Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Ni kipindi muafaka kukutana na ndugu na jamaa kufurahi pamoja. Pia ni kipindi cha kutambulishana. Kuna watoto wengi wamezaliwa sehemu tofauti na hawawajui ndugu wengine so muda mwafaka kuwatambulisha kwa ndugu ili wafahamiane wasije oana. Pia mazingira ya uchagani ni mazuri sana kwa mapunziko. Yanavutia sana. ukianzia na mlima KLM, migomba, kahawa, miti miti, nyumba nzuri zilizopambwa na maua na fance za maua, ukoka au nyasi zilizo katwa vizuri kuelekea nyumba za watu, barabara nzuri, mbege, lafuzi nzuri ya wachaga nk
 
Me mchaga kinachotupeleka nyumbani ni kusalimia wazee na ndugu zetu. Pia inapendeza kufanya analysis kwa yupi kayumba na yupi kashuka na kuangalia namna ya kufanya.
Mwisho ni kuendeleza mfuko wa elimu kwa watoto mayatima. Takribani watoto 50 kila mwaka hupelekwa shule za kisasa na matumiz ambayo huwafanya kujiona hawana upungufu wowote.
 
Ni kipindi muafaka kukutana na ndugu na jamaa kufurahi pamoja. Pia ni kipindi cha kutambulishana. Kuna watoto wengi wamezaliwa sehemu tofauti na hawawajui ndugu wengine so muda mwafaka kuwatambulisha kwa ndugu ili wafahamiane wasije oana. Pia mazingira ya uchagani ni mazuri sana kwa mapunziko. Yanavutia sana. ukianzia na mlima KLM, migomba, kahawa, miti miti, nyumba nzuri zilizopambwa na maua na fance za maua, ukoka au nyasi zilizo katwa vizuri kuelekea nyumba za watu, barabara nzuri, mbege, lafuzi nzuri ya wachaga nk

Kuna mikoa mingine haiendeki nakwambia. Uchagani especially Marangu wanaijua lami, umeme,maji ya bomba,simu za mezani since enzi za mkoloni. Hata mbunge anakosa cha kuombea kura!
 
Nyumba.Barbara.Hali ya hewa vinachangia huko usukumani mkirudi mnalala na ngombe.kuna sehemu mbaya jamani kma Songea mkija dar ndo mmefika Newyork .
 
HII DESTURI NI NZURI SANA:
=> huwa ni kufanya analysis mwaka mzima mmefanya nini cha maendeleo
=>aliyepewa MTAJI january ikifika decemba ni mrejesho. JE UMEFANIKIWA? AU LAA!!
=> Maswala ya kifamilia kuchangishana ADA ili dogo asome
=> kupeana ramani za maisha hasa biashara gani? inalipa mkoa gani? risk zake!!
NOTE: kunywa mbege si jambo la muhimu KWANI NI KINYWAJI CHA ASILI, watu wanakumbushia asili yao
 
Back
Top Bottom