Siku inakuja watu watapanga foleni za kilomita kadhaa ili kupata chanjo
Sawa, utaendelea kuchanja tena na tena na tena na tena na tena hadi utakapokufa au sio?Variants ni nyingi. Ikitokea variants ambayo haisikii hii chanjo ya J&J ntaenda tena kuchanja. Na ntaendelea kujikinga na Corona sababu kuna variants zingine na chanjo siyo 100%
Basi jibu hoja ili tuone kama ni ngojera au laTushazisikia sana hii gonjera, nenda kawaimbie watoto. Ni ushauri tu. Otherwise you are just wasting your time.
Team samia huyu hawezi kukujibu atapita kama hajaonaNikuulize, hiyo chanjo ni kwa ajili ya variant ipi ya Corona, na kikija variant mpya je?
Nikuulize, ukishachanja, unaacha kuvaa barakoa, unaweza kujichanganya na watu, unakuwa huwezi kuambukizwa, kuambuzi wengine , kuugua na kufariki kwa Corona?
Side effects za muda mfupi, wa kati ma mida mrefu wa hizo chanjo ni zipi?