Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Yani amepiga mule mule!na hii ndo comment nilkua naisubir, fact kabisa, shetan anasubr asikie kutoka kwako tu ukidhihirisha mwenyw tyr umekwisha
Shida plan zinahitaji process ambayo ni watu.Ila wakuu haya mambo haya duh
Anakuwa alishaanda siku nyingi ni kumalizia tuu Ndio anstangaza!Inategemea na umaskini wako tu.
Mo kila mara anatangaza mipango yake ya kufungua viwanda na mipango haijawahi kufeli
Bakhressa pia anatangaza sana mipango ya kuja na bidhaa mpya na haijawahi kufeli.
Sio siri, maadua zako wako katibu unavyo dhani. Ukitangaza mambo yako, wengine ndio muda wa kwenda kwa waganga kuhakikisha hufikiii lengo lako, wengine washirikinaNimesikia ama kuchunguza kua mara nyingi ukiropoka kwa watu mipango yako inaanza kusua sua na hatimae Kufeli mazima. Tafadhali wabobezi wa masuala ya kiroho naomba hapa ufafanuzi.
Kuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na uhusiano hapa? Karibuni.
ni kosa kutoa siri za ufalme wako gentleman πNimesikia ama kuchunguza kua mara nyingi ukiropoka kwa watu mipango yako inaanza kusua sua na hatimae Kufeli mazima. Tafadhali wabobezi wa masuala ya kiroho naomba hapa ufafanuzi.
Kuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na uhusiano hapa? Karibuni.
Nakuunga mkono kwenye hili, Wengi huwa wanawajulisha maadui zao their next move bila hata wao kujua.ni kosa kutoa siri za ufalme wako gentleman π
mipango ya maisha ni vita. Sasa unamjulishaje adui au mtesi wako strength and weakness zako licha ya kua huwezi jua ni yupi kati ya wanao kuzunguka?π
Usiwape mbwa chakula cha watoto... na hiyo ipo kwenye bibleKuna mstari fulan katika biblia kua "usimwage lulu kwenye nguruwe wasije wakazikanyaga na kukurarua" je huenda kukawa na
ππͺNakuunga mkono kwenye hili, Wengi huwa wanawajulisha maadui zao their next move bila hata wao kujua.
Hili ndio linawafanya wakwame , ni better wakaona tu matokeo
Nyie ni vijana au wazee?Mtu anayekuambia jambo lake na akafanikiwa ujue Kuna Siri anazo hawezi kukuambia atatumia njia gani kumbuka hao ni wafanyabiashara wakubwa Wana washauri wengi duniani hivyo wanajua njia nyingi zinazofanya kazi mikakati yao wanakuwa wameshandaa kwenye business plan
Kwanini unauliza swali ambalo lipo nje ya madaNyie ni vijana au wazee?