Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Ni kweli, nina wivu sana na hii kitu, natamani kabila langu la mchinga liwe na tajriba kama hii
hatowezekana wachaga ni kabila kubwa wana pesa kuliko makabila yote humuoni Mengi
 
Ha ha ha ha kwa mfano ukiangalia mikoa ya kanda ya kati kila siku mauaji ya wakulima na wafugaji sasa uende ukachinjwe?
Dodoma na Singida kuna mauaji gani!!! Au hujui hata kanda ya kati ina mikoa gani! Utakuwa kizazi cha division 5 wewe msiojua hata Geography ya nchi yenu
 
Naelekea Morogoro, kwa sasa tupo hapa Korogwe, tumejipanga foleni kwa zaidi ya nusu saa sasa katika kituo cha mafuta cha Total, niko siti ya mbele, nauliza hii shida ya mafuta imeanza lini?? najibiwa na abiria mwenzangu kwamba hakuna shida ya mafuta, ni msongamano wa magari ya wachaga wanaokwenda kwao katika msimu huu wa siku kuu, wanakwenda hija......Hali ipo hivyo pia katika vituo vingine vya mafuta hapa mjini.......njiani tunakutana na misururu ya magari ya kifahari yakiongozana kuelekea kaskazini mwa nchi....SAFARI NJEMA WACHAGA......NAWATAKIA HIJJA NJEMA!

Ndio maanake maana walitumwa pesa mjini sasa wanapeleka mahesabh ya mwaka mzima
 
Ndio maanake maana walitumwa pesa mjini sasa wanapeleka mahesabh ya mwaka mzima

Veru true. Kwa mwaka mzima wanakuwa kazini ni lazima warudi wakashushe hesabu na tena waongeze vyumba kwenye nyumba zao na ikifika Januari 5 wote watakuwa wamerudi Dar kuanza tena kukusanya.
 
Ha ha ha ha kwa mfano ukiangalia mikoa ya kanda ya kati kila siku mauaji ya wakulima na wafugaji sasa uende ukachinjwe?

Pia kuna baadhi ya makabila, ukienda kwenu kijijini umefanikiwa kimaisha Unalogwa na majirani. Mfano Mkoa wa Mara, kuna jamaa yangu wa huko anakwambia inabidi uingie kwenu usiku na urudi usiku ulale Guest
 
Ila waache matambiko na makafara. Dunia ya leo ni ushamba na upuuzi kuendekeza uchawi!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Duh yaani maeneo ya bata yamejaa balaa nyama China inalika balaa
 
ngoma njiani hapo wamepaki kwa ajili ya mlo
 

Attachments

  • 1419438940069.jpg
    1419438940069.jpg
    69.3 KB · Views: 155
Nna kama miaka 9 sijaenda moshi kula sikuu.. hapa nlipo moyo unanichemka sana natamani ningekuwa huko sahiv daaah ...
 
Jamani mnisaidie hili swali, mbona hawa wenzetu wanapenda sana kusafiri kwa mkupuo kipindi hiki cha mwisho wa mwaka hasa Krisimasi,mtueleze huko moshi kuna kitu gani cha tofauti na mikoa mingine?
Mnasababisha hadi nauli zinapanda bila sababu yoyote ile.

cc miss chagga
 
Last edited by a moderator:
Jamani mnisaidie hili swali, mbona hawa wenzetu wanapenda sana kusafiri kwa mkupuo kipindi hiki cha mwisho wa mwaka hasa Krisimasi,mtueleze huko moshi kuna kitu gani cha tofauti na mikoa mingine?
Mnasababisha hadi nauli zinapanda bila sababu yoyote ile.

cc miss chagga

Ni desturi tu, kwamba wamezoea kushiriki pamoja na familia zao msimu huu wa sikukuu.
 
Last edited by a moderator:
Kwanini Wazungu wanapenda kusafiri kurudi kwenye familia zao kipindi cha Thanks Giving??

Wachagga wanapenda kula sikukuu za Xmas na Mwaka Mpya pamoja na ndugu na jamaa zao..
 
Tunapeleka pesa nyumbani na kufanya analysis kifamilia kuwa ni nan kayumba kimaisha ili asaidiwe asiwe kshooia!! Kama amefail totally anapewa mtaji akaanze upya...and of course..kuwacheki wazee wetu migombani na kupaweka nyumbani smart.
 
Back
Top Bottom