Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa anakopesha pesa mkononi kwa riba lakini yeye anatumia nguvu za giza ili wateja wasimkimbie kumlipaNi biashara nzuri ila inahitaji uwe mtu mwenye kujua kudai ukiwa lelemama hatukulipi kwa wakati hapo bado sijaanza kukupigia magoti yaani mpaka utanisamehe mwenyewe[emoji23]
Dah hapo sawa ila jitahidi uwe umesajisajili kabisa maana kuna viumbe wengine sio ili sheria ikulinde piaNina mali yako tayari, mimi kazi itakuwa kukuandikia NOTISI tu, kupeleka kwa Balozi au Mjumbe wako akuletee.
Mkataba utakuwa upande wangu
NB ukishindwa lipa ndani ya muda fulani mali yako inabadilika na kuwa yangu
Ni lazima maana niliifanya kipindi hiko chuo nikanusurika kudisco [emoji3] nikaifanya mtaani kwa waajiliwa nikanusurika kufungwa sasa hivi niko nimekaa naona wenzangu wanavyopiga hela mimi sitaki tena.Kuna jamaa anakopesha pesa mkononi kwa riba lakini yeye anatumia nguvu za giza ili wateja wasimkimbie kumlipa
Mtaani wengi hajajisajili ila wanatoa helaDah hapo sawa ila jitahidi uwe umesajisajili kabisa maana kuna viumbe wengine sio ili sheria ikulinde pia
Kila la kheri ndugu , mimi nilishindwa
Na hapo hujamrogaNi biashara nzuri ila inahitaji uwe mtu mwenye kujua kudai ukiwa lelemama hatukulipi kwa wakati hapo bado sijaanza kukupigia magoti yaani mpaka utanisamehe mwenyewe[emoji23]
Atamfanyia mazingaombwe aingie bleed kila siku,afu akuachie ukae nae hapo kwako.Mm nitakopesha dhamana mkopaji alete mke wake,nikae nae hadi atakaporejesha mkopo hakuna tiba.
Mpaka sio poa ila ndumba zinatumika sana.Mtaani wengi hajajisajili ila wanatoa hela
KKOO nyumba nyingi zinachukuliwa kwa huo mfumo, unapewa hela ila uwezo wa kulipa huna wanabeba mali yako
Hapo badoNa hapo hujamroga
Yani salary slip za watu wengine mpk unamuonea huruma sema ndo siri za kazi wacha kazi iendeleee
AhahahahaKuna jamaa anakopesha pesa mkononi kwa riba lakini yeye anatumia nguvu za giza ili wateja wasimkimbie kumlipa