Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Nashangaa.......ninavyoona......hakuna muoaji hapo.......Tujiandae sisi au wewe mtangaza ndoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa.......ninavyoona......hakuna muoaji hapo.......Tujiandae sisi au wewe mtangaza ndoa?
Itabidi nije kwa sababu hakuna namna nyingine.........Labda kesho jam itapungua, njoo tu!
siku hizi wachaga mmekua kama watu wa kanda ya ziwa mpakani mwa uganda
siku hizi wachaga mmekua kama watu wa kanda ya ziwa mpakani mwa uganda
Khaaaa.....
Yani ndo paka uandike jf?? Kweli Wewe mzigo huko kwa obama
Em kuwa na aibu kidogo, umerudi tz.., kuna ugumu gani kututakia watz wote heri hiyo ya sikukuu. This is is a physchological brainwash ur imposing on Tanzanians. Ukabila this time hapana.., hatuutaki!Texas mpaka tz-machame nimemiss home kwa kweli nawatakia sikukuu njema wachaga wenzangu wote i love all we are together
I love all we are together ?? Aisee usirudi tena Texas baki tu Nronga
Karibu nimekuona umepita na boda boda hapa kiraracha
Unawatakia Sikukuu njema Wachaga wenzako wote? Ama kweli wewe ni Mkabila!
Hivi Safari ya mtu binafsi nayo inafunguliwa Mada JF? ama kweli JF imekuwa kama Fesibuku siku hizi..!!
Acha uongo huyu jamaa ni wa lyamungo kilanya