Kamavinga
Member
- Nov 7, 2021
- 43
- 62
Kwa ninavyofaham, barabara ya mwendokasi ya kuelekea mbagala ilishakamilika kwa 100% kwa zaidi ya mwaka sasa, lakini mpaka sasa haijaanza kutoa huduma. Badala yake, sasa imekua ndo barabara kuu ya bodaboda.
Inasikitisha na kutia hasira, kuona kitu ambacho kingetoa msaada kwa maelfu ya wananchi wa manaohangaika na usafiri, kimekaa 'idle'. Waliopewa dhamana ya kusimamia wapo wapi? nini tatizo? Hii nchi mbona inachukulia poa wananchi kiasi hiki?
Kinachozidi kushangaza, wakati project hii haijaanza 'kunfunction', project nyingine za Gongo lamboto na Tegeta nazo zimeshaanza. Huu upuuzi bogus leadership utakoma lini?
Inasikitisha na kutia hasira, kuona kitu ambacho kingetoa msaada kwa maelfu ya wananchi wa manaohangaika na usafiri, kimekaa 'idle'. Waliopewa dhamana ya kusimamia wapo wapi? nini tatizo? Hii nchi mbona inachukulia poa wananchi kiasi hiki?
Kinachozidi kushangaza, wakati project hii haijaanza 'kunfunction', project nyingine za Gongo lamboto na Tegeta nazo zimeshaanza. Huu upuuzi bogus leadership utakoma lini?