covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Utafanyaje kwa mfano wanyonge wenyewe wamekubali kukaa na unyonge wao..sasa wanaendelea kujenga ili iweje? Hela zetu wananchi zinakua misused na hatuna la kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafanyaje kwa mfano wanyonge wenyewe wamekubali kukaa na unyonge wao..sasa wanaendelea kujenga ili iweje? Hela zetu wananchi zinakua misused na hatuna la kufanya
Ungekuwa dereva aliyepitia mafunzo halali ungejua kuwa barabara hiyo bado haijakamilika.Kwa ninavyofaham, barabara ya mwendokasi ya kuelekea mbagala ilishakamilika kwa 100% kwa zaidi ya mwaka sasa, lakini mpaka sasa haijaanza kutoa huduma. Badala yake, sasa imekua ndo barabara kuu ya bodaboda.
Inasikitisha na kutia hasira, kuona kitu ambacho kingetoa msaada kwa maelfu ya wananchi wa manaohangaika na usafiri, kimekaa 'idle'. Waliopewa dhamana ya kusimamia wapo wapi? nini tatizo? Hii nchi mbona inachukulia poa wananchi kiasi hiki?
Kinachozidi kushangaza, wakati project hii haijaanza 'kunfunction', project nyingine za Gongo lamboto na Tegeta nazo zimeshaanza. Huu upuuzi bogus leadership utakoma lini?
Acha kutetea nonsense.Ungekuwa dereva aliyepitia mafunzo halali ungejua kuwa barabara hiyo bado haijakamilika.
Ili barabara ikamilike inatakiwa iwe na alama zote za kuwaongoza madereva na watembea kwa mguu vitu hivyo bado havijakamilika, vikikamilika itatumika kwani wameanza kuweka taa za kuongoza madereva na watembea kwa mguu.
Naomba uweke hapa hizo picha za vibanda vya kuku mkuu.Kwanza wameijenga hovyo. Vituo kama vibanda vya kuku. Kwa nini wasingetumia design ya station ya BRT 1?