mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Mtupe madini, tuendelee kujifunza hapa.Ila toka nimeanza kuwa msiri wa mambo yangu,basi mengi ndiyo yalifanikiwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kinapelekea adi morali inakata gafla?Yaan kasi yako ya utekelezaji na utendaji inapungua, inashuka na kufa kabisa na ukifeli basi unakua mwanzo wa simulizi na utasimuliwa na usiowaambia utaanza kujiuliza wamejuaje na wala sikuwaambia?
Kuna situation uko na rafiki unajikuta unaropokaHiyo ni mipango kwa ajili yenu au kwa ajili yake? Maana kama ni yako sioni haja ya kuyasimulia kwa mtu mwingine.
Why? Sababu ya kufeli tafadhaliUsianike mipango yako hadharani
Wala kumwambia mtu,piga kimya....hi ni moja ya formula ya maisha
Ova
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hana mfanoweMungu ni nani?
Uliacha kuropoka?Mtupe madini, tuendelee kujifunza hapa.Ila toka nimeanza kuwa msiri wa mambo yangu,basi mengi ndiyo yalifanikiwa...
Wanadam tumeumbwa kwa mfano wakeMungu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hana mfanowe
Si kila utakaemsimulia mipango yako atafurahia, hivo usisimulie mipango yako ovyo ukakaribisha roho mbaya zisolazimaNimesikia ama kuchunguza kua mara nyingi ukiropoka kwa watu mipango yako inaanza kusua sua na hatimae Kufeli mazima. Tafadhali wabobezi wa masuala ya kiroho naomba hapa ufafanuzi.
Kuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na uhusiano hapa? Karibuni.
mwanadam nuksi tuWhy? Sababu ya kufeli tafadhali
Na vipi kumuambia mtu matatizo yako yanayokusibu na kukutesa je hiyo inafanya matatizo hayo kukoma yasiendelee ?Ni saikolojia tu.
Saikolojia inasema,ukimsimulia mtu mipango yako akili inajiseti na kuamini kwamba tayari mipango umeshaitekeleza,...hivyo motivation inapungua au kupotea kabisa.
Telling people our plans release dopamine, which can trick the brain into feeling good about our progress on a project, which we actually haven't started yet. This can then disincentivize us to continue, as we already got a good feeling and don't want to do the hard work.
UongoWanadam tumeumbwa kwa mfano wake
Hiyo ndiyo gharama ya uropokaji. Kikanuni hutakiwi kuongea mpango ambao haujakamilika. Kamilisha na watu watajionea wenyewe pasipo wewe kuwaambia...Kuna situation uko na rafiki unajikuta unaropoka
Ina ukweli mwingi sana hii, nina shuhuda nyingi tuNimesikia ama kuchunguza kua mara nyingi ukiropoka kwa watu mipango yako inaanza kusua sua na hatimae Kufeli mazima. Tafadhali wabobezi wa masuala ya kiroho naomba hapa ufafanuzi.
Kuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na uhusiano hapa? Karibuni.
Mipango yako ilikuwa inafeli tu, hizo habari za kuhadithia watu kusababisha kufeli ni kisingizio tu.Nimesikia ama kuchunguza kua mara nyingi ukiropoka kwa watu mipango yako inaanza kusua sua na hatimae Kufeli mazima. Tafadhali wabobezi wa masuala ya kiroho naomba hapa ufafanuzi.
Kuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na uhusiano hapa? Karibuni.
na hii ndo comment nilkua naisubir, fact kabisa, shetan anasubr asikie kutoka kwako tu ukidhihirisha mwenyw tyr umekwishaMonitoring spirit waits to hear the word of confession to know your heart or next plan to manipulate/block your helpers not to reach your destiny,nimeikopi mahali.
#8On how