Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?


ASante kwa jibu zuri kabisa...
 

Sasa mbona hawa watoto wanaouza maduka wengi wao ni umri wa kwenda shule tena za msingi?
 
NI MBINU YA KUJIPANGA:
=> KUTADHIMINI mmetoka wapi? mpo wapi? mnaenda wapi? KIBIASHARA na kupeana mbinu na msaada ya mitaji
 
NI MBINU YA KUJIPANGA:
=> KUTADHIMINI mmetoka wapi? mpo wapi? mnaenda wapi? KIBIASHARA na kupeana mbinu na msaada ya mitaji NA USHAURI WA MAISHA
 
Nyumba.Barbara.Hali ya hewa vinachangia huko usukumani mkirudi mnalala na ngombe.kuna sehemu mbaya jamani kma Songea mkija dar ndo mmefika Newyork .

Mbona unatudhalilisha sisi Wangoni. Eti mkuu Lizaboni ni kweli Songea kuko hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Matambiko na kupiga mbege....!

Hujazuiwa kwenda kunywa rubisi kwenu kama kunaendeka lakini...after all katika local drinks zinazoheshimika nchi nzima ni mbege na kola mkoa ipo but huwezi kuikuta Rubisi Kilimanjaro.....
 

Naomba nikuambie tu, ni vyema usiangalie wachagga kwa kuwa wameweza,kwanini makabila mengine mshindwe, yani mwaka mzima hujaonana na ndugu jamaa na rafiki bado hushindwe mwisho wa mwaka kwenda,maana swala la kuenda kuwasalimu ndugu yani bibi, babu, mama, baba,rafiki na jamaa kwenye origin yenu sio la wachaga tu,ingawa wachaga wameweza kuthamini kwao kuliko makabila mengine yote.na tuwapongeze kwa hilo.
 
Last edited by a moderator:
sio tunaenda tu na mahekalu tuloporomosha huko ni hatar! bata lazma lirudi nyumban!hatupendi shida kwani tatizo nene? najivunia kuwa mchaga.
 

Sisi wengine huwa hatungoji mpaka mwisho wa mwaka muda wowote tunaenda makwetu.
 
Haya yote ni majibu, ukweli hasa ni kwenda kufanya matambiko, hawa watu wanaheshimu matambiko sana, japo sio wote kwa 100%.
Wengine wanaenda kuungana na familia zao kwani baadhi yao huacha wake zao nyumbani, na wengine wanaenda kuangalia maendeleo ya majengo yao yana hali gani kwani kiukweli hii mijamaa imeficha mijengo ya uhakika mgombani.
Unaweza kumdharau mchaga kwa mwonekano mjini au kwa biashara duni anayoifanya town but ukifika kwake hutaini alivyojenga mjengo wa nguvu.
Ikiwa mtu kawekeza kwao lazima arudi akapacheki
 
Wewe labda sio wa kaskazini...! Wenzio wanakwenda kupiga ramli kabisa...

inasikitisha jinsi bk ilivyobaki nyuma, nimekaa kagera miaka 7, nimeshangaa, akina nshomire tunaosikia sifa zao za maendeleo kumbe ni uongo tu, hakuna kitu kwao, hata utamaduni wa kutembelea kwao haupo, umebaki ukabila tu kuwabagua makabila mengine, hii tabia ya wachaga ya kurudi kwao mwisho wa mwaka ni ya kupigiwa mfano na sio ya kubezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…