Kuna taasisi za serikali watumishi wake wananuka madeni kama wamelaaniwa

Kuna taasisi za serikali watumishi wake wananuka madeni kama wamelaaniwa

Nina mali yako tayari, mimi kazi itakuwa kukuandikia NOTISI tu, kupeleka kwa Balozi au Mjumbe wako akuletee.

Mkataba utakuwa upande wangu

NB ukishindwa lipa ndani ya muda fulani mali yako inabadilika na kuwa yangu
Dah hapo sawa ila jitahidi uwe umesajisajili kabisa maana kuna viumbe wengine sio ili sheria ikulinde pia

Kila la kheri ndugu , mimi nilishindwa
 
Kuna jamaa anakopesha pesa mkononi kwa riba lakini yeye anatumia nguvu za giza ili wateja wasimkimbie kumlipa
Ni lazima maana niliifanya kipindi hiko chuo nikanusurika kudisco [emoji3] nikaifanya mtaani kwa waajiliwa nikanusurika kufungwa sasa hivi niko nimekaa naona wenzangu wanavyopiga hela mimi sitaki tena.

Kila kitu na mtuwe bana
 
Dah hapo sawa ila jitahidi uwe umesajisajili kabisa maana kuna viumbe wengine sio ili sheria ikulinde pia

Kila la kheri ndugu , mimi nilishindwa
Mtaani wengi hajajisajili ila wanatoa hela

KKOO nyumba nyingi zinachukuliwa kwa huo mfumo, unapewa hela ila uwezo wa kulipa huna wanabeba mali yako
 
Back
Top Bottom