Metamorphosis
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 206
- 358
Majini yanawasiliana.Wasalaam,.
Natumai mnaendelea salama wote, kuna taarifa inaenea sana kuwa mwezi umronekana jana maeneo ya Tandahimba na masheikh wa Bakwata, wakawapigia simu Bakwata makao makuu lakini wakazipuuza hizo taarifa na kuwatangazia raia kuwa mwezi haukuandama siku ya jana hivyo leo watu waendelee kufunga.
Hili limekaaje wakuu...?
View attachment 2208429