Kuna siri gani kua ukimsimulia mtu mipango yako ghafla inafeli au kusuasua?

Kuna siri gani kua ukimsimulia mtu mipango yako ghafla inafeli au kusuasua?

Nimesikia ama kuchunguza kua mara nyingi ukiropoka kwa watu mipango yako inaanza kusua sua na hatimae Kufeli mazima. Tafadhali wabobezi wa masuala ya kiroho naomba hapa ufafanuzi.

Kuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na uhusiano hapa? Karibuni.
Jambo lolote unalopanga kulifanya omba kwanza Mungu akupe kibali Cha kulifanya lengo hilo na kufanikiwa automatic utajikuta wazo hilo unalo wewe tu ata mwaka mzima bila kumuambia mtu omba Mungu akupe kibali omba kibali katika malengo unayotarajia kuyafanya usisahau kutoa kwanza sadaka ya kupanda mbegu malimbuko
Ata swala la kumkopesha mtu omba kibali kabla pesa haujaitoa
 
Inategemea na umaskini wako tu.

Mo kila mara anatangaza mipango yake ya kufungua viwanda na mipango haijawahi kufeli

Bakhressa pia anatangaza sana mipango ya kuja na bidhaa mpya na haijawahi kufeli.
 
Ni saikolojia tu.

Saikolojia inasema,ukimsimulia mtu mipango yako akili inajiseti na kuamini kwamba tayari mipango umeshaitekeleza,...hivyo motivation inapungua au kupotea kabisa.


Telling people our plans release dopamine, which can trick the brain into feeling good about our progress on a project, which we actually haven't started yet. This can then disincentivize us to continue, as we already got a good feeling and don't want to do the hard work.
ni kama nimekuelewa mkuu✔✔✔
 
Jambo lolote unalopanga kulifanya omba kwanza Mungu akupe kibali Cha kulifanya lengo hilo na kufanikiwa automatic utajikuta wazo hilo unalo wewe tu ata mwaka mzima bila kumuambia mtu omba kibali omba kibali katika malengo unayotarajia kuyafanya usisahau kutoa kwanza sadaka ya kupanda mbegu malimbuko
Nashukuru then halafu? Nini kinakwamisha pindi tu unaporopoka?
 
Jambo lolote unalopanga kulifanya omba kwanza Mungu akupe kibali Cha kulifanya lengo hilo na kufanikiwa automatic utajikuta wazo hilo unalo wewe tu ata mwaka mzima bila kumuambia mtu omba kibali omba kibali katika malengo unayotarajia kuyafanya usisahau kutoa kwanza sadaka ya kupanda mbegu malimbuko
Kabla hujafanya jiulize unaisikia sauti gani kutoka ndani?
 
Inategemea na umaskini wako tu.

Mo kila mara anatangaza mipango yake ya kufungua viwanda na mipango haijawahi kufeli

Bakhressa pia anatangaza sana mipango ya kuja na bidhaa mpya na haijawahi kufeli.
Sio kwel mkuu
 
Jambo lolote unalopanga kulifanya omba kwanza Mungu akupe kibali Cha kulifanya lengo hilo na kufanikiwa automatic utajikuta wazo hilo unalo wewe tu ata mwaka mzima bila kumuambia mtu omba Mungu akupe kibali omba kibali katika malengo unayotarajia kuyafanya usisahau kutoa kwanza sadaka ya kupanda mbegu malimbuko
Ata swala la kumkopesha mtu omba kibali kabla pesa haujaitoa
Hahah katika kukopesha hapa ufafanuzi tafadhali mkuu
 
Sauti kivip?
Kuna msemo wa waswahili wanasema ukitaka kuruka agana na nyonga, sauti ya ndani ni wewe mwingine alie ndani yako je anakwambiaje kuhusu unachotaka kukifanya? Hapa nazungumzia mlango wa sita wa fahamu lazima uwe na machale kwamba hapa ninafanya kitu sahihi au ninafanya kitu ambacho sio sahihi kufanya
 
Inategemea na umaskini wako tu.

Mo kila mara anatangaza mipango yake ya kufungua viwanda na mipango haijawahi kufeli

Bakhressa pia anatangaza sana mipango ya kuja na bidhaa mpya na haijawahi kufeli.
Mtu anayekuambia jambo lake na akafanikiwa ujue Kuna Siri anazo hawezi kukuambia atatumia njia gani kumbuka hao ni wafanyabiashara wakubwa Wana washauri wengi duniani hivyo wanajua njia nyingi zinazofanya kazi mikakati yao wanakuwa wameshandaa kwenye business plan
 
Kuna msemo wa waswahili wanasema ukitaka kuruka agana na nyonga, sauti ya ndani ni wewe mwingine alie ndani yako je anakwambiaje kuhusu unachotaka kukifanya? Hapa nazungumzia mlango wa sita wa fahamu lazima uwe na machale kwamba hapa ninafanya kitu sahihi au ninafanya kitu ambacho sio sahihi kufanya
Sasa tunapima vip kujua kua ni sahihi au la?
 
Ukimsimulia mtu mipango Yako inakupunguzia energy na moraly ya kuendelea kukitekeleza, nature Iko hivyo
Yaan kasi yako ya utekelezaji na utendaji inapungua, inashuka na kufa kabisa na ukifeli basi unakua mwanzo wa simulizi na utasimuliwa na usiowaambia utaanza kujiuliza wamejuaje na wala sikuwaambia?
 
Hilo suala ni kwa sababu tunaishi na watu wasiopenda mafanikio yetu na Kuna watu ni watu wako wa karibu sana lakini hawafurahii wewe kupiga hatua kuwazidi.....hivyo unavyomsimulia jambo lako anarelease negative energies hiyo ndio huharibu Kila kitu....yaani Yale mapokeo yake tu yakiwa sio mazuri Yale ndio huharibu Kila kitu......kwa mfano kwenye biblia kuna kijana anaitwa Yusuph aliota ndoto kawasimulia ndugu zake kwa wema TU lakini ndugu zake walivyoisikia Ile ndoto wakaona kabisa dogo atakuja kututawala wakapanga njama wamuue lakini kaka yake mmoja akashauri wamuuze....maono yake yalikuja kutimia baadae lakini kwa shida sana.....ukipata muda soma kitabu kile Cha mwanzo 37 na kuendelea ndio utakielewa hicho kisa vizuri
 
Inategemea na umaskini wako tu.

Mo kila mara anatangaza mipango yake ya kufungua viwanda na mipango haijawahi kufeli

Bakhressa pia anatangaza sana mipango ya kuja na bidhaa mpya na haijawahi kufeli.
Usichokijua anatangaza akiwa ameshatimiza malengo na mipango na anakua ameshafanya walau kuona je inaleta impact ipi hasi au chanya akiona hailipi hutomuona akitangaza
 
Back
Top Bottom