Smokey D
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,632
- 2,108
Wanafunga mahesabu mwisho wa mwaka sio katikati ya mwakaKAMA ni hivyo kwanini hawaendi wakati wa Pasaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafunga mahesabu mwisho wa mwaka sio katikati ya mwakaKAMA ni hivyo kwanini hawaendi wakati wa Pasaka?
Wachagga ni wanapenda ushirikina tu, kisusio na mbege vimekaa kiuchawi uchawi. After all wachaga ni wabinafsi sana
Wachaga sio binadamu kabisa.
Hilo swali muulize mumeo kagenziKwa hiyo chadema ni chama cha wachagga?
Matambiko na kupiga mbege....!
Wanaenda kunywa KISUSIO NA KUNYWA MBEGE.Bila kusahau TAMBIKO KWA KWENDA MBELE.Hata kama mchagga ni pastor LAZIMA AFANYE ZIDIKO LA KISHIRIKINA.Ndo maana UDHULUMAJI MWINGIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIJamani mnisaidie hili swali, mbona hawa wenzetu wanapenda sana kusafiri kwa mkupuo kipindi hiki cha mwisho wa mwaka hasa Krisimasi,mtueleze huko moshi kuna kitu gani cha tofauti na mikoa mingine?
Mnasababisha hadi nauli zinapanda bila sababu yoyote ile.
cc miss chagga
AiseeeeWachagga ni wanapenda ushirikina tu, kisusio na mbege vimekaa kiuchawi uchawi. After all wachaga ni wabinafsi sana
Wewe ni mchaga wa wapi usiyejua umuhimu wa ramli?Upo dunia ya ngap hayo mambo yamepitwa na wakat Kama ww huna hela za kusherekea na familia yako utaona tuu jam Stend
Kha! sasa kama kwa kuchinja mbuzi miungu inabariki watu wake ina maana kabila lenu halina mungu au huyo mungu wenu hana uwezo wa kubariki ili nanyi mbarikiwe? Kama una imani na mungu awe wa kikwenu au wa kigeni sadaka ya damu ni ya lazima. ukiskia mganga haagizi samaki unaelewaje? ni kwamba samaki hafai kuchinja.Mkuu usiumizwe kichwa na wachaga,ni washirikina hatari,huwa wanaenda kwao kuomba mizimu iwabariki kwa kufanya kafara ya mbuzi,amini usiamini mwezi huu kila familia inachinja mbuzi huko uchagani kwa kafara ili kuita mizimu,hawana lolote zaidi ya uchawi.
Aisee chuwa ni Kutathimini
" some people are going to reject you because you are shining too bright for them, and there is no problem, keep shining"Hamna lolote kwenda kunywa mbege tu..
Ndiyo Hali halisi. Watu ni wengi, ukifika Moshi mjini, kuna foleni ya magari mengi.
Kuelekea Rombo, Marangu, Kibosho, Uru, Machame, Old Moshi ni full people on the Road with good and luxurious Cars...
Much good, hizo Barabara za kuelekea huko(maeneo yote niliyotaja) ni Lami...
Merry Christmas to ALL....
Tupia hali ya eneo ulipo! Tujuzane.