Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku kwetu mpaka uonekane dar tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huo mwezi mbona hekaheka hivyo[emoji1787] ..
Wanaodai katiba mpya wanaweza kuwa na hoja ya msingi! Tangu mwaka jana Eid ilivyopindishwa licha ya mwezi kuandama na kuonekana maeneo mengi hapa nchini nilianza kuonja harufu ya siasa hadi kwenye dini. Matokeo yake tulikula Eid mwezi ukionekana kuwa na siku 3.Tanzania sijui kuna shida gani kwenye kila nyanja ni kizungumkuti tu yaani...!
Hii audio waipate Chama Cha Mafisi (CCM) na serikali yao haramu na washirika wao
Shida ni bakwata hawawezi kutangaza mwezi mpaka washauriane na makao makuu sisiemu.Tanzania sijui kuna shida gani kwenye kila nyanja ni kizungumkuti tu yaani...!
VAR inasemaje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Takukuru hawataki ujinga wao tayari wanasherekea leoView attachment 2208451
Mwezi wa kimakonde!😂😂😂😂😂huo mwezi mbona hekaheka hivyo🤣 ..
Wanaodai katiba mpya wanaweza kuwa na hoja ya msingi! Tangu mwaka jana Eid ilivyopindishwa licha ya mwezi kuandama na kuonekana maeneo mengi hapa nchini nilianza kuonja harufu ya siasa hadi kwenye dini. Matokeo yake tulikula Eid mwezi ukionekana kuwa na siku 3.
Kwa hii ya sasa uwezekano kuwa mwezi umetoka jana pia ni mkubwa sana japo sijauona kutokana na hali ya mawingu mawingi upande wa magharibi majira ya saa moja kasoro jioni
Shida ni bakwata hawawezi kutangaza mwezi mpaka washauriane na makao makuu sisiemu.
Viongozi wa Sisiemu wakikataa kutokana na ratiba za chama pamoja na mambo ya protocol Iddi inaahirishwa siku inayofata.
Shida ni Bakwata kua chini ya chama mpaka katika mambo muhimu yanayohusu imani.
Yaani Iddi ya Tanzania inaamuliwa na wanasiasa sio viongozi wa dini.
Tushawazoea kila mwaka hua ni hivi hivi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huo mwezi mbona hekaheka hivyo[emoji1787] ..
Ndio mtihani wa viongozi wetu wa dini tulionao, kikubwa ni kuwaombea tu Allah awasamehe makosa yao na awape hikma na uwezo wa kusimamia haki.Wanabeba dhima kubwa sana kwa maana ni dhambi kubwa sana kufunga siku ya Eid.
Hapo kwanza nchekeTupumzishe Kwanza
Hata kule kenya waliuona lakini kwenye taarifa ya bakwata walisema haukuonekana kenya wala zanzibar, anyway siyo mbaya kukamilisha siku 30.