Umeona eehKweli aise kimara wachaga watupu.
Wapare na warangi tabatamanzese kuna wasambaa, masaki tupo sisi wapare.
Wana chitchat, kumekuwa na Kama tabia fulani hivi ya makabila fulani kupenda kuishi maeneo fulani kwa wingi hapa Dar mfano ni Kimara, Kiluvya, Ubungo wengi wao ni 'Wachagga'. Kitunda wengi wao ni 'Wakurya' ama watu wa Musoma, Mbagara kuna watu wengi wa 'Kusini' , Bunju, Tegeta, Boko, Mabwepande wengi wao ni 'Waha' au watu wa Kigoma in general , Vingunguti wengi wao ni 'Wagogo' .
Tuambiane kwa nini? Mimi mmatumbi wa Kilwa ndugu zangu wengi sana wako 'Mbagala' yaani ukienda unakutana na wengine wa Kusini kibakibao.
Karibuni
Yeah maisha ni 'kutafuta 'Mm matumbi but nimekaa bahati mby tu zikinichanganyia nasepa ni hali ya mtu tu c kanuni imewekwa
Ukiona sehemu mchagga hayupo basi hapo ujue hata nyasi kuota ni shida mchagga yeye popote ni kambi nimeshaanga kuwakuta kisarawe na bagamoyo wanalima na kufuga usisaha duka la MangiWana chitchat, kumekuwa na Kama tabia fulani hivi ya makabila fulani kupenda kuishi maeneo fulani kwa wingi hapa Dar mfano ni Kimara, Kiluvya, Ubungo wengi wao ni 'Wachagga'. Kitunda wengi wao ni 'Wakurya' ama watu wa Musoma, Mbagara kuna watu wengi wa 'Kusini' , Bunju, Tegeta, Boko, Mabwepande wengi wao ni 'Waha' au watu wa Kigoma in general , Vingunguti wengi wao ni 'Wagogo' .
Tuambiane kwa nini? Mimi mmatumbi wa Kilwa ndugu zangu wengi sana wako 'Mbagala' yaani ukienda unakutana na wengine wa Kusini kibakibao.
Karibuni
Teh π π πMikocheni, Mbezi beach, Kijitonyama, Mbweni - Wahaya