Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Jamani msibishane sana. Kati ya siku kuu zote za mwaka, xmass ndiyo kubwa na ambayo inasherehekewa na kila Taifa. Duniani kote wakati wa xmass baadhi ya ofisi hufungwa!

Kipindi cha December, hali ya hewa Kilimanjaro ni nzuri sana, baridi/joto kwa mbali. Mfano hapa dar joto kali sana. Pia infrastructure kilimanjaro inaruhusu. Muda si mrefu kila corner ya mkoa wa Kilimanjaro itakuwa mji, tunaachana na vijiji. Hata watoto wetu wakifika huko hutamani kubaki jinsi kulivyo kuzuri, hakuna matatizo ya Maji, umeme, barabara maduka kila sehemu.

Wewe unafikiri mtu anarudi kwao kwasababu wana ghorofa ama kwa vile wanalalia 6*6? hujaona watu wanahama makwao wanayaacha hayo yote na kwenda kuishi maeneo ambayo humtegemei,kwenda kwenu ni wajibu wako na pia ni kuwa na amani nafsini mwako ..haya mambo mnatakiwa myajue na mtembee Tanzania mjifunze na muone maisha yalivyo ili mkiwa mnakaa na kuanza kuongea uonekana kweli kuna kitu unakielewa na unaeleweka pia.
 
We mpuuzi sana kufikiri makabila yote 123 watu wote 45m hawaendi makwao eti mpaka ije Xmas,kwahiyo hata wewe kwenda kwenu mpaka ije Xmas vinginevyo labda uitiwe msiba? kwenu kwenu na mda wowote kasalimie unapopata mda,una uhakika gani kama hiyo Xmas utakuwepo? waacheni watu wafanye wanayoyaweza vyovyote vile ni sawa iwe Xmas,Pasaka,Idd,Maulid,mwezi wa6 n.k it's okay ..lakini pia,hivi unamaanisha siku hizi pale Ubungo mikoa mingine mabasi hayaendi yote yamehamia Kilmnjr ama hiyo mikoa mingine yanayokwenda unahisi mabasi hayana watu? ama unahisi yanayopakiwa humo ni mawe na kokoto?

Mkuu, ndio hao mtoto hanunuliwi nguo mpaka iwe siku kuu. Wengine tunapendelea kwenda vijijini kwetu muda wowote nafasi inaporuhusu.
Pia tunaishi na wake zetu na sio kuwacha migombani na kwenda "kuwaona" December
Hatuna matambiko yoyote tukienda huko!
 
Wewe unafikiri mtu anarudi kwao kwasababu wana ghorofa ama kwa vile wanalalia 6*6? hujaona watu wanahama makwao wanayaacha hayo yote na kwenda kuishi maeneo ambayo humtegemei,kwenda kwenu ni wajibu wako na pia ni kuwa na amani nafsini mwako ..haya mambo mnatakiwa myajue na mtembee Tanzania mjifunze na muone maisha yalivyo ili mkiwa mnakaa na kuanza kuongea uonekana kweli kuna kitu unakielewa na unaeleweka pia.

Pemba tu sijawahi kufika, ukiacha Kagera, niambie sehemu ambayo unaweza kulinganisha na Uchaggani. Mkitoka kijijini kwenu sawa na Jongoo kutupa mti wake. Wachagga hacha hiyo xmass, wanaenda mara kwa mara. Ukiona vinaelea ujuo vimeundwa.
 
All Chaggas are highly civilised.
They are famous for their Love...that's why they have to meet at least once Per annum.
Tofauti na makabila mengine mkienda kwenu mtarogwa...hata mkifa mnazikwa kinondoni....mnajaza makaburi mjini....
N.B.
Mie sio Mchagga.
 
Sensa sensa wachagga wote muwahi kabla daftari halijafungwa kwa idadi kamili
 
Hiyo mila yenu ya kwenda Christmas inatutesa wengine, mnapotafuta nauli kwa kuvamia watu njiani na kuwapora, kupora madukani na sehrmu mbalimbali kwa sababu Tu ratiba ya kwenda kwenu christmas.
Acheni hizo bana....

Umenichekesha sana we 'kirusi' 🙂
 
Mnachoenda kufuata huko vijijini kujeni na mrejesho hapa mapicha ya huko migombani ndio watawaelewa hapa hata hawawaelewi.

Hahahahaha

mapicha mkuu wala hamna tatizo.
 
Wanakuwa walinzi wa nyumba za wachagga.
Tuwie radhi kaka, sisi waluguru tunarudi may be kila baada ya wiki...moro vijijini mbele ya chalinze hapo, na pia wale wa bagamoyo, hatuna haja ya kusubiri x mass...sisi kila siku twarudi nyumbani, tena hasa wakati wa iddy...in short hatuna muda maalum....unaweza kwenda kwenu hata wakati wa usiku
 
Tuwie radhi kaka, sisi waluguru tunarudi may be kila baada ya wiki...moro vijijini mbele ya chalinze hapo, na pia wale wa bagamoyo, hatuna haja ya kusubiri x mass...sisi kila siku twarudi nyumbani, tena hasa wakati wa iddy...in short hatuna muda maalum....unaweza kwenda kwenu hata wakati wa usiku

Kwani hakuna Waluguru ambao ni walinzi mkuu?
 
siyo kweli mkuu, tumefundishwa kumuamini Mungu pamoja na kufanya kazi kwa bidii ndiyo maana mafanikio tunayaona katika Maisha yetu.

Nakushauri ondoa fikra hizo potofu nawe utafanikiwa kama walivyofanikiwa wachagga.

Ukiona mtu anakuchukia kisa umenunua shati jipya kaa nae mbali huyo hata chelewa kukuloga!
 
Ni muda wa uhakika kukutana na ndugu, jamaa na marafiki wengi kuliko wakati mwingine wowote wa mwaka.
Sijui nani alianzisha jambo hili bt linatusaidia sana.
Marangu nakuja Jumapili.
Meet u my People;
Godbless
Goodluck
Godbright
Godlisten
PROUD TO BE A CHAGGA.
The floor of Mt. Kilimanjaro is our homeland.
 
Waende wapi na hawana pa kufikia? Utarudi ukae kwenye tembe?Wengi huwa wanarudi nyumbani kwa sanduku (jeneza). Utan argue mchana kutwa hawataelewa.
 
Wachagga washazoea kukaa miji mikubwa kama new York Toronto dsm Nairobi Dubai Johannesburg Moscow Beijing na kwingineko duniani so lazima mwisho wa mwakaa waende moshi kubadilisha mazingira na kupimzisha akil ambayo inakua imechoka kwa kuhesabu pesa mwaka mzima hii ni tofaut na makabila mengine ambao wao mwaka mzima wanatafuta pesa il waje mjin xmsss kuangalia magorofa na bahar 🙂 on.ma way to moshi now.. ndani.ya Kilimanjaro express

unaumwa???? mbona siku hizi hakuna asiyojuwa pesa kuzitafuta hata kuiba oiya
 
Na me niko safrn na familia yangu tunatoka mbeya tunaelekea bukoba kula sikukuu inamaana si sio watu mmnaona wachaga tu
 
Kwani hakuna Waluguru ambao ni walinzi mkuu?
Ulinzi ni kazi kama kazi nyingine, lakini si wote ni walinzi...kwahiyo sio wote tutawalindia nyuma...miongoni mwetu kuna wakwezi, kuna wauza mbogamboga, walioma ofisini...n.k...ila kwetu tunaenda saaaana, nahisi kushinda kabila nyingine....
 
Back
Top Bottom