Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Bora mchawi kuliko jicho la Husda.
Uchawi huenda usikupate, tofauti na jicho la hasidi.
Ogopa watu wa hivyo yaani Omba Mungu sana Kama unaamini haya.
Na maisha yako ukitaka kufanya kitu fanya tu kabla hujaanza kujisifia au kumuambia kila unaemuona ni rafiki
Uchawi huenda usikupate, tofauti na jicho la hasidi.
Ogopa watu wa hivyo yaani Omba Mungu sana Kama unaamini haya.
Na maisha yako ukitaka kufanya kitu fanya tu kabla hujaanza kujisifia au kumuambia kila unaemuona ni rafiki