Kuna siri gani kua ukimsimulia mtu mipango yako ghafla inafeli au kusuasua?

Kuna siri gani kua ukimsimulia mtu mipango yako ghafla inafeli au kusuasua?

Nimesikia ama kuchunguza kua mara nyingi ukiropoka kwa watu mipango yako inaanza kusua sua na hatimae Kufeli mazima. Tafadhali wabobezi wa masuala ya kiroho naomba hapa ufafanuzi.

Kuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na uhusiano hapa? Karibuni.
Si kila utakaemsimulia mipango yako atafurahia, hivo usisimulie mipango yako ovyo ukakaribisha roho mbaya zisolazima
 
Ni saikolojia tu.

Saikolojia inasema,ukimsimulia mtu mipango yako akili inajiseti na kuamini kwamba tayari mipango umeshaitekeleza,...hivyo motivation inapungua au kupotea kabisa.


Telling people our plans release dopamine, which can trick the brain into feeling good about our progress on a project, which we actually haven't started yet. This can then disincentivize us to continue, as we already got a good feeling and don't want to do the hard work.
Na vipi kumuambia mtu matatizo yako yanayokusibu na kukutesa je hiyo inafanya matatizo hayo kukoma yasiendelee ?
 
Mawazo ya kijinga na inferiority complex. Hakuna mtu anaweza impact mawazo yako positively or negatively kisa umesema tu.
 
Nimesikia ama kuchunguza kua mara nyingi ukiropoka kwa watu mipango yako inaanza kusua sua na hatimae Kufeli mazima. Tafadhali wabobezi wa masuala ya kiroho naomba hapa ufafanuzi.

Kuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na uhusiano hapa? Karibuni.
Ina ukweli mwingi sana hii, nina shuhuda nyingi tu
 
Nimesikia ama kuchunguza kua mara nyingi ukiropoka kwa watu mipango yako inaanza kusua sua na hatimae Kufeli mazima. Tafadhali wabobezi wa masuala ya kiroho naomba hapa ufafanuzi.

Kuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na uhusiano hapa? Karibuni.
Mipango yako ilikuwa inafeli tu, hizo habari za kuhadithia watu kusababisha kufeli ni kisingizio tu.
 
Back
Top Bottom