Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

Mbona makabila kibao msimu huu wanaendaga kwao, ila wachage mubadilike mmeendekeza sana ukabila hasa maofisini yaani mnajazana hata kama mtu hana sifa mnalazimisha sasa kiboko yenunkaingia mr.pombe, jambo lingine mpunguze kujitembekeza na kuwachongea wenzenu maboss, tatu demu wa kichaga kuachia nyapu kwa boss ni easy kwa lengo frani badilikeni acheni ukabila na ukanda watu walishawashtukia na ndiyo maana chadema inazidi kudumaa.
 
Wachagga ni wanapenda ushirikina tu, kisusio na mbege vimekaa kiuchawi uchawi. After all wachaga ni wabinafsi sana
 
Wachagga ni wanapenda ushirikina tu, kisusio na mbege vimekaa kiuchawi uchawi. After all wachaga ni wabinafsi sana

Na nyie jaribuni ushirikina pia mtatoka hahahaha.. Pumbavuuu nyie makwenu hamurudi mnaogopa kurogwa alafu mnasema nini hapa..
 
Cha Mcngi Tuangalie Wanaenda Kufanya Nini? Ni Kweli Kula Ckukuu Na Wazazi,au Ukoo? Kuna Agano Lilikwishawekwa, Na Ndio Maana Suala La Kwenda Sio Hiari Ni Lazima.
 
Kirrruuu aikambe mtoa mada kwanj we hauna kwenu? Ni utaratibu kila mwisho wa Mwaka, kujumuika na ndug baada ya kuwa nao mbali kwa mda mrefu
 
Jamani mnisaidie hili swali, mbona hawa wenzetu wanapenda sana kusafiri kwa mkupuo kipindi hiki cha mwisho wa mwaka hasa Krisimasi,mtueleze huko moshi kuna kitu gani cha tofauti na mikoa mingine?
Mnasababisha hadi nauli zinapanda bila sababu yoyote ile.

cc miss chagga
Wanaenda kunywa KISUSIO NA KUNYWA MBEGE.Bila kusahau TAMBIKO KWA KWENDA MBELE.Hata kama mchagga ni pastor LAZIMA AFANYE ZIDIKO LA KISHIRIKINA.Ndo maana UDHULUMAJI MWINGIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
 
Mkuu usiumizwe kichwa na wachaga,ni washirikina hatari,huwa wanaenda kwao kuomba mizimu iwabariki kwa kufanya kafara ya mbuzi,amini usiamini mwezi huu kila familia inachinja mbuzi huko uchagani kwa kafara ili kuita mizimu,hawana lolote zaidi ya uchawi.
Kha! sasa kama kwa kuchinja mbuzi miungu inabariki watu wake ina maana kabila lenu halina mungu au huyo mungu wenu hana uwezo wa kubariki ili nanyi mbarikiwe? Kama una imani na mungu awe wa kikwenu au wa kigeni sadaka ya damu ni ya lazima. ukiskia mganga haagizi samaki unaelewaje? ni kwamba samaki hafai kuchinja.
 
Ndiyo Hali halisi. Watu ni wengi, ukifika Moshi mjini, kuna foleni ya magari mengi.
Kuelekea Rombo, Marangu, Kibosho, Uru, Machame, Old Moshi ni full people on the Road with good and luxurious Cars...
Much good, hizo Barabara za kuelekea huko(maeneo yote niliyotaja) ni Lami...

Merry Christmas to ALL....
Tupia hali ya eneo ulipo! Tujuzane.
 
Asante mkuu nipo nyumbani rasmi karibu meku tule machalari
 
Ndiyo Hali halisi. Watu ni wengi, ukifika Moshi mjini, kuna foleni ya magari mengi.
Kuelekea Rombo, Marangu, Kibosho, Uru, Machame, Old Moshi ni full people on the Road with good and luxurious Cars...
Much good, hizo Barabara za kuelekea huko(maeneo yote niliyotaja) ni Lami...

Merry Christmas to ALL....
Tupia hali ya eneo ulipo! Tujuzane.

Mkuu its really amazing...Inapendeza mno watu ni wengi nipo mitaa ya oriental hapa no sheedah watu waliopotezana miaka na miaka wanaonana.... Jana nilikuwa kijijini nimekutana na jamaa nilipotezana nao almost 7 years ago.

Full shangwe...mbuzi wanaadhibiwa balaaa
 
Back
Top Bottom